Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Huu uzi me mdau wake sana tangu unaanza mwaka 2021 ile mama samia kaingia madarakani zikaanza kumwagwa ajira za majeshi sio magereza,uhamiaji,polisi,jwtz,zimamoto na PCCB nimeomba zote chenga so sitaki tena kuuna huu uzi.
Mbna tupo wengi tulokosa lkn, rizki tu wakat ukifika utapata,never give up
 
Ajira hizo wizara ya mambo ya ndani mwaka 2023/2024 andaa connection
Screenshot_20230529-194656_Drive.jpg
 
Sasa mbona 29 kwa degree ni reasonable kbsaa... watu wanamaliza chuo na 29 especially degree za miaka 4-5...mfano MT wao Hili tangazo la juzi wameweka umri mkubwa.
Aliniambia ameshindwa kunisadia kwasababu ya kigezi cha umri, nayeye ni Brigedier kabisa!!! Kuna muda nahsi hakutaka kunisaidia labda!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliniambia ameshindwa kunisadia kwasababu ya kigezi cha umri, nayeye ni Brigedier kabisa!!! Kuna muda nahsi hakutaka kunisaidia labda!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Anakuzingua umri wako unaingia popote pale
Me mshikaji wangu alikuwa kazidi umri na alikuwa mfupi lkn alienda CCP Sababu alikuwa na mtu .sisi tukabaki mtaani mshikaji sahivi kashaajiriwa mwaka unaenda sahiv
 
Back
Top Bottom