NAJYUZ
JF-Expert Member
- May 10, 2021
- 1,981
- 3,475
Cadet sio?Okay nyepesi nyepesi nilizopitishiwa leo ni kuwa Tarehe 24 may jumatano kuna usaili katika kambi za JkT kibogi cha kwenda monduli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cadet sio?Okay nyepesi nyepesi nilizopitishiwa leo ni kuwa Tarehe 24 may jumatano kuna usaili katika kambi za JkT kibogi cha kwenda monduli
Bogi la kutokea mtaani vipi?Okay nyepesi nyepesi nilizopitishiwa leo ni kuwa Tarehe 24 may jumatano kuna usaili katika kambi za JkT kibogi cha kwenda monduli
Kiongozi idarani wanakuja lini na Magereza nao mkeka liniOkay nyepesi nyepesi nilizopitishiwa leo ni kuwa Tarehe 24 may jumatano kuna usaili katika kambi za JkT kibogi cha kwenda monduli
Muhimu kaka build Rapport mapema
Yaaah kaka monduli,Si unajua lazima wapige kwanza RTS miez kadhaa den wa 12 wanaungaCadet sio?
Wapo wanaendelea na kuchakata ila ngoja niulize nipate update nije na taarifa kamiliBogi la kutokea mtaani vipi?
Magereza sina watu hukoh kakaKiongozi idarani wanakuja lini na Magereza nao mkeka lini
Vikosini utafanyika usaili kwa vijana Op mabeyo waliopo makambini hakunaga usaili wa jkt kwenda monduli cardet sawaYaaah kaka monduli,Si unajua lazima wapige kwanza RTS miez kadhaa den wa 12 wanaunga
Anha!! Kumbe!!Wapo wanaendelea na kuchakata ila ngoja niulize nipate update nije na taarifa kamili
Kasema watapiga kwanza RTS..ili December waunge.Usaili wa kwenda monduli anafanya mtu aliye ajiriwa kabisa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mkuu nakubali sana Updates zako.Specifically kambi gani sijajua nitakuja na majibu mazuri nikiyapata kaka
Hakuna kitu kama icho yaan huo Ni usaili watachambua vijana wa op mabeyo jumlisha na op samia alaf changanya na hao walioomba mtaani ndio litaundwa bogi la kwenda kupiga kozi oljoro rtsKasema watapiga kwanza RTS..ili December waunge.
Kwanza kuanzia op samia na mabeyo wote Ni form four na la Saba utaratibu ulishabadilika jkt waliacha kuchukua wasomi so how wapelekwe monduliMkuu nakubali sana Updates zako.
Chukua MAUA yako..!![emoji122][emoji122]
Anha!! Kumbe.. Thanks kwa info meku..!!Hakuna kitu kama icho yaan huo Ni usaili watachambua vijana wa op mabeyo jumlisha na op samia alaf changanya na hao walioomba mtaani ndio litaundwa bogi la kwenda kupiga kozi oljoro rts
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ivi jkt bado wanachukua la saba siku hizi.?Kwanza kuanzia op samia na mabeyo wote Ni form four na la Saba utaratibu ulishabadilika jkt waliacha kuchukua wasomi so how wapelekwe monduli
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ndio wanachukua la Saba na form four tu kwa upande wa kujitoleaIvi jkt bado wanachukua la saba siku hizi.?