Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

wazee kama hauna connection hzi post za vyombo vya ulinzi ni afadhali sana ukatumia gamba la form four ama six but not bachelor .

mwisho jah azidi kubariki harakati zakuingia vyomboni.

mimi nishaaga mashindano
ushauri mzuri kwa wale ambao miaka haijawatupa mkono,ukiingia na elimu ndogo ndio vizuri
huko baadae mambo yatajipa fresh tu
 
mzee mbona bado wale wapo depo halafu wanaongezwa tena tupeni ronja wazee wa kazi
lonja kali sana hahaaa! nikikumbuka

lonja ya polisi sina, msikilizie dystonia aje atoe muongozo. zaidi zaidi UT nilipewa lonja wanakuja mwezi ujao, nishasema before kwenye huu uzi. labda itokee aziwea yoyote.

pili,ukiwa na lonja nashauri bora umeze filimbi,ukauke nayo. watu wana hate sana. ndio maana kina kunguru wa manzese wame mute baada ya kutoka chimbo.
 
lonja kali sana hahaaa! nikikumbuka

lonja ya polisi sina, msikilizie dystonia aje atoe muongozo. zaidi zaidi UT nilipewa lonja wanakuja mwezi ujao, nishasema before kwenye huu uzi. labda itokee aziwea yoyote.

pili,ukiwa na lonja nashauri bora umeze filimbi,ukauke nayo. watu wana hate sana. ndio maana kina kunguru wa manzese wame mute baada ya kutoka chimbo.
Sawa chief UT usiache kupiganisha
 
lonja kali sana hahaaa! nikikumbuka

lonja ya polisi sina, msikilizie dystonia aje atoe muongozo. zaidi zaidi UT nilipewa lonja wanakuja mwezi ujao, nishasema before kwenye huu uzi. labda itokee aziwea yoyote.

pili,ukiwa na lonja nashauri bora umeze filimbi,ukauke nayo. watu wana hate sana. ndio maana kina kunguru wa manzese wame mute baada ya kutoka chimbo.
huyu kunguru wa Manzese namkumbuka nilikuwa namuona kwenye ule uzi wa kubeti na machimbo ya totos akiwa mchangiaji mkubwa nadhani ni miaka miwili iliyopita [emoji1787] mara mwisho mwaka jana alituaga humu ndio mpka leo .
 
Hizi kazi zikitangwaza unaweza hisi umeshapata,, kuna kipindi nilianza na kukimbia mbio ili nipate pumzi , nikaanza na kukumbushia kwata za pass square lakini waapi.... nilipigwa ndoige hata damu sikupimwa(Maana bora ningepimwa hata damu nijue afya yangu)

All in all mungu ni mwema.
Nawatakia kila lakheri maafsa , kila mtu kashaandikiwa kuwa atashibia wapi.
 
Hizi kazi zikitangwaza unaweza hisi umeshapata,, kuna kipindi nilianza na kukimbia mbio ili nipate pumzi , nikaanza na kukumbushia kwata za pass square lakini waapi.... nilipigwa ndoige hata damu sikupimwa(Maana bora ningepimwa hata damu nijue afya yangu)

All in all mungu ni mwema.
Nawatakia kila lakheri maafsa , kila mtu kashaandikiwa kuwa atashibia wapi.
Hahaah ulipapaswa mapema tu
ilanKufanya mazoezi inapaswa kua desturi yako mkuu sio lazma uwe kwenye vyombo
 
Back
Top Bottom