mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,514
- 4,042
Ulisoma Kozi ganiDuuh basi sawa itakua sio bahat yangu maana kama kila kitu niliweka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulisoma Kozi ganiDuuh basi sawa itakua sio bahat yangu maana kama kila kitu niliweka
Wa afya Wamepigiwa kweli mkuu nadhan wanaambiwa wafike hospital ya polisi kilwa road karibu na jkt mgulani wakiwa na vyeti og, kama itakua ni matapeli Basi watawakusanya wengi Sana, kama Kuna yupo uku ataweza kuelezea kama kweli hospital ya polisi ipo maeneo hayo
Nursing officer(NO) - Bachelor of science in NursingUlisoma Kozi gani
Ulisoma Kozi ganiDuuh basi sawa itakua sio bahat yangu maana kama kila kitu niliweka
Tumeni namba ya simu mliyopigiwa nayoNGOJA JUMATATU WATU WAKAFANYE USAILI THEN WATALETA USHUHUDA HUMU NDANI..
Hahahhahahahaha Lonja ni tamuu sanaaaHapa ndo utajua kwanini wazee wa kukamata bodaboda wanaitwa "Tigo"
Hahahahah..
Tigoooo.. EXPRESS YOURSELF
Mkuu hili tangazo la juzi..hawajasema.na barua ya utambulisho namie nishatuma tyr,kwahyo ntakua DISQUALIFIED?Na Kuhusu leaving,nimeattach ya form4 na form 6 tu..ila ya la7 sijaAttach,Vipi hapo pia?Ukiitwa basi kweli una zali..waombaji ni wengi mistake moja tu unatupwa nje..
Wale maafande tigo kaa nao mbali mkuu wamevurugwa sanaHahahhahahahaha Lonja ni tamuu sanaaa
Mkuu kama kapigiwa simu kuitwa uko kwa uzoefu ulionao Kuna % ngapi kwenda ccp?Ni sahihi kuna baadhi ya vijana(kada ya afya) wamepigiwa simu,makutano ni Kurasini Police Barracks.
Mkuu hili tangazo la juzi..hawajasema.na barua ya utambulisho namie nishatuma tyr,kwahyo ntakua DISQUALIFIED?Na Kuhusu leaving,nimeattach ya form4 na form 6 tu..ila ya la7 sijaAttach,Vipi hapo pia?
Ni sahihi kuna baadhi ya vijana(kada ya afya) wamepigiwa simu,makutano ni Kurasini Police Barracks.
mkuu naomba nijibu swali la kua disqualified hilo..sijakuelewa Bro[emoji120],pia nimezidisha ushindani kivipi?Utakua ni umezidisha ushindani yan utapita bila kupingwa..!all the best afande
mkuu naomba nijibu swali la kua disqualified hilo..sijakuelewa Bro[emoji120],pia nimezidisha ushindani kivipi?
Naina effect...sababu hizo leaving za la7 sio wote wanazo
mkuu tupe hints..saili zao yanakua maswali ya shule au ni mazoezi tu?Ni sahihi kuna baadhi ya vijana(kada ya afya) wamepigiwa simu,makutano ni Kurasini Police Barracks.
Ila we Jamaa una vituko sanaaaUtakua ni umezidisha ushindani yan utapita bila kupingwa..!all the best afande
Hayo ma Leaving wakikuita usaili huko Ndo watabna lakini hatua hii ya Awali haina Effect...Ukiitwa Usaili usisahau leaving zako zote na viambatanisho vyako Vyote original Asee...Haina effect***
Ukiitwa Usaili Kigezo kimojawapo ni Kuwa na Viambata Vyote yaani kufuzu nakuingia chumba Cha kusailiwa.Kwa hiyo jitahidi Sana unapoenda kama Ukiitwa Usaili Usisahau Leaving zako zote Original.Na Pia namba Yako ya NIDA au Kitambulisho UsisisahuMkuu hili tangazo la juzi..hawajasema.na barua ya utambulisho namie nishatuma tyr,kwahyo ntakua DISQUALIFIED?Na Kuhusu leaving,nimeattach ya form4 na form 6 tu..ila ya la7 sijaAttach,Vipi hapo pia?