Ndege Tai
JF-Expert Member
- May 6, 2020
- 4,439
- 8,184
hukusoma vzuri chief,,,pale panahitajika hekima na sio ujuajinikajua utakua mnoko, nilitaka nikushauri kuwa utapotezwa haraka sana na magenge ya kiuharifu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hukusoma vzuri chief,,,pale panahitajika hekima na sio ujuajinikajua utakua mnoko, nilitaka nikushauri kuwa utapotezwa haraka sana na magenge ya kiuharifu
kila la kheri afsa ,intake hii na zijazohukusoma vzuri chief,,,pale panahitajika hekima na sio ujuaji
ushauri mzuri kwa wale ambao miaka haijawatupa mkono,ukiingia na elimu ndogo ndio vizuriwazee kama hauna connection hzi post za vyombo vya ulinzi ni afadhali sana ukatumia gamba la form four ama six but not bachelor .
mwisho jah azidi kubariki harakati zakuingia vyomboni.
mimi nishaaga mashindano
mzee mbona bado wale wapo depo halafu wanaongezwa tena tupeni ronja wazee wa kazikila la kheri afsa ,intake hii na zijazo
lonja kali sana hahaaa! nikikumbukamzee mbona bado wale wapo depo halafu wanaongezwa tena tupeni ronja wazee wa kazi
Sawa chief UT usiache kupiganishalonja kali sana hahaaa! nikikumbuka
lonja ya polisi sina, msikilizie dystonia aje atoe muongozo. zaidi zaidi UT nilipewa lonja wanakuja mwezi ujao, nishasema before kwenye huu uzi. labda itokee aziwea yoyote.
pili,ukiwa na lonja nashauri bora umeze filimbi,ukauke nayo. watu wana hate sana. ndio maana kina kunguru wa manzese wame mute baada ya kutoka chimbo.
huyu kunguru wa Manzese namkumbuka nilikuwa namuona kwenye ule uzi wa kubeti na machimbo ya totos akiwa mchangiaji mkubwa nadhani ni miaka miwili iliyopita [emoji1787] mara mwisho mwaka jana alituaga humu ndio mpka leo .lonja kali sana hahaaa! nikikumbuka
lonja ya polisi sina, msikilizie dystonia aje atoe muongozo. zaidi zaidi UT nilipewa lonja wanakuja mwezi ujao, nishasema before kwenye huu uzi. labda itokee aziwea yoyote.
pili,ukiwa na lonja nashauri bora umeze filimbi,ukauke nayo. watu wana hate sana. ndio maana kina kunguru wa manzese wame mute baada ya kutoka chimbo.
Hawatachanganywa na waliopo tayari.Wapya wataanza mafunzo yao wenyewe kama wenyewe.mzee mbona bado wale wapo depo halafu wanaongezwa tena tupeni ronja wazee wa kazi
Shukrani mkuu wa kazi...tunawashukuru sana makao kwa kutupa nafasi hiziHawatachanganywa na waliopo tayari.Wapya wataanza mafunzo yao wenyewe kama wenyewe.
Watakuja watakupa mrejesho usiwe na harakaMbona member mpo kimya nimeona kujua aliwahi kufanya usahili wa polisi kwa upande wa madereva usahili unakuaje
Uhamiaji wanachukuwa kozi za Afya???????
Kwahiyo wanaochukuliwa ni uvccm tu mkuu au?Mambo yamebadilika.
Hahaah ulipapaswa mapema tuHizi kazi zikitangwaza unaweza hisi umeshapata,, kuna kipindi nilianza na kukimbia mbio ili nipate pumzi , nikaanza na kukumbushia kwata za pass square lakini waapi.... nilipigwa ndoige hata damu sikupimwa(Maana bora ningepimwa hata damu nijue afya yangu)
All in all mungu ni mwema.
Nawatakia kila lakheri maafsa , kila mtu kashaandikiwa kuwa atashibia wapi.