mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,514
- 4,042
Date Added 11/10/2021.....Date Modified 11/10/2021.....π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna nati itakua imechomokaHaya matangazo yanaashiria nini Wakuu?
admin weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeDate Added 11/10/2021.....Date Modified 11/10/2021.....π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯
Hahahaha wapi hukooNi utangulizi wa pdf huo,
pdf sio leo hadi waitwe wote kwenye usailiNi utangulizi wa pdf huo,
Eti eeehhhhhhNi utangulizi wa pdf huo,
Hahahahahapdf sio leo hadi waitwe wote kwenye usaili
Ataua watu Kwa presha Admin hahahahadmin weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Uko Sahihi kabisa.Mungu ndiye Mpangaji wa Vyote.Leo upo huku Kesho upo Kule,Leo una hali Gani Kesho una hali hii,Hakika Mungu ni Mkuuomba Mungu yeye ndio anaye jua alipo kupangia hivyo usiwe na presha wakati wako ukifika mambo yatakuwa poa ndio maisha ya wa bongo
ndio ivyo maana kuna muda utajiona ww ni mjeshi,uhamiaji,polisi,tiss,takukuru kumbe Mungu anataka uwe tofauti na uko ana mpango na wewe cha msingi ni kumuomba mipango yake juu yetu itimiee kwa mapenzi yake atuishi kwa mapenzi yetuUko Sahihi kabisa.Mungu ndiye Mpangaji wa Vyote.Leo upo huku Kesho upo Kule,Leo una hali Gani Kesho una hali hii,Hakika Mungu ni Mkuu
Hakika Mzee.Mungu ni Mkuu Sana.Na Kesho Zetu ni Fumbo kubwa sanandio ivyo maana kuna muda utajiona ww ni mjeshi,uhamiaji,polisi,tiss,takukuru kumbe Mungu anataka uwe tofauti na uko ana mpango na wewe cha msingi ni kumuomba mipango yake juu yetu itimiee kwa mapenzi yake atuishi kwa mapenzi yetu
Alafu sasa it doesn't matter upo wapi?ndio ivyo maana kuna muda utajiona ww ni mjeshi,uhamiaji,polisi,tiss,takukuru kumbe Mungu anataka uwe tofauti na uko ana mpango na wewe cha msingi ni kumuomba mipango yake juu yetu itimiee kwa mapenzi yake atuishi kwa mapenzi yetu
mm sijaelewa aya matangazo kama ww ndio admin kazi ipo deadline ni 31/8/2021
Mzee umeamua ulete kabisaa
Hakika Sema kwenye Maisha yako usiwaze Ukubwa.Ukubwa unakuja tu wenyewe na Mungu ndiye Hufanya yote hakikaAlafu sasa it doesn't matter upo wapi?
Mungu akitaka ung'ae hapo ni utang'aa tu
Lets say upo zimamoto unashangaa mzee unakua talk of the town kwa jinsi unavyo fanya mambo huko
Naona presha zimewajaa.. tulieni vijanaMzee umeamua ulete kabisaa
HahahaahahhahaNaona presha zimewajaa.. tulieni vijana