mfwende sawadogo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 2,466
- 5,659
placement wanaachia mdogo mdogo man, but i hope nita appear tuMkuu UTUMISHI vipi huko?
Kila la heri mwanangu..!!placement wanaachia mdogo mdogo man, but i hope nita appear tu
Nimekuelewa mZee maana ajira kila siku zinatoka taasisi mbalimbalii shida ni namna ya kupenya ila apo nyuma unaeza kua na mtu na usiajiliwe maana ajira zilikua azitokiiHuu utawala wa maza kupata ajira ni rahis sana na ni ngumu sana...kama unaconnection ni rahis sana faster tu. Ila kama huna connection ni ngumu sana.
Course inayoendelea itakuw bado haijaisha. Recruitment hufanyika course ya awali ikishamalizika.Kumbuka course ni mwaka mzima.Nahis adi police mwezi wa nane wanakuja mana nakumbuka kuna mkuu mmoja wa mkoa furani aliniambia nisubir mwezi wa nane icho kipindi anacho niambia ivyo nilikua nipo kwenye mchakato wakuende police so nahis adi mwezi wa nane watakuja
tujue tu tunaendelea kugangamaa na mtaa au lah[emoji23][emoji23]Daah sema hawa magereza this is too much!!! Watoe tu hayo majina tujue kama wametutema au la[emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
True story kaka[emoji23]!! Watoe tu au ukute watu wamepigiwa simu na hawasemi[emoji23]tujue tu tunaendelea kugangamaa na mtaa au lah[emoji23][emoji23]
uskute wanatuchora tu tunavohaha jamii forum humu... mambo haya acha tuTrue story kaka[emoji23]!! Watoe tu au ukute watu wamepigiwa simu na hawasemi[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee unacho ongea ni sawa ila kuna mambo Mwngi kweny ivi vyombo ivi unajua kua ata uko jw kuna kozi ndefu na fupi yani mwaka na miezi sitaCourse inayoendelea itakuw bado haijaisha. Recruitment hufanyika course ya awali ikishamalizika.Kumbuka course ni mwaka mzima.
Mambo yanaanz mwezi wa saba kimy kimya thn mtakuja kushtk mwezi wa nane kwaiy now ndo mdaa wakuanza kujipanga mapemauskute wanatuchora tu tunavohaha jamii forum humu... mambo haya acha tu
Mana uyo alie niambia icho kipindi kua mwezi wa nane wanarudi tenna ni mtu mkubwa sana serilakini pia nina mnuku alivyo sema kua naomba asubiri mwezi wa nane ataenda mana watarudi tenaMzee unacho ongea ni sawa ila kuna mambo Mwngi kweny ivi vyombo ivi unajua kua ata uko jw kuna kozi ndefu na fupi yani mwaka na miezi sita
Sawa mkuu,endelea kusubiri 😁...sisi watumishi hatuna za ndaaani kabisaMana uyo alie niambia icho kipindi kua mwezi wa nane wanarudi tenna ni mtu mkubwa sana serilakini pia nina mnuku alivyo sema kua naomba asubiri mwezi wa nane ataenda mana watarudi tena
Hotuba ya wizara ya mambo ya ndani inasema kbsaa UT,MT,PT na ZT wataajiri tena katika bajet ya mwaka 23/24.Zaaaa ndani kabisa..
Zimamoto watakuja tena wakuuu.
jau ukitumia chet cha form four ukiw una two one haupat kaz wizar za ulinzHotuba ya wizara ya mambo ya ndani inasema kbsaa UT,MT,PT na ZT wataajiri tena katika bajet ya mwaka 23/24.
Yan kuzama chomboni kumeguwa kugumu sana aise..hata Zimamoto kugumu sanaZaaaa ndani kabisa..
Zimamoto watakuja tena wakuuu.
Uhamiaji wapo vizuri sana mkuu.ivi kati takukuru uhamiaj wap wapo vzr kwa mkwaja mshahar
Mkuu ndege..Yan kuzama chomboni kumeguwa kugumu sana aise..hata Zimamoto kugumu sana
Hyo nzuri kakaMkuu ndege..
Nilichojifunza katika majeshi unatakiwa uyaanadae mazingira mapema sana nje ya uwanja.
Katika haya majeshi kuna kauzibe sana when it comes to recruitments..
Andaa mapema mazingira mkuu.