Hassan heyday
Member
- Aug 12, 2017
- 37
- 25
Jeshi la polisi Tanzania limetangaza nafasi za kazi, kwa maelekezo zaidi soma[emoji116]
View attachment 1897057View attachment 1897058
Toka kwanza chuo mkuu, kishapata kwanza uconstable ndipo tutakujibu.Ebu naomben kujua nikitoka fom sx, ama chuo kwa ngazi ya shahada..... Na kujiunga na jeshi la police baada ya kufuzu mafunzo ya kijeshi nitakuwa afisa wa jeshi ? Anaejua pulizii!!!!
Sasa hivi mambo yapoje mkuu, hawachukui tena vyuoni wala shuleni?KIpindi cha nyuma walikua wanafanya vetting ..yani wao ndio wanakutafta
Walikua wanawatafuta watu mashuleni sekondari,vyuoni,sehemu za ibada ,makazini na sehemu mbalimbali
ila siku hizi mambo yamebadilika....
Mambo yamebadilika.Sasa hivi mambo yapoje mkuu, hawachukui tena vyuoni wala shuleni?
Tanga apo usaili wa juzi watu walikuwa wachache sana niliskiaWakuu Mwenye hizi anuani naomba a share huku
Anuani ya kamanda polisi mikoa ifuatayo
Kagera
Geita
Tanga
Kilimanjaro
Usaili wa jeshi gani ulikuwa?Tanga apo usaili wa juzi watu walikuwa wachache sana niliskia
PolisiUsaili wa jeshi gani ulikuwa?
Basi hata huu wa sahivi wataenda wachachePolisi
Lazima kwanza uanze na uconstable aka shati tupu, utatumikia hicho cheo kwa miaka kadhaa then ndio wakubwa wataamua, kama utaenda kuwa ofisa au utaishia kuwa nco tuEbu naomben kujua nikitoka fom sx, ama chuo kwa ngazi ya shahada..... Na kujiunga na jeshi la police baada ya kufuzu mafunzo ya kijeshi nitakuwa afisa wa jeshi ? Anaejua pulizii!!!!
daah jamaa sijui kamaanisha nini
wapi huujaelewa afisadaah jamaa sijui kamaanisha nini
nikajua utakua mnoko, nilitaka nikushauri kuwa utapotezwa haraka sana na magenge ya kiuharifuwapi huujaelewa afisa