Kuna mdada kipindi icho nasoma alikuaga ana matatizo ya kuanguka² na kupoteza faham kabisa, kumbe alikuja zama jw na mpaka now yupo hukoMkuu inawezekana kweli au maneno [emoji23]
Kwamba sio m kufanya maombi JwWale wa polisi mzigo huo,Wale wa JWTZ msikilizie kuanzia Septemba 27 mpka october hapoView attachment 2762153
hahaha raha ya maelekezo hyo unajipakulia tuKuna mdada kipindi icho nasoma alikuaga ana matatizo ya kuanguka² na kupoteza faham kabisa, kumbe alikuja zama jw na mpaka now yupo huko
Pole sanaNimepigwa ndoige
AiseeeehPole sana
Police ni maisha ya utumwa kuuza roho just for 500k
Huna amani
Unatengwa na jamii
Roho mkononi
Unawindwa na kila adui
Dhambi na unyanyasaji na uonevu kwa wengine
Kifupi mapolisi wengi maisha Yao ya kisenge sana rushwa kama Nini..
Sina kazi ila bodaboda anaejielewa anaishi maisha mazuri kuliko polisi
Ukiwa na maaana Gani???Aiseeeeh
Haya sio maneno kwa Watafutaji Champ!
Kwa muktadha huu unazungumzia karibia 80% ya waajiriwa wote both GVT na NGVT sectors!! Na huu ndio uhalisia MkuuUkiwa na maaana Gani???
Polisi ni kazi kwa watu ambao akili zao zipo stagnant!!
Hawaitaki level kubwa ya maisha wanaitaji kuwa middle class!!
Kulala
Kula
Usafiri
Ila kwasisi ambao tu dream Big sualaa la kuajiliwa tu ni changamoto!!!
Mwaka huu nilienda Kufanya field ofisi Fulani nikaamini kuajiliwa ni utumwa yaani Toka ahsubui mpaka jioni umekaa tu na mshahara mwisho wa MWezi..
Mishe kitaaa haziendiii
Kuajiliwa ni utumwa mshahara maana yake ni pesa ya kujikimu ili uendeleee kwenda kazini
jamaa kaandika kwa hasiraPole sana
Police ni maisha ya utumwa kuuza roho just for 500k
Huna amani
Unatengwa na jamii
Roho mkononi
Unawindwa na kila adui
Dhambi na unyanyasaji na uonevu kwa wengine
Kifupi mapolisi wengi maisha Yao ya kisenge sana rushwa kama Nini..
Sina kazi ila bodaboda anaejielewa anaishi maisha mazuri kuliko polisi
Ni kweli, hamna kupinga hilo.Kuna jamaa mmoja nahisi huwa ni moja ya wazee wa kazi ..anakuambia majeshi yote yana ugumu wa scale yake ya mazoezi ila Scale ya Wazee wa kazi anakuambia sio powaaa ni noumaaaa.
Mkuu ulipotea sana ..sema neno kuhusu mwaka mmoja kabla ya uchaguziNi kweli, hamna kupinga hilo.
Vipi kwa upande wa degree kuna mwamba kasema polisi degree Wanaenjoy mshahara mnono wanafika one million ukikusanya stahiki zao niweken sawaPole sana
Police ni maisha ya utumwa kuuza roho just for 500k
Huna amani
Unatengwa na jamii
Roho mkononi
Unawindwa na kila adui
Dhambi na unyanyasaji na uonevu kwa wengine
Kifupi mapolisi wengi maisha Yao ya kisenge sana rushwa kama Nini..
Sina kazi ila bodaboda anaejielewa anaishi maisha mazuri kuliko polisi
Degree kwa wahasibu,sheria na kada nyinginezo za 'social science' nasikia wanakunja Basic ya 860K.Vipi kwa upande wa degree kuna mwamba kasema polisi degree Wanaenjoy mshahara mnono wanafika one million ukikusanya stahiki zao niweken sawa
Hio 860K... take home unaweza kukunja laki 7 au 6Degree kwa wahasibu,sheria na kada nyinginezo za 'social science' nasikia wanakunja Basic ya 860K.
IT,nurses na Clinical officer wanakunja 920K hivi halafu Medical Doctor ni 1.5M.
Hapo bado ration na hela ya vinywaji.
mburujr
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ikiwa mtu ana heslb jee anakunja ngapuHio 860K... take home unaweza kukunja laki 7 au 6
Kuna mwana yupo skuli ya jeshi hapa Zanzibar jku ndo anaulizia hivo maan anasem Kam vip abak hapa hapa coz Kwanz atakua mwalim halaf ni askar kwa hio ataweza kukunja Kam lak 9 ivi after makato
Msaidien kwa kumpa ushaurKuna mwana yupo skuli ya jeshi hapa Zanzibar jku ndo anaulizia hivo maan anasem Kam vip abak hapa hapa coz Kwanz atakua mwalim halaf ni askar kwa hio ataweza kukunja Kam lak 9 ivi after makato
Changanua mwenyewe kupitia mtiririko wa hapa chini.Kuna mwana yupo skuli ya jeshi hapa Zanzibar jku ndo anaulizia hivo maan anasem Kam vip abak hapa hapa coz Kwanz atakua mwalim halaf ni askar kwa hio ataweza kukunja Kam lak 9 ivi after makato
Degree kwa wahasibu,sheria na kada nyinginezo za 'social science' nasikia wanakunja Basic ya 860K.
IT,nurses na Clinical officer wanakunja 920K hivi halafu Medical Doctor ni 1.5M.
Hapo bado ration na hela ya vinywaji.
mburujr
Sent using Jamii Forums mobile app