Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Kuna mtu namuandikia barua sasa sijajua jinsi ya kuandika anuani ya muandikiwa kwa mwenye uelewa anisaidie yy yupo dar wilaya ya temeke anataka kutuma magereza sasa pale wamesema anuani iende kwa mkuu wa gereza sehemu husika je kwa temeke gereza lipo?? Na anuani naandika kwa s.l.p gani??? Msaada jaman kama unaweza niandikie apa

NB; BARUA SIO YANGU NI YA MDOGO WANGU MIMI SINA VIGEZO VYA APO. ...
Soma tangazo la Jeshi Husika waliotoa Ajira....Angalia anuani utaona Kila kitu kinajieleza kwenye Matangazo
 
Kuna mtu namuandikia barua sasa sijajua jinsi ya kuandika anuani ya muandikiwa kwa mwenye uelewa anisaidie yy yupo dar wilaya ya temeke anataka kutuma magereza sasa pale wamesema anuani iende kwa mkuu wa gereza sehemu husika je kwa temeke gereza lipo?? Na anuani naandika kwa s.l.p gani??? Msaada jaman kama unaweza niandikie apa

NB; BARUA SIO YANGU NI YA MDOGO WANGU MIMI SINA VIGEZO VYA APO. ...
Rejea huko juu kidogo kuna barua za mifano zimetumwa
 
[emoji116]
Choo Cha Kulipia,
S.L.P 0,
Dar es Salaam,Tanzania,
+255 000 000 000
4 Oktoba 2021.
Anuani ya Jeshi inakoenda.

Yah:Nafasi ya Ajira katika Jeshi la..

Tafadhali rejea kichwa cha habari tajwa hapo juu.

Mimi Choo Cha Kulipia,mwenye umri wa miaka 0,kijana wa Kitanzania,mwenye elimu ya darasa la 7B kutoka Shule ya Msingi JF na cheti cha kuhitimu mafunzo katika Jeshi la Kujenga Taifa Operesheni Vyama Vingi(Kujitolea) kati ya mwaka 1991-1993,ninayo furaha kuomba nafasi ya kujiunga na mafunzo ya awali ya Jeshi la..

Mimi ni kijana mzalendo kwa Taifa langu na mwenye ari na utayari kulitumikia Jeshi la.. popote pale itapoonekana inafaa muda na wakati wowote.

Natanguliza shukurani zangu za dhati.

Wako katika Ujenzi na Ulinzi wa Taifa,

(Hii sio word kwaiyo haijakaa vema,ila kama unajua andika barua utaelewa mkuu)

Credit to Choo Cha Kulipia
 
Soma tangazo la Jeshi Husika waliotoa Ajira....Angalia anuani utaona Kila kitu kinajieleza kwenye Matangazo
Nmesoma vzr tu kwa wenye fani ndo wameandikiwa anuani ambayo ni
mkuu wa magereza
Barbara ya msalato
S.l.p 1176

Ila iyo nayoandika ni ya mwenye chet cha form4
 
Nmesoma vzr tu kwa wenye fani ndo wameandikiwa anuani ambayo ni
mkuu wa magereza
Barbara ya msalato
S.l.p 1176

Ila iyo nayoandika ni ya mwenye chet cha form4

Nikweli anuani za wakuu wa magereza ya wilaya husika hazijawekwa....labda tu kwa ushauri kama ukishindwa kupata msaada hapa jaribu kwenda ofice zao ukawaulize then uandike
 
Nmesoma vzr tu kwa wenye fani ndo wameandikiwa anuani ambayo ni
mkuu wa magereza
Barbara ya msalato
S.l.p 1176

Ila iyo nayoandika ni ya mwenye chet cha form4
Tafuta Tangazo lenye kurasa 17 ndio Lina Kila kitu
 
Wakuu tofauti ya fani na taaluma ni nini?
Maana uhamiaji wamesema fani sio taaluma,
Naomba kujuzwa hapo.
 
Polisi wanasubiri nini kutoa majina na usaili tayari wamesha maliza au wanasubiri wale watu wa fani wa tangazo la pili?
Kuwa na subira.

Jana kulikua na mahafali ccp ya wakaguzi wasaidizi wa polisi (2030).

Nadhani wakishatoka wote, intake yenu ndo mtaingia.
 
Naomba mnisaidei mwenye tangazo la jeshi la zima moto wadau.. Ambae mwenye nalo[emoji120]
 
Back
Top Bottom