Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Walipita mwaka huu. Kuna washkaj walichukuliwa mwezi wa sita hivi. Hivi bado hawajaanza course?
walikusanywa makutupora sema wengi sana walkua wanarudishwa uraian kutokana na nidhamu na makosa madg madg walivokua wazalendo,
sahv wapo rts nahisi wataanza course na hawa military science
 
Mkuu unamaanisha nini sijakuelewa yaan
tiss wana hakiki taarifa zako binafsi,historia yenu,makosa ya kiuharifu ,uraia then wakijiridhisha unaingia chomboni. ndio maana mlolongo wa kupata hio kazi ni ngumu . zamani walikua wanachukua kupitia jkt pia lkn sasa wanachukua kupitia tiss aliyeko ndani akufanyie background check na vetting ya kutosha then ndipo utaitwa chomboni. pia ukiwa tyari una ajira wakiona una potential kwao wanaita kuita chomboni wakutumie. ndio maana kuna tiss kila idara za umma utawakuta mashuleni, Bank, uhamiaji,polisi, tpa Nk
 
tiss wana hakiki taarifa zako binafsi,historia yenu,makosa ya kiuharifu ,uraia then wakijiridhisha unaingia chomboni. ndio maana mlolongo wa kupata hio kazi ni ngumu . zamani walikua wanachukua kupitia jkt pia lkn sasa wanachukua kupitia tiss aliyeko ndani akufanyie background check na vetting ya kutosha then ndipo utaitwa chomboni. pia ukiwa tyari una ajira wakiona una potential kwao wanaita kuita chomboni wakutumie. ndio maana kuna tiss kila idara za umma utawakuta mashuleni, Bank, uhamiaji,polisi, tpa Nk
Daaah hapo nimekuelewa asee kweli kipengere
 
Daaah hapo nimekuelewa asee kweli kipengere
so poa mkuu .ila kama una ndugu huko anaweza kukuingiza kirahisi coz nimiongoni mwa criteria yao wanakuwa tayari hawana dauti na ww kuhusu background yako. mm pia nimewahi kujaribu kuulizia moja ya mkuu wangu . na nasikia mshahara tiss sio mkubwa sana ila posho ni heavy mkuu wangu
 
Dah asee ukienda ccp ufate sheria tu umalize. Kuna dogo alizingua akafukuzwa anataka ajaribu majeshi mengine huku sijui kama atatoboa shida ni zile fingerprints zikishachukuliwa mtihani sana.
 
Dah asee ukienda ccp ufate sheria tu umalize. Kuna dogo alizingua akafukuzwa anataka ajaribu majeshi mengine huku sijui kama atatoboa shida ni zile fingerprints zikishachukuliwa mtihani sana.
mfano makosa gani yanaweza pelekea kufukuzwa
 
so poa mkuu .ila kama una ndugu huko anaweza kukuingiza kirahisi coz nimiongoni mwa criteria yao wanakuwa tayari hawana dauti na ww kuhusu background yako. mm pia nimewahi kujaribu kuulizia moja ya mkuu wangu . na nasikia mshahara tiss sio mkubwa sana ila posho ni heavy mkuu wangu
Kiukweli sina mkuu ndugu hata mmoja asee daah ndio kipengere kilipo maana hzi mambo kama ukiws hauna mtu wa kukushika mkono daah ni mtihani kuna manzi mmoja hv nilikuwa nae mtabila asee mwezi kama ulioisha nimemuona kwenye kaunda suti na muheshimiwa daah
 
Alifanya kosa gani?
Kuna jamaa mmoja alirudishwa nilivyomuuliza akasema eti ana nyama nyingi kifuani wamemuona yupo unfit..kumbuka hpo amemaliza kma miezi miwili
Dah asee ukienda ccp ufate sheria tu umalize. Kuna dogo alizingua akafukuzwa anataka ajaribu majeshi mengine huku sijui kama atatoboa shida ni zile fingerprints zikishachukuliwa mtihani sana.
 
Back
Top Bottom