Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Wazalendo naona mnakula utawala mitaa ya shanty town, wengine sijui wameenda Alberto?

Maana si kwa kupoa huku, kikosi kimedorola hakina Lonjaaa.

Hahahahah tupeni lonja mapot
 
Wazalendo naona mnakula utawala mitaa ya shanty town, wengine sijui wameenda Alberto?

Maana si kwa kupoa huku, kikosi kimedorola hakina Lonjaaa.

Hahahahah tupeni lonja mapot
Hahaa, bila shaka utakua njagu wewe, mitaa yao hiyo[emoji23][emoji23]..

Wape lonja wazalendo
 
Hivi kwenye usaili lazima kutoa nguo kama jkt [emoji849][emoji849][emoji849]
 
Habarini Wakuu!

Hongereni sana kwa harakati hizi za kutafuta namna ya kujiunga na jeshi letu la Polisi. Nina maswali kadhaa naomba mnijuze;

1. Hizi nafasi walizotangaza kwa mara ya pili, je kwa kijana aliyemaliza shahada yako miaka 10 iliyopita anaweza akaziomba ?

2. Je mtu anaweza kwenda kwenye usaili akiwa na ndevu (kama zile za wa Taliban) au sharti uzinyoe kwanza hata kama huna uhakika wa kupata au kutopata nafasi ?
 
Habarini Wakuu!

Hongereni sana kwa harakati hizi za kutafuta namna ya kujiunga na jeshi letu la Polisi. Nina maswali kadhaa naomba mnijuze;

1. Hizi nafasi walizotangaza kwa mara ya pili, je kwa kijana aliyemaliza shahada yako miaka 10 iliyopita anaweza akaziomba ?

2. Je mtu anaweza kwenda kwenye usaili akiwa na ndevu (kama zile za wa Taliban) au sharti uzinyoe kwanza hata kama huna uhakika wa kupata au kutopata nafasi ?

Ninavojua mimi...
1.issue ni miaka tuu kama upo ndani ya range ya miaka wanayoihitaji sawa.
2.NYOA NDEVU BOSS.
 
Wakuu niliitwa kwenye usaili shahada kesho kwa upande wa afya Ila pia Kuna pande amblo lina maslahi zaidi nimepata inabidi nipige chini upolisi nikasaini mkataba next week, mtakao enda niwatakie kila la kheri kokote kambi.

Hahahahaha safi sana mkuu [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]KWA KUOUNGUZA IDADI[emoji120][emoji120]
 
Ninavojua mimi...
1.issue ni miaka tuu kama upo ndani ya range ya miaka wanayoihitaji sawa.
2.NYOA NDEVU BOSS.

1. Miaka ina range from 30 to 35, je kutakuwa na uwezekano wa kupata nafasi ?

2. Zkiachwa itakuwa na shida gani, kwani hakuna askari mwenye ndevu huko majeshini ?
 
1. Miaka ina range from 30 to 35, je kutakuwa na uwezekano wa kupata nafasi ?

2. Zkiachwa itakuwa na shida gani, kwani hakuna askari mwenye ndevu huko majeshini ?

Kwenye swala la ndevu sijajua zikiachwa zinashida gani...ila kwa ninavoona NYOA.labda wanaojua sababu watasema
 
1. Miaka ina range from 30 to 35, je kutakuwa na uwezekano wa kupata nafasi ?

2. Zkiachwa itakuwa na shida gani, kwani hakuna askari mwenye ndevu huko majeshini ?

IMG_7200.jpg
 
DC tangazo linataka Jkt alafu unaniambia kama Nina vigezo wakati hapo tayari mchujo, hii Nchi bhana tabu tupu double standard daily au huko MG tulipewa mafunzo na raia?
Wala siyo vigezo ni vile wanatumia undugu kutoa ajira , hilo tangazo ni kuchemsha watu huku selection ishamalizika kijanja.
 
yaani ww unawaza uafisa !! polisi hawaangalii elimu hata kidogo
Mkuu Usidanganye alaiki,sifa yakupata vyeo vya kiafisa vya polisi:elimu(kuanzia degree),nidhamu(usiwe na mashitaka)+utendaji kazi mzuri(weledi).


Note:Baada ya kutoka depo itampasa askari alitumikie jeshi kwa miaka kadhaa,baada ya hapo mkuu wa jeshi la polisi kulingana na ukubwa wa bajeti anaweza kupendezekeza wale wenye elimu ya juu wakapige kozi ya cheo fulani,hapa inatategemea na matakwa yake.Degree holders wanaweza wakapendekezwa kwenda sgt course au S/sgt au hata kozi ya afisa mkaguzi wa polisi(inspector).
 
Back
Top Bottom