Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Hkn maisha ambayo nayapenda kwa moyo wangu wote na kuyaota kila uchao km maisha ya jeshi,nayapenda sn.nasema nayapenda kutoka moyoni kbsa.nko tyr kufa kwa ajili ya jeshi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Shuhuda za kusaidiwa na mbanga zinatutia moyo sana ...watu wenye roho nzuri bado wapo na watazidi kuwepo
Jamaa mmoja hapo amehadithia kuna mbanga ilimsaidia baada ya miaka minne ndio ikamcheki na hapo ukute walikua kambi moja au za karibu kabisa....
Hakuna furaha kama kumsaidia mtu na yeye akafanikiwa
 
Hata sijui huyo bilionea alipo now ila kwa kifupi ni kuwa wajeda wenzake walikuwa wanamuonea wivu so mwamba kapigiwa fitina saana nadhani now ingetakiwa awe hata meja general

Kwa upande wa waha alileta ubabe wa kijeshi umoja wa wachawi wa kasulu wakawa wanamlaza nje analala ndani akiamka asubuhi anajikuta nje akaona makubwa cha kufia nini akatema uDC (ikaonekana kagomea amri halali ya amiri jeshi mkuu tena Jiwe mr siambiliki wa chato .....)
We jamaa upo kitengo unatuchota tu hapa
 
Kuna mtoto wa barozi wetu wa Rwanda dingi yake alikuwa ni mnene jeshini kama una mbinu za kimedani nikuunganishe na huyo mtoto ni she nimesoma nae chuo uchonge nae utembelee connection zake zilizopo huku(for ur own risk ukipunwa utajijua)

Nimeota nimemchoma mkuki jamaa wa ikulu
Nitumie namba zake PM na taarifa zake full niruke naye.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] daaah yule mzee alikuwa mtata sana,ila me nahis hao wanaowapa vyeo lzm wanaangalia na unaa wa mtu.maan marsm weng wanakuwa wanaa knma.
kuna RSM alikuwa mtabila anaitwa Kayange au mzee wa pwii,hiyo sura tuu haijawah kuwa na amani hata kama anafurah
 
kuna RSM alikuwa mtabila anaitwa Kayange au mzee wa pwii,hiyo sura tuu haijawah kuwa na amani hata kama anafurah
Pale alikuwaga rsm mwamfwandilo asee alikuwa mnaaa na kwata anajua balaaaa sijwahi ona, sema huyo sijamjua maana nilikuwa nishasepaga
 
Back
Top Bottom