Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Kaka nimeiona muda sema sjui chief kama atakuwa kaona ujumbe wangu
On the Field mambo sio rahisi kihivyo kaka,from no where tuu mtu akupe chance ambayo kwanza anakupa Kwa njia ambayo sio rasmi mbaya Zaid anatangaza kabisa hadharan hahahahaaaa...Ngoja tuone
 
So Ile lonja ya kusema na MT wamekata Mujibu inaweza kua kweli
Mnachoshindwa kuelewa kuwa mujibu wa sheria yeye anaenda jeshini kupata ukakamavu na imsaidie huko aendako hata akiajiriwa na si vinginevyo ila wa kujitolea yeye anaingia jeshini kujifunza stadi za maisha na kuomba au kuajiriwa kwenye majeshi endapo kama nafasi zitatolewa.

Sasa wewe mujibu wa sheria hata hao sijui polisi kuwaajiri ilikuwa ni favour tu hukustahili ndo maana hata magereza wenyewe wameona ni uduanzi mtupu, mtu unasoma chuo halafu zinatoka nafasi za majeshi unaomba yani hapo unafanya vitu viwili kwa wakat mmoja wakati mwenzako yupo ndani ya kikosi yeye hasomi ni anategemea hizo ajira.
 
Mnachoshindwa kuelewa kuwa mujibu wa sheria yeye anaenda jeshini kupata ukakamavu na imsaidie huko aendako hata akiajiriwa na si vinginevyo ila wa kujitolea yeye anaingia jeshini kujifunza stadi za maisha na kuomba au kuajiriwa kwenye majeshi endapo kama nafasi zitatolewa.

Sasa wewe mujibu wa sheria hata hao sijui polisi kuwaajiri ilikuwa ni favour tu hukustahili ndo maana hata magereza wenyewe wameona ni uduanzi mtupu, mtu unasoma chuo halafu zinatoka nafasi za majeshi unaomba yani hapo unafanya vitu viwili kwa wakat mmoja wakati mwenzako yupo ndani ya kikosi yeye hasomi ni anategemea hizo ajira.
Umeelezea vitu tunavovijua anyway mchango mzuri
 
Mnachoshindwa kuelewa kuwa mujibu wa sheria yeye anaenda jeshini kupata ukakamavu na imsaidie huko aendako hata akiajiriwa na si vinginevyo ila wa kujitolea yeye anaingia jeshini kujifunza stadi za maisha na kuomba au kuajiriwa kwenye majeshi endapo kama nafasi zitatolewa.

Sasa wewe mujibu wa sheria hata hao sijui polisi kuwaajiri ilikuwa ni favour tu hukustahili ndo maana hata magereza wenyewe wameona ni uduanzi mtupu, mtu unasoma chuo halafu zinatoka nafasi za majeshi unaomba yani hapo unafanya vitu viwili kwa wakat mmoja wakati mwenzako yupo ndani ya kikosi yeye hasomi ni anategemea hizo ajira.
Kama taasisi itahitaj proffesionals, huwez epuka kuchukua wa mujibu kwa kuwa ndio wamesoma, ila kwa nafasi zingine basi waliojitolea inatakiwa wawe priority kabisa
 
Mnachoshindwa kuelewa kuwa mujibu wa sheria yeye anaenda jeshini kupata ukakamavu na imsaidie huko aendako hata akiajiriwa na si vinginevyo ila wa kujitolea yeye anaingia jeshini kujifunza stadi za maisha na kuomba au kuajiriwa kwenye majeshi endapo kama nafasi zitatolewa.

Sasa wewe mujibu wa sheria hata hao sijui polisi kuwaajiri ilikuwa ni favour tu hukustahili ndo maana hata magereza wenyewe wameona ni uduanzi mtupu, mtu unasoma chuo halafu zinatoka nafasi za majeshi unaomba yani hapo unafanya vitu viwili kwa wakat mmoja wakati mwenzako yupo ndani ya kikosi yeye hasomi ni anategemea hizo ajira.
Sio kweli! Ingekuwa hivyo basi mujibu wa sheria wangeruhusiwa kujitolea! Lakini ukishapita mujibu wa sheria huruhusiwi tena kujitolea! Nini maana yake? Pia ni utaratibu tu uliopo wengine wataingia kwa kujitolea na wengine kwa mujibu wa sheria! Fuatilia zamani jkt watu walikuwa wanapitia kwa mujibu tena ni mwaka mzima! So kila kitu ni utaratibu
 
Mnachoshindwa kuelewa kuwa mujibu wa sheria yeye anaenda jeshini kupata ukakamavu na imsaidie huko aendako hata akiajiriwa na si vinginevyo ila wa kujitolea yeye anaingia jeshini kujifunza stadi za maisha na kuomba au kuajiriwa kwenye majeshi endapo kama nafasi zitatolewa.

Sasa wewe mujibu wa sheria hata hao sijui polisi kuwaajiri ilikuwa ni favour tu hukustahili ndo maana hata magereza wenyewe wameona ni uduanzi mtupu, mtu unasoma chuo halafu zinatoka nafasi za majeshi unaomba yani hapo unafanya vitu viwili kwa wakat mmoja wakati mwenzako yupo ndani ya kikosi yeye hasomi ni anategemea

Mnachoshindwa kuelewa kuwa mujibu wa sheria yeye anaenda jeshini kupata ukakamavu na imsaidie huko aendako hata akiajiriwa na si vinginevyo ila wa kujitolea yeye anaingia jeshini kujifunza stadi za maisha na kuomba au kuajiriwa kwenye majeshi endapo kama nafasi zitatolewa.

Sasa wewe mujibu wa sheria hata hao sijui polisi kuwaajiri ilikuwa ni favour tu hukustahili ndo maana hata magereza wenyewe wameona ni uduanzi mtupu, mtu unasoma chuo halafu zinatoka nafasi za majeshi unaomba yani hapo unafanya vitu viwili kwa wakat mmoja wakati mwenzako yupo ndani ya kikosi yeye hasomi ni anategemea hizo ajira.
Tupo humu subiri selection zitokee hutoamini kitakachotokea! Lolote linaweza kufanyika ww sio msemaji wa jeshi! Ni heri ukaandika kama maoni ila sio kama msemaji wa jeshi
 
Wana jf nahitaji kutoa msaada kwa watu wawili free yaan aende kiroho saaafii
Ila mmoja awe form4 plain,na mwengine mwenye taaluma ila wawe na vyeti vya jakata
Vizuri Sana Mkuu Mungu akuzudishie
 
Mnachoshindwa kuelewa kuwa mujibu wa sheria yeye anaenda jeshini kupata ukakamavu na imsaidie huko aendako hata akiajiriwa na si vinginevyo ila wa kujitolea yeye anaingia jeshini kujifunza stadi za maisha na kuomba au kuajiriwa kwenye majeshi endapo kama nafasi zitatolewa.

Sasa wewe mujibu wa sheria hata hao sijui polisi kuwaajiri ilikuwa ni favour tu hukustahili ndo maana hata magereza wenyewe wameona ni uduanzi mtupu, mtu unasoma chuo halafu zinatoka nafasi za majeshi unaomba yani hapo unafanya vitu viwili kwa wakat mmoja wakati mwenzako yupo ndani ya kikosi yeye hasomi ni anategemea hizo ajira.
Kwa kigezo chako fani utawatoa wapi?
Mfano madaktar utawotoa makambin wakiwa wamejitolea...
Both mujibu na kujitolea wanavigezo sawa vya kuajiriwa kwenye majeshi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
uhakika tutabanana humo humo cheti ni kile kile mujibu na kujitolea cha muhimu tutume tu maombi kuliko kutokutuma huwezi jua ya Mungu mengi
Umo umo unawezakuta ww ndo umechaguliwa ili kuonesha kuwa hakuna tofaut ya mujibu na kujitolea😂😂
 
Mkuu nafikiri hawa wa kujitolea huwa wanajiona wana ka uspecial fulani hivi kuliko wa mujibu wa sheria, wakati mara nyingi wa kujitolea huishia hivi vyeo vya sergeant maana wengi hawajasoma wameishia form four, halafu hao wa mujibu wakipata nafasi wengi huenda kuwa officers
Kujitolea ndio wenye jeshi mujibu Ni wapita njia tu nd maana mnapigishwa seminar ya miez mitatu af wa kujitolea sio wote 4m 4 dg degree wapo kibao
 
Kujitolea ndio wenye jeshi mujibu Ni wapita njia tu nd maana mnapigishwa seminar ya miez mitatu af wa kujitolea sio wote 4m 4 dg degree wapo kibao
Waacheni watoto wetu wazuri hawa ndo wanatuletea pesa vikosini, nyie wakulungwa pambaneni huko
 
Back
Top Bottom