Gpili
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 2,180
- 2,083
Tatizo lipo wapi sasa ..ubaguzi hauna tijaNimepitia cv ya huyo waziri kumbe ni muhitimu wa open university.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo lipo wapi sasa ..ubaguzi hauna tijaNimepitia cv ya huyo waziri kumbe ni muhitimu wa open university.
Kwahiyo watumikishwe kutokana na uduni wa elimu zao?M binafsi naona waziri yuko sahihi kabisa sio kukatishana tamaa wala nn n katika kuambiana ukwel ukiajili sisi wenye taaluma au ufaulu mzuri baada ya muda utakuta tumeshaweka nyota begani sina ujuzi na mambo ya polisi lakini askari mwenye nyota sizani kama anaweza pangiwa lindo but ukiajiri wenye ufaulu wa chini inamaana huyo mtu hadi aifikie nyota sio Leo kwa hyo ataendelea kupangiwa majukumu ya lindo na kazi zingine ambazo mwenye nyota hatopangiwa
Kwan open University sio chuo ? Au unamaanisha nn mkuuNimepitia cv ya huyo waziri kumbe ni muhitimu wa open university.
Me nipo tabata niende ofisi gan?Ni EMS nenda Ofisi yoyote ile ya posta iliyokaribu Yako utahudumiwa.Kwani Sasa Ni Posta Mpya Na Mambo mapya.
Mbna bei sana mkuu.....utafauti wao na posta ni nn?EMS Posta,Tabata,Namanga bei ni 15,000.
Ata waliopo jeshini nafikili wao pia wanaelewa sio rahisi kupata nafasi ya kwenda kusoma zaidi upate kwenda kupiga kozi za jeshi pia waziri akuwadharau kajarbu kufafanua kwann waliachwa ndo maana ukiangalia ata nafasi tunazopewa wenye either dipolam or degree n chache sana kulinganisha na za chini sema hatupendi kuambiwa ukweli but ata walioko jeshini wenye elimu ndogo wanatambua fika sio rahisi kuruhusiwa kwenda kupiga kozi nje na za jeshi ndo maana unaweza kuta mtu n form six lakin ana nyota mbili hana ata degree why kozi kapiga kozi za jeshiKwahiyo watumikishwe kutokana na uduni wa elimu zao?
Kama mtazamo Waziri ndio je wadogo zetu na ndugu zetu waliopo huko na elimu zao ni za chini wakiomba kusoma siwanabaniwa ili kulinda maslahi ya jeshi?
Ukumbuke Upolisi ni utumishi wa umma, na moja ya haki za mtumishi ni kuruhusiwa kujiendeleza kitaaluma, kwa mtazamo wa Waziri hiyo haki itapatikana kweli??
Hiyo sanduk la posta ya kwan 1800 itafika kwa wakati kweli?EMS...15000/=
ile njia ya kuweka kwenye sanduku bei yake ni 1800,japo inategemea na uzito wa bahasha lakini kwa bahasha izi za application inakuaga ivo 1800.
Kingine cha kusaidiana sio kutumikishwa2 jeshini n Amri2 hakuna ombi kule ata uwe na elimu yako utapewa amri na aliekuzidi cheo so kama hutaki mambo hayo please usiombe kazi za jeshi maana utaenda kuusononesha moyo wako kule n amri mkuu hakuna ombi kama kazi zingineKwahiyo watumikishwe kutokana na uduni wa elimu zao?
Kama mtazamo Waziri ndio je wadogo zetu na ndugu zetu waliopo huko na elimu zao ni za chini wakiomba kusoma siwanabaniwa ili kulinda maslahi ya jeshi?
Ukumbuke Upolisi ni utumishi wa umma, na moja ya haki za mtumishi ni kuruhusiwa kujiendeleza kitaaluma, kwa mtazamo wa Waziri hiyo haki itapatikana kweli??
Tumia EMS kama unataka ifike haraka mkuu kama upo mbali na eneo inakoenda na unaona deadline imekaribiaHiyo sanduk la posta ya kwan 1800 itafika kwa wakati kweli?
Hii ni haraka na uhakika.Posta wiki nzima kufika eneo husika.Mbna bei sana mkuu.....utafauti wao na posta ni nn?
Ma Kuna mtu anayo atutumieWakuu naskia Kuna link ambayo ina majina kutoka makao
Unaleta Presha au unauliza?Wakuu naskia Kuna link ambayo ina majina kutoka makao
Kama ni Muombaji basi Ungekuwa wa kwanza kutafuta.Lakini Mpaka sasa ni Kama umekuja kuchangamsha Uzi tu hahahahhahaKa
Ma Kuna mtu anayo atutumie
wapi hiyoWakuu naskia Kuna link ambayo ina majina kutoka makao
sasa sisi wenye div one jeKama ni Muombaji basi Ungekuwa wa kwanza kutafuta.Lakini Mpaka sasa ni Kama umekuja kuchangamsha Uzi tu hahahahhaha
Mawapi hiyo
We umeelewaje mkuuUnaleta Presha au unauliza?
Website ya Jeshi la Polisi si unaifahamu?
Nnavo uliza uku ndo natafuta we Kama huna kaa utulie acha kuwashwaKama ni Muombaji basi Ungekuwa wa kwanza kutafuta.Lakini Mpaka sasa ni Kama umekuja kuchangamsha Uzi tu hahahahhaha
wapi hiyo