Na atakuua kwa presha, maslahi mazuri kweli huko...mama yule kawapambania kweli posho kama zoooteEx wangu kaula mwezi ulio pita saiv ni askari wa Migration yule mbwa aachi kunipiga madongo [emoji856].
Mhh 😂😂Jeshi la polisi tz wanetoa ajira, wahi mapema kuomba. soma ambatanisho
View attachment 1897271View attachment 1897272
Omba hivyo hivyo utakutan na wazee wenzako hukoMhh 😂😂
Tukae kwa pose kwa hawa wahindi wetu mama…
Sijioni, sikuoni kwenye serikali kabisaaaa 🤣🤣 Lenie
Imagine mwaka wa tangazo nilikuwa under 25. Lakini sijamaliza f4 mwaka 2017 😂😂😂😂😂
Ila wabongo sijui tunakwama wapi when it comes to T&C 😂😂💥Omba hivyo hivyo utakutan na wazee wenzako huko
Hii nchi haijafikia userious wa hivyo wewe.. huko utakuta watu wa F4 2005Ila wabongo sijui tunakwama wapi when it comes to T&C 😂😂💥
Ushaambiwa uwe umemaliza F4 kuanzia 2017. Mimi niliyemaliza F4 2008 unataka niapply kwelii? Kwamba Mungu wangu ni ana upendeleo atanionekania ama?
Basi Nina tattoo kwenye ziwa 😂🤣🤭Hii nchi haijafikia userious wa hivyo wewe.. huko utakuta watu wa F4 2005
Utamkuta mwenzako anajicho moja la my wetu huko.. hii nchi nyie iangalieni tuBasi Nina tattoo kwenye ziwa 😂🤣🤭
hahahhaUtamkuta mwenzako anajicho moja la my wetu huko.. hii nchi nyie iangalieni tu
Nimechekaaa🤣🤣Mhh 😂😂
Tukae kwa pose kwa hawa wahindi wetu mama…
Sijioni, sikuoni kwenye serikali kabisaaaa 🤣🤣 Lenie
Imagine mwaka wa tangazo nilikuwa under 25. Lakini sijamaliza f4 mwaka 2017 😂😂😂😂😂
Umeanza kupata hela wwNimechekaaa🤣🤣
Unafit lakini kigezo no 4😅
Ila bana wahindi me nishawazoea na lugha yao nishaanza kuijulia so wacha tu tukomae nao😂
Wapo faster sanaaa makao makuuHere we go...View attachment 2795077
ELimu yako ilitajwa pale?Kimesha umana huko tusio na ma mbanga tume umaliza mwendo na degree zetu ...........tume kula za shingo 😂😂😂
Vip chief umepigwa za usoKimesha umana huko tusio na ma mbanga tume umaliza mwendo na degree zetu ...........tume kula za shingo [emoji23][emoji23][emoji23]