hyassin92
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 584
- 634
Ni 1000 tu , according to wizara ya mambo ya ndanibac wamenitia moyo siye wa PT namba huenda ikawa kubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni 1000 tu , according to wizara ya mambo ya ndanibac wamenitia moyo siye wa PT namba huenda ikawa kubwa
Wewe muda wote unalia na baba kantuma [emoji1787][emoji1787][emoji1787] pambana mkuu hii nchi ngumu bila connection sio rahisi utoboe yaani.Apo 173 /30 utapata 5 hivi kwaiyo kila mkoa utapeleka form six watatu hadi watano tu kazi tunayo ***** baba kantuma wameteka idadi tayari
ImeiSha Hiyo kaka 😂😂😂@Kunguru wa Manzese na MrBanks inabidi tutafutane tukifika training ya fire [emoji16][emoji16]
Hadi muda huu kama hujaitwa/pigiwa Simu kuhusiana na mambo ya pt, mT , endelea na michongo yako tu mingine, maana ukwel ni jambo zuri sana, tatizo nikiwekaga post zangu jamaa wanasema mimi naroho mbaya, why ujipe matumaini yasio kuwepo dunia ya kwel, labda kwenye novel and poems
unapotosha watu bro,hamn sehem wamebandik majin hayo tofaut na yale yaliyoitwa kwnye usaili watu tunashinda city centre dailyKuna watu waliomba wayback mkoani hadi leo hawajui kinacho endelea still bado wana wish kupigiwa simu, kuna watu majina yamebandikwa kwenye mbao za matangazo mkoani lakin hawajui kuhusu ilo. Kuna watu walipigiwa wakawa hapatikani,
Daah Inshallah maana huko ndio nakusubiri nadhani huku kwengine nishaharibu [emoji1787][emoji1787]@Kunguru wa Manzese na MrBanks inabidi tutafutane tukifika training ya fire [emoji16][emoji16]
Hivi form six magereza wametaka wangapi ? Halafu kwenye lile tangazo walisema wanataka form 4Ndio wengi tu wameitwa pia
Polisi nilikosa mkuu ila sasa kama polisi walikuwa wa kwanza kutoa tangazo mapema mnoo kuliko majeshi mengine mpka leo mchakato haueleweki haya hawa fire na uhamiaji waliotoa majuzi si ndio tutasubir aiseePT watatoa muda si mrefu tu.Kikubwa Subira
Hivi form six magereza wametaka wangapi ? Halafu kwenye lile tangazo walisema wanataka form 4
Ila kwenye jinsi ya kutuma maombi walisema kama unakala ya cheti cha kidato cha sita unatuma sasa
Kule watakuwa acknowledge vipi form six au four ?
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Basi watatengwa group la form 4 chetiNi sentensi tata....lakini mimi nilivyoelewa maybe hio nakala ya 4 au 6.....ni kwa wale wenye diploma ambao walipita pia advance,pamoja na wenye degree...
Lakini nadhani tangazo halikutaka kidato cha sita (kwa nilivoelewa)
Hahahah Mkuu unaleta moto MwlKuna lonja ilitembea kua pdf la PT kesho lina mwagika.!! Nipe neno katika hili
Mchakato wa kutoa mkeka huwa ni wa umakini sana asijekuachwa mtu kimakosa hivyo vijana tulieni,mbivu na mbichi ni mwezi huu huu kwa vyombo vyote vya mambo ya ndani ili mwezi ujao chama la wana nalo lipigishe usaili.
Ila pia kuna uwezekano kozi kuwa mwakani Januari japo mabadiriko ni wakati wowote.
Mzee wa chama la Wana...Mzee wa Lonja,Mzee wa Uzi huu.Vijana Huwa wanakukubali sana ukija ukatoa neno hahahahahaMchakato wa kutoa mkeka huwa ni wa umakini sana asijekuachwa mtu kimakosa hivyo vijana tulieni,mbivu na mbichi ni mwezi huu huu kwa vyombo vyote vya mambo ya ndani ili mwezi ujao chama la wana nalo lipigishe usaili.
Ila pia kuna uwezekano kozi kuwa mwakani Januari japo mabadiriko ni wakati wowote.