Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Kwa wale mnaongejea pdf ya PT. amini ya kwamba ni hivi karibuni maana wale ni watu wenye akili na taaluma zao hivyo hawawezi wafanyisha interview alaf wawaache mkae miez bila kuwapa feedback. Ilikua na maana gani kufanya usaili mapema alaf wakae na majina muda mrefu? Kwa hivyo basi muwe wavumilivu kidogo soon mnaitwa.
 
idadi si niliona ni 173 tz nzima kwa pcm,pcb na pgm
Apo 173 /30 utapata 5 hivi kwaiyo kila mkoa utapeleka form six watatu hadi watano tu kazi tunayo ***** baba kantuma wameteka idadi tayari
 
Apo 173 /30 utapata 5 hivi kwaiyo kila mkoa utapeleka form six watatu hadi watano tu kazi tunayo ***** baba kantuma wameteka idadi tayari
Duh bora hawa cjui magereza watachukua form six wangapi
 
Duh bora hawa cjui magereza watachukua form six wangapi

Yan magereza ndio nimeshindwa kuwaelewa yan....tangazo halikutaka form six LAKINI walioomba kama form six pia wamepigiwa simu waende kwa usaili [emoji16]
 
Duh bora hawa cjui magereza watachukua form six wangapi
Tanzania wanahitajika 50 sijui hapo ni 1 hadi 2 kila mkoa atatoka mtu mmoja mkoa utaopata bahati basi 2 tu naona kwa kubalance tena hao Ni fire magereza kama magereza hawakuhitaji form six
 
Yan magereza ndio nimeshindwa kuwaelewa yan....tangazo halikutaka form six LAKINI walioomba kama form six pia wamepigiwa simu waende kwa usaili [emoji16]
Kuna form six wamepigiwa kumbe
 
Tanzania wanahitajika 50 sijui hapo ni 1 hadi 2 kila mkoa atatoka mtu mmoja mkoa utaopata bahati basi 2 tu naona kwa kubalance tena hao Ni fire magereza kama magereza hawakuhitaji form six
Lakini magereza form six wameitwa kwenye interview
 
Back
Top Bottom