MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,514
- 15,050
Vijana hongereni mkajitahidi sasa kwenye usaili . Hapa nina wasiwasi mtafanya papermagereza tanzaniaView attachment 2663498
Kwa hao walioitwa upande wa meno anapita dada mmoja tu hapo..Vijana hongereni mkajitahidi sasa kwenye usaili . Hapa nina wasiwasi mtafanya paper
jamaa kamaliza chuo juzi anawaza nyota... samwaleko [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]we jamaa ni fresh graduate nini?
Wanaohitajika kma wangpVijana hongereni mkajitahidi sasa kwenye usaili . Hapa nina wasiwasi mtafanya paper
Subiri ujioneeWanaohitajika kma wangp
Hahaha msimkatishe tamaa mwenzenu bana, kama akifanikiwa kuzama Mtipidii kwa elimu yake akimaliza course ya RTS basi TMA panamhusu labda akazingue tu mwenyewe huko kwenye course, kwa majeshi ya bongo angalau Jeiwii wanathamini elimu tofauti na huko kwengine ambako ni kawaida kukuta mtu mwenye elimu ya juu anasota miaka hadi kuenda course ya uafisajamaa kamaliza chuo juzi anawaza nyota... samwaleko [emoji28][emoji28]
Wameitwa watatu hapo mmoja kweli na yule wa astashahada ya ujenzi ameitwa pekee yake yule ameshatoboa ashindwe yeye tuKwa hao walioitwa upande wa meno anapita dada mmoja tu hapo..
Sifahamu kiongozi ila kwakuwa ni vijana wenye elimu kubwa hapo lazima watoboe wachache mnoo form 4 peke yake ndio wanakuwaga na luxury ya kuchaguliwa wengiWanaohitajika kma wangp
Vp upande wa maabara tuko kama 71Kwa hao walioitwa upande wa meno anapita dada mmoja tu hapo..
blazaa hzi kazi ni kama ufalme...mwendo kurithishana tu.. lakn kila mmoja ana bahat yakeHahaha msimkatishe tamaa mwenzenu bana, kama akifanikiwa kuzama Mtipidii kwa elimu yake akimaliza course ya RTS basi TMA panamhusu labda akazingue tu mwenyewe huko kwenye course, kwa majeshi ya bongo angalau Jeiwii wanathamini elimu tofauti na huko kwengine ambako ni kawaida kukuta mtu mwenye elimu ya juu anasota miaka hadi kuenda course ya uafisa
πππ
Kuna vigezo vilivyoangaliwa hadi hao vijana wakaitwa kwenye usaili. Kama mtu hajaliona jina lake si vyema akapoteza muda kwenda Dodoma. Halafu pia nafasi si nyingi. Hivyo hao vijana walioitwa wachache ndo watapata nafasiKama kuna mtaalamu wa meno na hajaitwa MT usaili,na vigezo vyote unavyo choma nauli nenda msalato na komaa hadi upige usaili
Utakuja kunishkuru
Polisi ilikua both kwa kada ya Accounting and Finance.Wadau hivi hizi sahili huwa za oral au wtitten
@Zafrain sagZafrain sag kuna nini uko kinaendelea?