mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,514
- 4,042
Mmmmhhhh nawashwa Tena?Nnavo uliza uku ndo natafuta we Kama huna kaa utulie acha kuwashwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmmhhhh nawashwa Tena?Nnavo uliza uku ndo natafuta we Kama huna kaa utulie acha kuwashwa
a kujisumbua kuna kundi ambalo bado awajaitwa wala kufanyiwa usaili hivyo usijisumbue hadi waitwe wafanyiew usahili ndio mkekeka wa pamoja unatokaIna majina ya selected kwenda CCP
Hii taarifa mbn kama inaukwel ndan yake[emoji24]ach
a kujisumbua kuna kundi ambalo bado awajaitwa wala kufanyiwa usaili hivyo usijisumbue hadi waitwe wafanyiew usahili ndio mkekeka wa pamoja unatoka
Kundi gan bossach
a kujisumbua kuna kundi ambalo bado awajaitwa wala kufanyiwa usaili hivyo usijisumbue hadi waitwe wafanyiew usahili ndio mkekeka wa pamoja unatoka
Wale ma song leader,divers,pilots lile kundi la mwishoKundi gan boss
Mbona watu wa bendi walichukuliwa na kikosi cha bendi na pilots walichukuliwa na wahusika wa kikosi cha anga kule kurasini tulivyoenda..ina maana hawakufanyiwa usaili? Sifahamu kuhusu diversWale ma song leader,divers,pilots lile kundi la mwisho
Nimefurahi kukuona hapa,kwenye fire kule umetema madini,nikatamani uendelee sema walikuboa mkuu.Waziri ameteleza. Mambo kama yale huwa hayasemwi, huwezi kujisifu kwa kuwatumikisha watu kwa sababu ya uduni wa elimu zao.
Anasema kabisa, huwezi kumwambia division 1 abebe silaha akalinde benki, hii tafsiri yake upolisi ni kazi ya walioshindwa kufaulu vizuri, sio sawa hii.
Anasema ukimchukua aliyefaulu vizuri baada ya muda atataka kusoma na kupanda juu, maana yake wadogo zetu waliopo kule na div 4 zao watakuwa wanabaniwa ili wasisome maana wakiruhusiwa kusoma lengo la jeshi litaharibika.
Upolisi ni kazi kama kazi zingine, Waziri ashauriwe vizuri mambo ya kupeleka public, anawafanya askari wake wadharauliwe na watu, mi binafsi limeniuma sana hili.
Yupo Majukwaa yote huyu MkuuNimefurahi kukuona hapa,kwenye fire kule umetema madini,nikatamani uendelee sema walikuboa mkuu.
Nenda posta mpya mkuuMe nipo tabata niende ofisi gan?
Hahaha huku mkipeana lonjaNenda posta mpya mkuu
Nakupa boda,shuka baridi
Vuka barabaraka soko la kisutu ingia kulia,boda tamu sana unatokea kwenye makanisa ya wahind pale chap tu upo posta mpya
Unaingia pale unapima uzani unaambiwa bei
Mm nililipa 2000
Wanaangalia address nje ya bahasha unabandika stempu
Unamkuta askari mdada pale mzuri sana mweupe, anakwambia ingiza hapo.
Unarudi na root ile ile ukifika tabata kimanga nistue tukale urojo [emoji28][emoji28]
Hahaha ni good fatherYupo Majukwaa yote huyu Mkuu
HaswaaaaHahaha huku mkipeana lonja
Bei ndo efu mbili me nataka nitume kesho uhamiaj?Nenda posta mpya mkuu
Nakupa boda,shuka baridi
Vuka barabaraka soko la kisutu ingia kulia,boda tamu sana unatokea kwenye makanisa ya wahind pale chap tu upo posta mpya
Unaingia pale unapima uzani unaambiwa bei
Mm nililipa 2000
Wanaangalia address nje ya bahasha unabandika stempu
Unamkuta askari mdada pale mzuri sana mweupe, anakwambia ingiza hapo.
Unarudi na root ile ile ukifika tabata kimanga nistue tukale urojo [emoji28][emoji28]
Bei inategemea na uzito wa bahasha yako mkuu.Bei ndo efu mbili me nataka nitume kesho uhamiaj?
kwa hiyo sisi tuliotuma tumejisumbua auMbona watu wa bendi walichukuliwa na kikosi cha bendi na pilots walichukuliwa na wahusika wa kikosi cha anga kule kurasini tulivyoenda..ina maana hawakufanyiwa usaili? Sifahamu kuhusu divers