Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Mwambie afanye 'namna' kwa wakubwa.

Kuna mwanangu alikua wilayani,alikua busy na malindo ya bank, Mahakamani na escort,japokua wanalipwa ila mwishowe akachoka maana hata muda wa kugegeda ikawa ishu.

Huku na huku 'akapiganisha' akapata order ya kwenda Kikosi cha mbwa na farasi.

Anasema kitengo cha mbwa na farasi ni bata kwenda mbele,,Kila siku ni weekend.

Sent using Jamii Forums mobile app
Duhh hatare maan mpk anapat stress ndio unalipwa ktk Malindo lkn anasem ni kuchoka sana na mapumziko hamna week hii yupo lindo Usku wiki nyingine mchana hii Kaz kumbe kwa baadhi ya watu ni stress tupu aisee
 
Duhh hatare maan mpk anapat stress ndio unalipwa ktk Malindo lkn anasem ni kuchoka sana na mapumziko hamna week hii yupo lindo Usku wiki nyingine mchana hii Kaz kumbe kwa baadhi ya watu ni stress tupu aisee
Sisi wengine ndio tunazikubali hvyo hvyo
 
Jeshi kweli linapiga kazi lakini kaka Pt kwa bongo wanahenyeka sana

Vitisho vya usalama sio vingi sana kwa nchi yetu, Naandika nikiwa nipo mpakani mwa Tz
Na yakupasa ufaham taarifa zote za ulinzi na usalama wa mkoa/ wilaya yako mwenyekiti na mchambuzi mkakati kivita ni nani? Angalia jinsi mboni ya jicho lako linavyolindwa hiyo ndio sycle ya ulinzi! Kama kweli mfatiliaji mzuri utagundua Hali ya usalama ilivyo kwasasa!
 
Back
Top Bottom