Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nilichojifunza mwaka jana haya mambo hayatakiwi kuweka imani Sana na kutegemea Sana na kuweka matarajio makubwa kwamba lazima nipate unaweza umia moyo wako unapata hata matatizo ya saikolojia akilini,tuwe na imani kwa mungu kwamba yeye ndio mtendaji na ukifanikiwa ni rizki yako na usipofanikiwa pia siyo rizki yako.sababu si wote watakaofanikiwa humu ila tusiache kupeana moyo kwani kwenye kutafuta lazima uwe na moyo wa kupambana na morali, mungu atatusaidia safari tutapata hizi nafasi za ajira. 🙏
 
Nilichojifunza mwaka jana haya mambo hayatakiwi kuweka imani Sana na kutegemea Sana na kuweka matarajio makubwa kwamba lazima nipate unaweza umia moyo wako unapata hata matatizo ya saikolojia akilini,tuwe na imani kwa mungu kwamba yeye ndio mtendaji na ukifanikiwa ni rizki yako na usipofanikiwa pia siyo rizki yako.sababu si wote watakaofanikiwa humu ila tusiache kupeana moyo kwani kwenye kutafuta lazima uwe na moyo wa kupambana na morali, mungu atatusaidia safari tutapata hizi nafasi za ajira. [emoji120]
True story kaka[emoji869]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pdf ya kwanza kila mtu atawekwa tuu akafanye usaili ila sasa baada ya hapo kwenye hiyo pdf ya mwisho watu hawatoamini. Haijalishi usaili utafanya vzuri au vibaya iyo pdf ya mwisho ya kwenda Ccp watu wengii hawatoaminii macho yao.
Kabisaaa... Mimi mwaka jana jina lilivotoka uhamiaji kwa ajili ya usaili nikahisi ndo nishatusuaaa uhamiajii!!!! Mama yaanguu ilivotoka hiyo pdf ya pili sasa daaahh[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilichojifunza mwaka jana haya mambo hayatakiwi kuweka imani Sana na kutegemea Sana na kuweka matarajio makubwa kwamba lazima nipate unaweza umia moyo wako unapata hata matatizo ya saikolojia akilini,tuwe na imani kwa mungu kwamba yeye ndio mtendaji na ukifanikiwa ni rizki yako na usipofanikiwa pia siyo rizki yako.sababu si wote watakaofanikiwa humu ila tusiache kupeana moyo kwani kwenye kutafuta lazima uwe na moyo wa kupambana na morali, mungu atatusaidia safari tutapata hizi nafasi za ajira. [emoji120]
Nakumbuka nilikuwa nawasoma

Ulikataa tamaa ukasema huziombi tena wenzao wakawa wanakwambia usikate tamaa.

Wengi mlivunjika moyo hata hivyo mlipambana zile za magereza round ya pili zikaondoka na watu round hii zamu yako



Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Madogo Nimesoma Chats zenu zote ...
Hii inanipa faraja kubwa sana Moyoni Kwani mna MORALI wa juu sana ... Huo Morali udumu mpk Mwisho, kwani morali ni Moja ya vitu muhimu Kwa Askari ukitoa Mobility , Fire Controls etc. Miaka 7 Nyuma tulikua hapa kama nyie hv.
Wengi wenu mna uzoefu wa Kozi ya Mujibu ya Jkt ( 3Months Compulsory Attendance ) .

Haaa haaa sio kozi Janja Ile ni sawa na Seminar tu , Maelekezo mengi sana Ile .
Kozi ya Kuandaa Askari ni Vita maelekezo yatatoka mara Moja tu kulingana na muundo mahitajio ya wakati husika.
Nendeni na mfuate maelekezo mtakayopewa na wakufunzi wenu. Mtamaliza na kukabidhiwa majukumu yenu , Opposite yake Mtabaki nusu.

Nidhamu na uvumilivu.
Makin sn hii mkuu
 
Back
Top Bottom