Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Wakuu mwenye lonja huko Magereza... Nimeona kuna mdau kafungua Uzi kwamba amepigiwa simu aende kwenye usaili magereza
 
Sijui ni kweli? Mwisho wa kutuma maombi ilikua jana tu, et leo tu tyr washaita watu kwenye usaili... Jamaa anasema huko usaili trh 13/10/2021

Mh sidhani ila kuna ndugu angu yupo mwanza aliomba kama form six wao wameombea mikoani asema alipopeleka tuu akaambiwa tar 10 aende kwenye usaili ....
Sasa huyu wa taaluma anaesema ameitwa duh sijui..??
 
Mh sidhani ila kuna ndugu angu yupo mwanza aliomba kama form six wao wameombea mikoani asema alipopeleka tuu akaambiwa tar 10 aende kwenye usaili ....
Sasa huyu wa taaluma anaesema ameitwa duh sijui..??
Tunadanganyana sana wabongo kwan barua zote c zinatumwa posta sasa aliambiwa na nani au yy barua yake pekee yake ilikua inapokelewa mkononi na sio posta kama tangazo lilivokua linajieleza kwamba hatupokei barua kwa mkono ..

Au aliambiwa na mfanyakz wa posta
 
Kwamba deadline jana afu leo watu wameitwa [emoji849][emoji849]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…