Kama umetoa hela yoyote kwaajili ya hizi nafas ujue Kuna uwezekano mkubwa wa kukosa kabisa otherwise uwe na vigezo vyote vngnevyo umetapeliwa tayariHaiwezekan kuna watu wana uhakika hafu wengine hatuna uhakika mfano mimi gharama kibao nimetumia.....
Sema wadau mkipata mtoe mrejesho ili tujue kuwa wengine hatukuwa na bahati tu.
Ajira za kwenye majeshi huwa majina hayatolewi haraka yanaweza kumaliza hata mwezi na yakitolewa bas ujue na maelekezo ya kuripot vyuo vya kijesh yanatolewa hapohapo unakua hauna hata wiki ya kujiandaa vzuri unakua taye upo chin yao tayar unaanza kufata amri, inawezekana mkeka upo tayar ila hawautoi had wahakikishe vyuo vyao vina nafas na kama kuna kozi zinaendelea ztamalizwa kwanza ndo majina yatokeWakubwa nakumbusha tusilalamike sana.
Kama tushatuma maombi cha msingi apa ni kushona na kutulia tusubiri yajayo
We unawaza rushwa tu wapi nimesema nimehonga???Kama umetoa hela yoyote kwaajili ya hizi nafas ujue Kuna uwezekano mkubwa wa kukosa kabisa otherwise uwe na vigezo vyote vngnevyo umetapeliwa tayari
Wenye vigezo wanazingatiwa zaid kuliko wanao honga
Bas usingetuma ili uokoe helaWe unawaza rushwa tu wapi nimesema nimehonga???
Hapo nimezungumzia gharama za kutuma maombi dogo.
Na ww ulikuwepo kwenye usahili kumbeWakati wa usaili niliongea na POT mmoja pale kilwa akanipa lonja kuwa CCP inameza mpaka kurutu 5000+ ni chuo cha kimataifa kinachohudumia POT pamoja na nchi jirani.
Dah nimecheka sanqNapitia huu uzi kwa umakini mkubwa nagundua watu wengi wanapenda kuwa Polisi licha ya kuwatukana Polisi kila siku.
Mnasemaga Polisi hawana akili mara hawajielewi, wala rushwa, waonevu mbona huu uzi hauzungumzii hayo?
Nyam.bafu nyie mlidhani wao wanapenda uovu, inatokea tu jinsi utawala bora unavyoharibiwa na watawala ilihali wao wana viapo vyao
Napitia huu uzi kwa umakini mkubwa nagundua watu wengi wanapenda kuwa Polisi licha ya kuwatukana Polisi kila siku.
Mnasemaga Polisi hawana akili mara hawajielewi, wala rushwa, waonevu mbona huu uzi hauzungumzii hayo?
Nyam.bafu nyie mlidhani wao wanapenda uovu, inatokea tu jinsi utawala bora unavyoharibiwa na watawala ilihali wao wana viapo vyao
Unafanyaje kazi ambayo huipendi.Tumia akili.Watu wanataka ajira sio kama wanaupenda u polisi..
Unaijua shida ww kiazi?Unafanyaje kazi ambayo huipendi.Tumia akili.
Unafilimbwa wewe kiazi.Binafsi siwezi fanya kazi nisiyoipenda.Nyie ndio mnaoenda kulichafua jeshi la polisi maana mnaenda huko kwa matakwa yenu(maslahi binafsi) na si kuwa wazalendo mwishowe mnakuwa wala rushwa.Unaijua shida ww kiazi?
Duuh mzee utatuaa na presha maombi mwisho si jana hahaha.
Alaa kumbe ngoja tusubiri hilo li pdfDuuh mzee utatuaa na presha maombi mwisho si jana hahaha.
Ukipata hiyo ajira lazima ufuate orders ndo hapo utaonekana huna akili kama mnavyowatoleaga maneno machafu PolisiWatu wanataka ajira sio kama wanaupenda u polisi..
Wazi afande..........Hizi kazi na za kizalendo.Vijana mkiingia huko na kuwaza mavyeo na Madaraka mtaumia Kila siku.Kazi za Vyombo vya Ulinzi na usalama ni za kujitoa Kwa ajili ya Watu.Uzalendo kwanza Maslahi Baadae ama yanaweza yasiwepo kabisa.Sifa ya Askari ni kiapo na Uzalendo.Waaaaaziiiii Vijana wenzangu