Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Naomba kuuliza hivi wakubwa wa jeshini huwa wanapewa nafasi zao kwl za kuleta watu wao he uwa ni idadi ngap? Mfano TPDF wao huanzia na wakubwa gani???
Haya mambo nadhani sio ya muhimu Kwa Sasa kuyajadili na hayana Afya kwenye huu Uzi asee! Ni mtazamo wangu lakini
 
Lonja yenye afya [emoji120]
 
Lonja muhimu ..bless sana
 
Kuna watu waliomba wayback mkoani hadi leo hawajui kinacho endelea still bado wana wish kupigiwa simu, kuna watu majina yamebandikwa kwenye mbao za matangazo mkoani lakin hawajui kuhusu ilo. Kuna watu walipigiwa wakawa hapatikani,
Punguza moto kijana na uwe na subira hizi taasisi znataratibu zake kama umefanya usaili subiri kama wa kupata utapat
 
Naomba kuuliza hivi wakubwa wa jeshini huwa wanapewa nafasi zao kwl za kuleta watu wao he uwa ni idadi ngap? Mfano TPDF wao huanzia na wakubwa gani???
Subiria Kanali msemaji wa chombo kama akisema kuna nafasi wakubwa hupewa basi utapata jibu,au sogea pale NGOME ukawaulize..
[emoji38][emoji38]

Mkubwa ni mkubwa tu kijana wewe elewa hivyo tu.
 
Subiria Kanali msemaji wa chombo kama akisema kuna nafasi wakubwa hupewa basi utapata jibu,au sogea pale NGOME ukawaulize..
[emoji38][emoji38]

Mkubwa ni mkubwa tu kijana wewe elewa hivyo tu.
Wanadai mwaka huu haki inatendeka hkn cha ukubwa wala nin cjui km kweli
 
Kudadeki maisha haya ndo mn baba kanituma hata usaili hawafanyagi yn
 
Ohoo mwambie huyo mkuu tunaoandika barua ni sisi watoto wa ndege [emoji3] ndio utakuta tumejazana posta kutuma barua au kwenye maofisi wilayani tumejazana kama mchwa kufanya usaili


Mtoto wa mkubwa unakutana nae kwenye.mafunzo tu tena kwa dharau zaidi wanachelewa kuripoti [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kuna watu waliomba wayback mkoani hadi leo hawajui kinacho endelea still bado wana wish kupigiwa simu, kuna watu majina yamebandikwa kwenye mbao za matangazo mkoani lakin hawajui kuhusu ilo. Kuna watu walipigiwa wakawa hapatikani,
We jamaa msenge sana punguza ujuaji basi.
 
Kwa akili yako kabisa unafikiri hivi vitu vinakuwa wazi kwa namna unayowaza wewe? Hebu wakati mwingine jiulize kama hicho unachokiongea hapa kipo kisheria mpaka kuwa wazi hivyo au la? Sometime jitahid kuw na logical thinking brother.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3577]
 
We jamaa msenge sana punguza ujuaji basi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…