Xmonster
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 1,644
- 2,382
Wapi hiyo bungeniNami nawafuatilia pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi hiyo bungeniNami nawafuatilia pia
Mbna tupo wengi tulokosa lkn, rizki tu wakat ukifika utapata,never give upHuu uzi me mdau wake sana tangu unaanza mwaka 2021 ile mama samia kaingia madarakani zikaanza kumwagwa ajira za majeshi sio magereza,uhamiaji,polisi,jwtz,zimamoto na PCCB nimeomba zote chenga so sitaki tena kuuna huu uzi.
Ukipata niunganishe na mimi 🤙🏽Jaman wakuu naombeni connection nizame chomboni
Usijal mkuu, wakuu watuone na sisi tuzameUkipata niunganishe na mimi [emoji1687]
Hakuna kinachoshindikana mkuuWakuu kuna mbanga niliupata ukataka kuniingiza chomboni, ila akaniambia tatizo umri, hivi wakuu naweza chekecha NIDA nipunguze umri??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan una miaka mi ngap?Wakuu kuna mbanga niliupata ukataka kuniingiza chomboni, ila akaniambia tatizo umri, hivi wakuu naweza chekecha NIDA nipunguze umri??
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mbona 29 kwa degree ni reasonable kbsaa... watu wanamaliza chuo na 29 especially degree za miaka 4-5...mfano MT wao Hili tangazo la juzi wameweka umri mkubwa.
Aliniambia ameshindwa kunisadia kwasababu ya kigezi cha umri, nayeye ni Brigedier kabisa!!! Kuna muda nahsi hakutaka kunisaidia labda!!!Sasa mbona 29 kwa degree ni reasonable kbsaa... watu wanamaliza chuo na 29 especially degree za miaka 4-5...mfano MT wao Hili tangazo la juzi wameweka umri mkubwa.
Kwa degree 29 iko sawa kbsaa hakutaka tu...au hakuwa na nafasAliniambia ameshindwa kunisadia kwasababu ya kigezi cha umri, nayeye ni Brigedier kabisa!!! Kuna muda nahsi hakutaka kunisaidia labda!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Probably!!! Ngoja tu niassume hakukuwa na nafasiKwa degree 29 iko sawa kbsaa hakutaka tu...au hakuwa na nafas
Yah...Katika kila tafuta positivity. Hata kama hakutaka. Assume tu hakuwa na nafasi.
Huyu mzee hakutaka tu uingie chomboni mzee.Aliniambia ameshindwa kunisadia kwasababu ya kigezi cha umri, nayeye ni Brigedier kabisa!!! Kuna muda nahsi hakutaka kunisaidia labda!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeye angeomba tu,vitu vingine havihitaji connection,mdogo wangu yupo CCP bila hata connection.Huyu mzee hakutaka tu uingie chomboni mzee.
Hiyo age mbona ya kawaida sana.
Samahani kiongozi naomba uitume pdf fullAjira hizo wizara ya mambo ya ndani mwaka 2023/2024 andaa connection View attachment 2639748
Anakuzingua umri wako unaingia popote paleAliniambia ameshindwa kunisadia kwasababu ya kigezi cha umri, nayeye ni Brigedier kabisa!!! Kuna muda nahsi hakutaka kunisaidia labda!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumepata matumainiAjira hizo wizara ya mambo ya ndani mwaka 2023/2024 andaa connection View attachment 2639748