mfwende sawadogo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 2,466
- 5,659
mkuu wangu nimekusoma sanaAnza kumtafuta mbanga kaka,idarani wanakuja tena kaka
Yapo mabox ya kutosha Mzee ,watu wanajila hadi usiku kufanya upembuziKama wangapi jumla
Mpango ni kutuma sms/ kupiga simu au ni pdf ?Kumekua na muamko sana wa watu kuomba hizi ajira za Majeshi ikiwemo MT sio kama hapo zaman
Ajira no ngum sana jamen watu tuna fani lakin bado za uso .. nilikosa nafasi ya PT kimasihara tu kisa mbaga vigezo nilikuanavyo intervew ndo usiseme ila kukosa cnnection ndipo ttzoWakubwa mwenye mbanga hzi nafasi za MT jamen
Apo pdf mkuu ndo itaamua mamboMpango ni kutuma sms/ kupiga simu au ni pdf ?
Mambo yamebadilika sana siku hizi,binafsi wakati nasoma sikuwahi fikiriaga kabisa kujoin hivo vyombo vya ulinzi, lakini nimekujaa mtaani mambo ni tofauti kabsa na tulivokua tukidhani, kwahyo kimsingi binafsi au na baadhi tunataka tujoin hivi vyimbo sio kwamba tunapenda bali unakuta wengi. Wengi wetu hatuna option nyingineKumekua na muamko sana wa watu kuomba hizi ajira za Majeshi ikiwemo MT sio kama hapo zaman
Tusikate tamaa!! Watu wanaingia bila connection ila ni kwa zari sanaKiukwel mpka nakosa moyo kwenda kwny interview bila connection ni kucheza biko
Mtafutaji achoki ..apa kukaza tu AseeKiukwel mpka nakosa moyo kwenda kwny interview bila connection ni kucheza biko
Bas itakuwa wale wa taaluma watapigiwa simu tuHaya vijana wa magereza View attachment 2641926
Maisha magumu mkuuKumekua na muamko sana wa watu kuomba hizi ajira za Majeshi ikiwemo MT sio kama hapo zaman
Ili utoboe kigezo kikubwa ni mbanga tu.Ajira no ngum sana jamen watu tuna fani lakin bado za uso .. nilikosa nafasi ya PT kimasihara tu kisa mbaga vigezo nilikuanavyo intervew ndo usiseme ila kukosa cnnection ndipo ttzo
MT watu wanakimbiaga sijui tatizo kubwa Nini,hao MG kama wanahitaji kweli Askari wachukue walioomba kwa idadi kubwa.watanue Jombo hilo,mana magereza kumepoaMaisha hayako fair kabisa ..kuna watu wanaacha kazi kila leo ,,wajuba ndo kwanzaa tunapambania
Kiongozi idadi ya watu inafanya watu wapigwe ndoigeMT kupata connection ni Ngumu ila ukipata ni uhakika cuz hawanaga mambo Mengi.