Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Kasema watapiga kwanza RTS..ili December waunge.
Hakuna kitu kama icho yaan huo Ni usaili watachambua vijana wa op mabeyo jumlisha na op samia alaf changanya na hao walioomba mtaani ndio litaundwa bogi la kwenda kupiga kozi oljoro rts

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna kitu kama icho yaan huo Ni usaili watachambua vijana wa op mabeyo jumlisha na op samia alaf changanya na hao walioomba mtaani ndio litaundwa bogi la kwenda kupiga kozi oljoro rts

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Anha!! Kumbe.. Thanks kwa info meku..!!

Basi hapa inaonekana wa mtaani watachukuliwa kiduchu tu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…