Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

ach

a kujisumbua kuna kundi ambalo bado awajaitwa wala kufanyiwa usaili hivyo usijisumbue hadi waitwe wafanyiew usahili ndio mkekeka wa pamoja unatoka
Hii taarifa mbn kama inaukwel ndan yake[emoji24]
 
Wale ma song leader,divers,pilots lile kundi la mwisho
Mbona watu wa bendi walichukuliwa na kikosi cha bendi na pilots walichukuliwa na wahusika wa kikosi cha anga kule kurasini tulivyoenda..ina maana hawakufanyiwa usaili? Sifahamu kuhusu divers
 
Waziri ameteleza. Mambo kama yale huwa hayasemwi, huwezi kujisifu kwa kuwatumikisha watu kwa sababu ya uduni wa elimu zao.

Anasema kabisa, huwezi kumwambia division 1 abebe silaha akalinde benki, hii tafsiri yake upolisi ni kazi ya walioshindwa kufaulu vizuri, sio sawa hii.

Anasema ukimchukua aliyefaulu vizuri baada ya muda atataka kusoma na kupanda juu, maana yake wadogo zetu waliopo kule na div 4 zao watakuwa wanabaniwa ili wasisome maana wakiruhusiwa kusoma lengo la jeshi litaharibika.

Upolisi ni kazi kama kazi zingine, Waziri ashauriwe vizuri mambo ya kupeleka public, anawafanya askari wake wadharauliwe na watu, mi binafsi limeniuma sana hili.
Nimefurahi kukuona hapa,kwenye fire kule umetema madini,nikatamani uendelee sema walikuboa mkuu.
 
Me nipo tabata niende ofisi gan?
Nenda posta mpya mkuu
Nakupa boda,shuka baridi
Vuka barabaraka soko la kisutu ingia kulia,boda tamu sana unatokea kwenye makanisa ya wahind pale chap tu upo posta mpya
Unaingia pale unapima uzani unaambiwa bei
Mm nililipa 2000
Wanaangalia address nje ya bahasha unabandika stempu
Unamkuta askari mdada pale mzuri sana mweupe, anakwambia ingiza hapo.
Unarudi na root ile ile ukifika tabata kimanga nistue tukale urojo [emoji28][emoji28]
 
Nenda posta mpya mkuu
Nakupa boda,shuka baridi
Vuka barabaraka soko la kisutu ingia kulia,boda tamu sana unatokea kwenye makanisa ya wahind pale chap tu upo posta mpya
Unaingia pale unapima uzani unaambiwa bei
Mm nililipa 2000
Wanaangalia address nje ya bahasha unabandika stempu
Unamkuta askari mdada pale mzuri sana mweupe, anakwambia ingiza hapo.
Unarudi na root ile ile ukifika tabata kimanga nistue tukale urojo [emoji28][emoji28]
Hahaha huku mkipeana lonja
 
Nenda posta mpya mkuu
Nakupa boda,shuka baridi
Vuka barabaraka soko la kisutu ingia kulia,boda tamu sana unatokea kwenye makanisa ya wahind pale chap tu upo posta mpya
Unaingia pale unapima uzani unaambiwa bei
Mm nililipa 2000
Wanaangalia address nje ya bahasha unabandika stempu
Unamkuta askari mdada pale mzuri sana mweupe, anakwambia ingiza hapo.
Unarudi na root ile ile ukifika tabata kimanga nistue tukale urojo [emoji28][emoji28]
Bei ndo efu mbili me nataka nitume kesho uhamiaj?
 
Back
Top Bottom