Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Dah,, labda kama hujafuatilia mkuu,, intake ya mwaka jana watu wamepigwa tifu huko sio poa, bakora zimetembea sio kawaida,, watu wamebeba mistimu , watu wamebeba dunia mpaka basi.
Kuna jamaa mmoja nahisi huwa ni moja ya wazee wa kazi ..anakuambia majeshi yote yana ugumu wa scale yake ya mazoezi ila Scale ya Wazee wa kazi anakuambia sio powaaa ni noumaaaa.
 
Kuna jamaa mmoja nahisi huwa ni moja ya wazee wa kazi ..anakuambia majeshi yote yana ugumu wa scale yake ya mazoezi ila Scale ya Wazee wa kazi anakuambia sio powaaa ni noumaaaa.
Kesi za kuteguka miguu wakati wa kozi za TPDF unaambiwa ni kawaida sana. Makoplo wa RTS unaambiwa wanaroho mbaya shetani akasome.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…