bravocharlie
JF-Expert Member
- Feb 1, 2020
- 861
- 857
Noma sana yaani...Daah pole sana mkuu .[emoji120]
Mshua angekuwepo wala usingesubiri lonja za Mr banks na choo cha kulipia [emoji3]we unateleza tuu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Tupo pamoja mkuuDaah kama mimi hata sielewi kama majibu washatoa. magereza nao ndio nasikia wamepigiwa watu simu
Dadekii nimebakiwa na fire tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Uzi wa fire uko wapi tuwekee link apa mkuu
@Kunguru wa Manzese na MrBanks inabidi tutafutane tukifika training ya fire [emoji16][emoji16]
Uhamiaji badoTupo pamoja mkuu
Nikienda PT ntapambania sana hapa,hata ikipindi nipeleke picha ya baba yangu akiwa UN kwa tiketi ya PT [emoji28]Kuna vitengo watu wanapambania kweli kweli mf.CID..
Apo 173 /30 utapata 5 hivi kwaiyo kila mkoa utapeleka form six watatu hadi watano tu kazi tunayo ***** baba kantuma wameteka idadi tayariidadi si niliona ni 173 tz nzima kwa pcm,pcb na pgm
@Choo Cha KulipiaApo 173 /30 utapata 5 hivi kwaiyo kila mkoa utapeleka form six watatu hadi watano tu kazi tunayo ***** baba kantuma wameteka idadi tayari
Duh bora hawa cjui magereza watachukua form six wangapiApo 173 /30 utapata 5 hivi kwaiyo kila mkoa utapeleka form six watatu hadi watano tu kazi tunayo ***** baba kantuma wameteka idadi tayari
Duh bora hawa cjui magereza watachukua form six wangapi
Tanzania wanahitajika 50 sijui hapo ni 1 hadi 2 kila mkoa atatoka mtu mmoja mkoa utaopata bahati basi 2 tu naona kwa kubalance tena hao Ni fire magereza kama magereza hawakuhitaji form sixDuh bora hawa cjui magereza watachukua form six wangapi
Kuna form six wamepigiwa kumbeYan magereza ndio nimeshindwa kuwaelewa yan....tangazo halikutaka form six LAKINI walioomba kama form six pia wamepigiwa simu waende kwa usaili [emoji16]
Kuna form six wamepigiwa kumbe
bac wamenitia moyo siye wa PT namba huenda ikawa kubwaNdio wengi tu wameitwa pia
Mzee wewe Mkoa ganiibac wamenitia moyo siye wa PT namba huenda ikawa kubwa
Nimeomba tanga ndio home kuleMzee wewe Mkoa ganii
Nimeomba tanga ndio home kule
Amiina mkuu [emoji120]Mtapata tuu ondoa hofu kiongozi,mungu wakwetu sote
Lakini magereza form six wameitwa kwenye interviewTanzania wanahitajika 50 sijui hapo ni 1 hadi 2 kila mkoa atatoka mtu mmoja mkoa utaopata bahati basi 2 tu naona kwa kubalance tena hao Ni fire magereza kama magereza hawakuhitaji form six