konekisheni
Member
- Mar 11, 2023
- 73
- 36
Amepokelewa kama alivyokuja [emoji28]
Sema ngja ninyamaze mwanasheria wangu anaumwa [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amepokelewa kama alivyokuja [emoji28]
TUpe taarifa zingine mzee hao reserve wanaoanza kuingia ni wapUko sahihi kiongozi
TUnatishana sana humu...watu hawajui kama huu uzi tunaufatilia sanaSema ngja ninyamaze mwanasheria wangu anaumwa [emoji23]
Ndio ni mm ilishindikanaKaka sio ww uliesema uingizwe chomboni ili umkamate jamaa alieiba tv yenu zamani?
Hivi mtu ukiwa na bachelor ya IT na age ya 22yrs na uref zaid ya 6.4 fts hujapitia jkt ni njia gan nyingine ya kujiunga na jeshi wakuuKazi zpo moyoni hizi
Ndio ni mm ilishindikana
Kama ingewezekana ingebidi niache huku nilipo ili niingie Polisi na lengo langu la kumkamata jambazi aliyetuibia TV yetu ya kichogo
So nilibadili nikawa nawapiganishia ndugu zangu waingie huko ili lengo litimia
Hivi mtu ukiwa na bachelor ya IT na age ya 22yrs na uref zaid ya 6.4 fts hujapitia jkt ni njia gan nyingine ya kujiunga na jeshi wakuu
Kajitoleee jktHivi mtu ukiwa na bachelor ya IT na age ya 22yrs na uref zaid ya 6.4 fts hujapitia jkt ni njia gan nyingine ya kujiunga na jeshi wakuu
Sawa kiongoziKajitoleee jkt
Kuna nafasi ya megereza, uko tayari mkuu...?Hivi mtu ukiwa na bachelor ya IT na age ya 22yrs na uref zaid ya 6.4 fts hujapitia jkt ni njia gan nyingine ya kujiunga na jeshi wakuu
Hyo ndio namna ya uhakikaKajitoleee jkt
Nenda jkt hata hao wanaoingia kwa mibanga wamepita jkt pia kwa raia Ni ngumuHivi mtu ukiwa na bachelor ya IT na age ya 22yrs na uref zaid ya 6.4 fts hujapitia jkt ni njia gan nyingine ya kujiunga na jeshi wakuu
IT na Doctors wanahitajika Sana jeshini tafuta gamba tu simpleHivi mtu ukiwa na bachelor ya IT na age ya 22yrs na uref zaid ya 6.4 fts hujapitia jkt ni njia gan nyingine ya kujiunga na jeshi wakuu
Nenda jkt hata hao wanaoingia kwa mibanga wamepita jkt pia kwa raia Ni ngumu
Yeap ukiwa na fani hizi IT, MD na zingine za afya na Engineering Courses hasa zinazohusiana na Ujenzi kama CIv Eng.. Nk. Chomboni utabebeka kiurahisifact…mi mujib lkin nasubir nafasi za jax zikitoka niruke nazo
Daaaa kk yaanmethodinho tusaidie hapa kwa maelekzo kidogo
Duuuh hz mambo aseeVijana mnaosubiri simu au pdf ya TPDF mpaka sasa hivi Fanyeni shughuli zingine, waliotakiwa weshapigiwa simu na wameisha ripoti mwisho ulikua ni tarehe 4 April . Simu zilianza kupigwa tangu tarehe 31. Ahsante