MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,514
- 15,050
Na muende mkadoje na ccp sasa [emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba mim sikuwa nanga! Mwendo wa kubana makalio mwanzo mwisho[emoji1787][emoji1787]Aah wapi mananga najua mpo kama wote humu [emoji3]
Kila sehem madoja hawakosi baba. Kuna mshikaj 835 Alikuw anadoji huyo balaa mpk leo nakumbuka jina lake ANANIA CHAMBO, huyu jamaa alikuwa doja balaa sjuw km aliwahi kukesha hata mkesha mmoja lbd sku ya intro.ilifika kipind makamanda wote wa kombania wakaenda kumvizia angani wamkamate lkn wapi haonekani,hadi kwny msoc mshikaj haonekani lkn coupon yake inatumika yule alikuwa noma sn. Sku 1 wakambamba!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Assume kichapo chake hiko baba,yan amesumbua maodari koplo km wote hlf kakamatw sas.alipigw mzigo huo acha tu,mwisho vasco dagama ikamuhusu[emoji23][emoji23][emoji23],gogo zito hata kuinuka ilikuw shida. Tusiende kudoji jmn. Anania chambo.Na muende mkadoje na ccp sasa [emoji3]
Nimemuonesha dogo hii text anasema kwenye intake yao kuna mwana anajina la Anania ameacha legacy yake pale CCP ya utukutu na udoja pale yan kalala mahabusu kama Mara zote ila kamaliza course kibishi hivyohivyo ...usikute akawa ni yeye 😂😂😂Kila sehem madoja hawakosi baba. Kuna mshikaj 835 Alikuw anadoji huyo balaa mpk leo nakumbuka jina lake ANANIA CHAMBO, huyu jamaa alikuwa doja balaa sjuw km aliwahi kukesha hata mkesha mmoja lbd sku ya intro.ilifika kipind makamanda wote wa kombania wakaenda kumvizia angani wamkamate lkn wapi haonekani,hadi kwny msoc mshikaj haonekani lkn coupon yake inatumika yule alikuwa noma sn. Sku 1 wakambamba!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Assume kichapo chake hiko baba,yan amesumbua maodari koplo km wote hlf kakamatw sas.alipigw mzigo huo acha tu,mwisho vasco dagama ikamuhusu[emoji23][emoji23][emoji23],gogo zito hata kuinuka ilikuw shida. Tusiende kudoji jmn. Anania chambo.
Tumemaliza intake iliyopita na mtu mwenye jina kama hili. Alikuw msumbufu haswa to the extent wakufunzi wakamzoea na akawa marafiki zake.Kati ya mtu mwenye bahati kumaliza course ni yule jamaa.Kila sehem madoja hawakosi baba. Kuna mshikaj 835 Alikuw anadoji huyo balaa mpk leo nakumbuka jina lake ANANIA CHAMBO, huyu jamaa alikuwa doja balaa sjuw km aliwahi kukesha hata mkesha mmoja lbd sku ya intro.ilifika kipind makamanda wote wa kombania wakaenda kumvizia angani wamkamate lkn wapi haonekani,hadi kwny msoc mshikaj haonekani lkn coupon yake inatumika yule alikuwa noma sn. Sku 1 wakambamba!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Assume kichapo chake hiko baba,yan amesumbua maodari koplo km wote hlf kakamatw sas.alipigw mzigo huo acha tu,mwisho vasco dagama ikamuhusu[emoji23][emoji23][emoji23],gogo zito hata kuinuka ilikuw shida. Tusiende kudoji jmn. Anania chambo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huyohuyo baba,yey anapend sn kulivuna jeshi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Udoja bhnNimemuonesha dogo hii text anasema kwenye intake yao kuna mwana anajina la Anania ameacha legacy yake pale CCP ya utukutu na udoja pale yan kalala mahabusu kama Mara zote ila kamaliza course kibishi hivyohivyo ...usikute akawa ni yeye [emoji23][emoji23][emoji23]
Madoja hawakosekani ila udoji kwa akili. Kufukuzwa ni chap sana. Na nafasi yako kuzibwa ni chap sana.Yani unafukuzwa leo. Kesho kutwa watu wanakuja kureport.Na muende mkadoje na ccp sasa [emoji3]
Duuuh!! Anania bhn[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],huyu kwel udoja ulikuw kwny damu.[emoji1787][emoji1787]Tumemaliza intake iliyopita na mtu mwenye jina kama hili. Alikuw msumbufu haswa to the extent wakufunzi wakamzoea na akawa marafiki zake.Kati ya mtu mwenye bahati kumaliza course ni yule jamaa.
Mkifanikiwa kuingia CCP basi muache kabisa mentality za jkt.Kule ni mambo tofauti. Nidhamu muhimu sana. Na inawezekana ulikuwa unadharau training za polisi ila trust me... Polisi wako vizuri. Mtakutana na miamba kule.
Kila la kheri mpate nafasi ya kuingia chomboni.
Wewe uliyempelekea huyu mtu application zako mkononi. Umejiridhisha mtu huyu yupo huko unapotaka kwenda? Sio Dhambi kutilia shaka mtu ila kuweni makini sana.Wakuu Kuna Mtu Jana Kaniletea Application Zake Bahati Mbaya Nimeibiwa Cm Naomba Anitafte
atakua kishoka mkuu??Wewe uliyempelekea huyu mtu application zako mkononi. Umejiridhisha mtu huyu yupo huko unapotaka kwenda? Sio Dhambi kutilia shaka mtu ila kuweni makini sana.
Nimepitia threads humu and this person wyneogoa anajitanabaisha kuwa ni mtu wa uhamiaji kwa muda mrefu. Inawezekana ikawa kweli but there must be some doubts if the same person was complaining about ajira portal profile Completion a year ago. Why should he bother with ajira portal if he has been in the system kwa muda mrefu?
Again it is just a hunch. He can be a genuine person or a person with a bad motive.
View attachment 2456959
Mbinu aliyoingilia humu ni sawa na ile ya.... "Ile pesa itume kwenye namba hii" [emoji23][emoji23] mshamba sana huyo jamaa!!Wewe uliyempelekea huyu mtu application zako mkononi. Umejiridhisha mtu huyu yupo huko unapotaka kwenda? Sio Dhambi kutilia shaka mtu ila kuweni makini sana.
Nimepitia threads humu and this person wyneogoa anajitanabaisha kuwa ni mtu wa uhamiaji kwa muda mrefu. Inawezekana ikawa kweli but there must be some doubts if the same person was complaining about ajira portal profile Completion a year ago. Why should he bother with ajira portal if he has been in the system kwa muda mrefu?
Again it is just a hunch. He can be a genuine person or a person with a bad motive.
View attachment 2456959
Hapana kaka. Anaweza akawa a genuine person but it is a precaution tu kuwa usimuamini mtu kirahisi bila kujiridhisha.atakua kishoka mkuu??
noted mkuu ,ukweli mtupu afsaHapana kaka. Anaweza akawa a genuine person but it is a precaution tu kuwa usimuamini mtu kirahisi bila kujiridhisha.
Tukumbuke watu wana mahitaji yao pia. Unaweza ukampelekea mtu vyeti vyako tena ukajitosa kuprint "coloured" kumbe mtu he is after gamba la jkt akajaribu "kulichezea"
Intake yetu iliyopita kuna watu waliripot kambini wakiwa na majina yanayofanana na force namba zinazofanana . Bad enough hawakugundulika mapema kwa kuwa kombania zilikuw tofauti. Ila baadae waukweli alikuja kujulikana na wauongo akajulikana pia.
Sijasema jamaa ni kishoka ila nawatahadharisha tuwe makini. Kama Huna connection. Muombe Mungu. Amka usiku umetulia. Sali. Mungu anajibu. He can make the impossibles to be possible.
Mtu yoyote akipata mchongo unaolipa zaidi anahama tu. Hata polisi watu wanaacha na kwenda kwingine kwenye maslahi makubwa zaidi.wakuu pccb haina fursa na maslahi kama immigration na hata pccb pindi waanapishwa mkuu wa mafunzo alisema anaomba utaratibu upatikane wa kuzuia maafisa pccb wanaokimbia ama kuhama kazi hiyo kwenda nyingine maada ya miaka 3 ya entry level. jaribuni kujiridhisha na hilo. kingine immigration ni miongoni mwa idara nyeti hata kuingia ndio maana pagumu kinoma.
Noted bossHapana kaka. Anaweza akawa a genuine person but it is a precaution tu kuwa usimuamini mtu kirahisi bila kujiridhisha.
Tukumbuke watu wana mahitaji yao pia. Unaweza ukampelekea mtu vyeti vyako tena ukajitosa kuprint "coloured" kumbe mtu he is after gamba la jkt akajaribu "kulichezea"
Intake yetu iliyopita kuna watu waliripot kambini wakiwa na majina yanayofanana na force namba zinazofanana . Bad enough hawakugundulika mapema kwa kuwa kombania zilikuw tofauti. Ila baadae waukweli alikuja kujulikana na wauongo akajulikana pia.
Sijasema jamaa ni kishoka ila nawatahadharisha tuwe makini. Kama Huna connection. Muombe Mungu. Amka usiku umetulia. Sali. Mungu anajibu. He can make the impossibles to be possible.
mkuu vip lakin kibunda si kinaridhisha huko kati,japo mimi sijali kibundaMtu yoyote akipata mchongo unaolipa zaidi anahama tu. Hata polisi watu wanaacha na kwenda kwingine kwenye maslahi makubwa zaidi.