Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Tarehe 25/03 Jumatatu Mapema Kabla Ya Saa 5 Asubuhi Vijana 3701 Waliapa Na Kukamilisha Mafunzo Ya Awali Ya Jeshi La Polisi Katika Kambi Ya KILELEPORI Iliyopo Kilimanjaro Wilaya Ya SIHA Karibu Na BomaNg'ombe Huku Mgeni Rasmi Akiwa Ni Waziri Wa Mambo Ya Ndani Eng. Masauni...

Wageni Mbalimbali Walikuwepo Ikiwemo Kutoka Jeshi La Polisi, Makao Makuu Ya Polisi, Jeshi La Magereza, Jeshi La Wananchi, Mkuu Wa Mkoa Wa Kilimanjaro, Mkuu Wa Wilaya Ya SIHA Na Wageni Wengi.

Wahitimu 1200 Walibaki Kambini KILELEPORI Kuendelea Na Mafunzo Ya Kutuliza Ghasia (Field Force Unit - FFU) Ambapo Watahitimisha Kozi Tarehe 04/04/2024, Wahitimu Wengine Zaidi Ya 250 Wakibaki Kwa Kozi Ya Intelligency Kwa Muda Wiki 2. Pia Wahitimu Zaidi Ya 300 Walibaki Kuendelea Na Masomo Ya CERTIFICATE IN POLICE SCIENCE Na Watahitimisha Mwezi Wa 8 Kisha Kuelekea Kwenye Vituo Vyao Vya Kazi Walivyopangiwa.

Wahitimu Wengine Wote Wamesharipoti Katika Vituo Vyao Vya Kazi Mikoani Ambapo Kutakuwa Na Mafunzo Mengine Ya Wiki 8 (Miezi 2) Yakayoendelea Mikoani Mwao Kwa Ajili Ya Utayari Wa Kuanza Kazi Baada Ya Mafunzo.

Itoshe Kusema KOZI Ilikuwa Ndefu Na Ngumu Hasa Kutokana Na Sheria Za Chuo Na Mazoezi Ya Utayari. Kwa Muda Wa Mwaka Mzima Vijana Wamepambana Wakizunguka Kambi Zote Tatu Kuanzia Kambi Ya CCP/TPS, Kambi Ya KILELEPORI, Kambi Ya KAMBAPORI (West).

Ni Wakati Wa Vijana Kulitumikia Taifa Kwa Kuonesha Uzalendo Katika Ufanyaji Wa Kazi Kwa Usalama Wa Raia Na Mali Zao.
 
Tarehe 25/03 Jumatatu Mapema Kabla Ya Saa 5 Asubuhi Vijana 3701 Waliapa Na Kukamilisha Mafunzo Ya Awali Ya Jeshi La Polisi Katika Kambi Ya KILELEPORI Iliyopo Kilimanjaro Wilaya Ya SIHA Karibu Na BomaNg'ombe Huku Mgeni Rasmi Akiwa Ni Waziri Wa Mambo Ya Ndani Eng. Masauni...

Wageni Mbalimbali Walikuwepo Ikiwemo Kutoka Jeshi La Polisi, Makao Makuu Ya Polisi, Jeshi La Magereza, Jeshi La Wananchi, Mkuu Wa Mkoa Wa Kilimanjaro, Mkuu Wa Wilaya Ya SIHA Na Wageni Wengi.

Wahitimu 1200 Walibaki Kambini KILELEPORI Kuendelea Na Mafunzo Ya Kutuliza Ghasia (Field Force Unit - FFU) Ambapo Watahitimisha Kozi Tarehe 04/04/2024, Wahitimu Wengine Zaidi Ya 250 Wakibaki Kwa Kozi Ya Intelligency Kwa Muda Wiki 2. Pia Wahitimu Zaidi Ya 300 Walibaki Kuendelea Na Masomo Ya CERTIFICATE IN POLICE SCIENCE Na Watahitimisha Mwezi Wa 8 Kisha Kuelekea Kwenye Vituo Vyao Vya Kazi Walivyopangiwa.

Wahitimu Wengine Wote Wamesharipoti Katika Vituo Vyao Vya Kazi Mikoani Ambapo Kutakuwa Na Mafunzo Mengine Ya Wiki 8 (Miezi 2) Yakayoendelea Mikoani Mwao Kwa Ajili Ya Utayari Wa Kuanza Kazi Baada Ya Mafunzo.

Itoshe Kusema KOZI Ilikuwa Ndefu Na Ngumu Hasa Kutokana Na Sheria Za Chuo Na Mazoezi Ya Utayari. Kwa Muda Wa Mwaka Mzima Vijana Wamepambana Wakizunguka Kambi Zote Tatu Kuanzia Kambi Ya CCP/TPS, Kambi Ya KILELEPORI, Kambi Ya KAMBAPORI (West).

Ni Wakati Wa Vijana Kulitumikia Taifa Kwa Kuonesha Uzalendo Katika Ufanyaji Wa Kazi Kwa Usalama Wa Raia Na Mali Zao.
Shukrani mkuu Kwa mrejesho mchakato mrefu sana aseee nikajua baada kumaliza wote waliondoka ....Hawa madogo wame report 1/Dec mwaka jana wao ku funga koz lini??
 
Duh kagezo cha JKT kimeondolewa...means raia tutakuwa shazi wale walikuwaga wanaconnection nzito ila kigezo cha jkt wakawa wanamiss saiv na wao wamo....
 
Polisi hawapoi kweli wale wenzao wa upande wa pili sijui kipi kinawafanya wasichukue watu.
 
Vijana fursa hizo japo site yao ni changamoto kidogo kwenye kufunguka
 
Polisi hawapoi kweli wale wenzao wa upande wa pili sijui kipi kinawafanya wasichukue watu.
Polisi Ndo Wasimamizi Wa Sheria Na Ndo Jeshi Linalosimamia Usalama Wa Raia Na Mali Zao... Depo Iliyotoka Mwezi Wa 3 Pamoja Na Depo Iliyopo Mafunzo Kwa Sasa Watasimamia Na Kusaidia Katika Mwendelezo Wa Uchaguzi Wa Wenyeviti Wa Vijiji Pamoja... Ndo Maana Polisi Wanapaswa Kuwa Wengi Zaidi
 
Mzigo mpya huo mkuuu kwenye page yao Instagram wame post ....naona madogo wako kozi sahivi soon wata maliza kunako uzima
Madogo Bado Wanapambana... Depo Ni Mwaka Hope Mwezi Wa 9 Mapema Sana Wataapa Tayari Kwa Majukumu Ya Kitaifa Na Kutumikia Wananchi.
 
Wakuu samahani kila nikitaka kusign in nikiandika email naambiwa *this email was already taken" shida itakuwa nn maana nmetengeneza email nyingine lakin bqdo inasema ivyoivyo
 
Back
Top Bottom