Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Naomba kuuliza hivi wakubwa wa jeshini huwa wanapewa nafasi zao kwl za kuleta watu wao he uwa ni idadi ngap? Mfano TPDF wao huanzia na wakubwa gani???
Haya mambo nadhani sio ya muhimu Kwa Sasa kuyajadili na hayana Afya kwenye huu Uzi asee! Ni mtazamo wangu lakini
 
Mchakato wa kutoa mkeka huwa ni wa umakini sana asijekuachwa mtu kimakosa hivyo vijana tulieni,mbivu na mbichi ni mwezi huu huu kwa vyombo vyote vya mambo ya ndani ili mwezi ujao chama la wana nalo lipigishe usaili.

Ila pia kuna uwezekano kozi kuwa mwakani Januari japo mabadiriko ni wakati wowote.
Lonja yenye afya [emoji120]
 
Wakuu habari za wakati huu
M nipo na ishu moja , Kama Kuna mtu anasubir kuitwa PT kwanza amechelewa
Suala lililopo PT sahiv ni majina yaliyopitushwa katika saili mbalimbali mikoani kwa upande wa 4m 4 na 4m 6 na kwa walioombea professionals mbalimbali kwa ngazi tofauti Kama ilivo ainishwa kulingana na uhitaji wa tangazo elekezi
Hivyo kwa walioombea kidato cha nne na sita kama ulipita hadi hatua ya mwisho ya usaili majina yametumwa makao makuu ili kuweka majumuishi kwa mikoa yote na kutoa mkeka mmoja
Na kila mkoa ulipewa idadi ya watu kulingana na factor zifuatazo
1)Idadi ya waombaji wenye sifa
2)Idadi ya vikosi vya JKT vilivyopo kwenye mkoa huo

Naruhusu kukoselewa .Asanten
Lonja muhimu ..bless sana
 
Kuna watu waliomba wayback mkoani hadi leo hawajui kinacho endelea still bado wana wish kupigiwa simu, kuna watu majina yamebandikwa kwenye mbao za matangazo mkoani lakin hawajui kuhusu ilo. Kuna watu walipigiwa wakawa hapatikani,
Punguza moto kijana na uwe na subira hizi taasisi znataratibu zake kama umefanya usaili subiri kama wa kupata utapat
 
Naomba kuuliza hivi wakubwa wa jeshini huwa wanapewa nafasi zao kwl za kuleta watu wao he uwa ni idadi ngap? Mfano TPDF wao huanzia na wakubwa gani???
Subiria Kanali msemaji wa chombo kama akisema kuna nafasi wakubwa hupewa basi utapata jibu,au sogea pale NGOME ukawaulize..
[emoji38][emoji38]

Mkubwa ni mkubwa tu kijana wewe elewa hivyo tu.
 
Subiria Kanali msemaji wa chombo kama akisema kuna nafasi wakubwa hupewa basi utapata jibu,au sogea pale NGOME ukawaulize..
[emoji38][emoji38]

Mkubwa ni mkubwa tu kijana wewe elewa hivyo tu.
Wanadai mwaka huu haki inatendeka hkn cha ukubwa wala nin cjui km kweli
 
Rais hawez kumonitor kila sehemu......ana kazi nyingi na za muhimu zaid kuliko kufatilia hizo ajira zinatolewa kwa kina nani....hayo mambo yapo tu...hata wewe ukiwa kwenye hizo position na una ndugu/mtt anahangaika mtaani bila ajira maalumu, utamvuta tu [emoji16]
Kudadeki maisha haya ndo mn baba kanituma hata usaili hawafanyagi yn
 
Rais hawez kumonitor kila sehemu......ana kazi nyingi na za muhimu zaid kuliko kufatilia hizo ajira zinatolewa kwa kina nani....hayo mambo yapo tu...hata wewe ukiwa kwenye hizo position na una ndugu/mtt anahangaika mtaani bila ajira maalumu, utamvuta tu [emoji16]
Ohoo mwambie huyo mkuu tunaoandika barua ni sisi watoto wa ndege [emoji3] ndio utakuta tumejazana posta kutuma barua au kwenye maofisi wilayani tumejazana kama mchwa kufanya usaili


Mtoto wa mkubwa unakutana nae kwenye.mafunzo tu tena kwa dharau zaidi wanachelewa kuripoti [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kuna watu waliomba wayback mkoani hadi leo hawajui kinacho endelea still bado wana wish kupigiwa simu, kuna watu majina yamebandikwa kwenye mbao za matangazo mkoani lakin hawajui kuhusu ilo. Kuna watu walipigiwa wakawa hapatikani,
We jamaa msenge sana punguza ujuaji basi.
 
Kwa akili yako kabisa unafikiri hivi vitu vinakuwa wazi kwa namna unayowaza wewe? Hebu wakati mwingine jiulize kama hicho unachokiongea hapa kipo kisheria mpaka kuwa wazi hivyo au la? Sometime jitahid kuw na logical thinking brother.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3577]
 
We jamaa msenge sana punguza ujuaji basi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom