Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Taarifa nilizopatani kuwa mwezi huu mwishoni watu wataitwa sehemu X iliyoteuliwa kwaajili ya Kozi.Usaili utafanyika hukohuko wakifika,Hii ni kwa wale wa TPDF.
Wapi huko na vipi tetesi za miezi 7/8 apo ndo imepigwa As you were?
 
Wapi huko na vipi tetesi za miezi 7/8 apo ndo imepigwa As you were?
It means badala ya kufanya usaili mwez wa saba wataanza kuita watu kwa sms na simu mwezi wa sita mwishoni mpka wa saba so kozi inaweza ikaanza wa saba mwishoni au wa nane.Nitawajulisha taarifa zaidi nikipata asante.
 
MD wanahitajika ni kweli na sipingi...ila sio katika wingi ambao watu wanautegemea ndo maana nikakupa mfano ajira za wizara ya afya walikuwa wanataka MD 15. Hiyo ni wizara ya afya. Imagine magereza.
Sio kwamba MD wizara ya afya hawawahitaj...ila ni bajet tu...lakini pia mwaka jana hao wizara ya afya wamechukua MD zaidi ya 200+ na wakatawanywa hosp zote za mikoa...uhitaj kwa mwaka huu sio mkubwa kuliko ulivyokuw mwaka jana.. lakini pia huko magereza wana vituo vya afya...kwenye health Centre hizo chache ambazo MT wanazo unataka MOI awe CO...definitely u will need MD for supervisory role as well...
 
Jaman ronja za MT vip mm nimeskia kwamba usahili tayal na leo ni siku ya 3 watu wana maliza
 
Sio kwamba MD wizara ya afya hawawahitaj...ila ni bajet tu...lakini pia mwaka jana hao wizara ya afya wamechukua MD zaidi ya 200+ na wakatawanywa hosp zote za mikoa...uhitaj kwa mwaka huu sio mkubwa kuliko ulivyokuw mwaka jana.. lakini pia huko magereza wana vituo vya afya...kwenye health Centre hizo chache ambazo MT wanazo unataka MOI awe CO...definitely u will need MD for supervisory role as well...
Masta vip tupe ronja nimeskia et jamaa leo wako usahili siku ya 3
 
Mkuu tupe teteso za MT nimeskia juu juu kuwa watu wamepiga usahili na leo siku ya 3
MT usaili bado haujafanyika na wala hakuna watu wanaofanya usaili. Wapo kwenye hatua za mwisho kabisa za kukamilisha vijana watakaokua shortlisted then waitwe Dodoma, Makao Makuu kwa ajili ya usaili.
 
Back
Top Bottom