Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Date Added 11/10/2021.....Date Modified 11/10/2021.....πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
 
Date Added 11/10/2021.....Date Modified 11/10/2021.....πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
admin weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Uko Sahihi kabisa.Mungu ndiye Mpangaji wa Vyote.Leo upo huku Kesho upo Kule,Leo una hali Gani Kesho una hali hii,Hakika Mungu ni Mkuu
ndio ivyo maana kuna muda utajiona ww ni mjeshi,uhamiaji,polisi,tiss,takukuru kumbe Mungu anataka uwe tofauti na uko ana mpango na wewe cha msingi ni kumuomba mipango yake juu yetu itimiee kwa mapenzi yake atuishi kwa mapenzi yetu
 
ndio ivyo maana kuna muda utajiona ww ni mjeshi,uhamiaji,polisi,tiss,takukuru kumbe Mungu anataka uwe tofauti na uko ana mpango na wewe cha msingi ni kumuomba mipango yake juu yetu itimiee kwa mapenzi yake atuishi kwa mapenzi yetu
Hakika Mzee.Mungu ni Mkuu Sana.Na Kesho Zetu ni Fumbo kubwa sana
 
ndio ivyo maana kuna muda utajiona ww ni mjeshi,uhamiaji,polisi,tiss,takukuru kumbe Mungu anataka uwe tofauti na uko ana mpango na wewe cha msingi ni kumuomba mipango yake juu yetu itimiee kwa mapenzi yake atuishi kwa mapenzi yetu
Alafu sasa it doesn't matter upo wapi?
Mungu akitaka ung'ae hapo ni utang'aa tu
Lets say upo zimamoto unashangaa mzee unakua talk of the town kwa jinsi unavyo fanya mambo huko
 
Modified
Screenshot_20211011-123240.jpg
 
Back
Top Bottom