Jamii Opportunities JF-Expert Member Joined Feb 10, 2014 Posts 4,876 Reaction score 1,549 Oct 20, 2023 #1 Shirika la Umeme Zanzibar (ZECO) linatangaza nafasi kama ifuatavyo:
jiwe angavu JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 20,419 Reaction score 39,217 Oct 20, 2023 #2 Walipe deni la umeme waache kudemka
Just Distinctions JF-Expert Member Joined May 5, 2016 Posts 3,230 Reaction score 6,742 Oct 20, 2023 #3 Wawe wanzanzibar, sawa! Ila sioni tangazo huku kwetu wawe waTanganyika😬, na tukisema huu Muungano sawa ni Tunu lakini ina pancha nyingi tunaonekana hatuna hoja, ok
Wawe wanzanzibar, sawa! Ila sioni tangazo huku kwetu wawe waTanganyika😬, na tukisema huu Muungano sawa ni Tunu lakini ina pancha nyingi tunaonekana hatuna hoja, ok
NAJYUZ JF-Expert Member Joined May 10, 2021 Posts 1,981 Reaction score 3,475 Oct 20, 2023 #4 Huu muungano sometimes naona umekaa 'kijinga kijinga'. Mtu kutoka Tanzania bara hawezi kuomba kazi za Tanzania visiwani wakati wao kazi za Tanzania bara wanaomba vizuri tu.
Huu muungano sometimes naona umekaa 'kijinga kijinga'. Mtu kutoka Tanzania bara hawezi kuomba kazi za Tanzania visiwani wakati wao kazi za Tanzania bara wanaomba vizuri tu.
makaveli10 JF-Expert Member Joined Mar 27, 2013 Posts 31,583 Reaction score 92,670 Oct 20, 2023 #5 Huu muungano sisi ndio tunafosi penzi, wenzetu hawana mpango, imebidi wakae nasi kwa maslahi. Wanatudanga tu, vyao ni vyao, na vyetu ni vya kwao.
Huu muungano sisi ndio tunafosi penzi, wenzetu hawana mpango, imebidi wakae nasi kwa maslahi. Wanatudanga tu, vyao ni vyao, na vyetu ni vya kwao.