umesahau c.c @MauhondoNgoja waje kukupa muongozo
Uhuni upo kila nyanja mkuu, kuna ile ya wahudumu wa bar wanafanya kazi wapo kumi ila wanaolipwa ni wawili tu vyumba vya kulala ni bure , huwa wanakula walipo ipeleka mboga😁Massage zetu hizi kuna mstari mwembamba sana na uhuni.
5. Awe na tako.Sifa za waombaji,
1. Awe msichana kuanzia miaka 18 hadi 30.
2. Awe ana ujuzi wa massage na urembo (beauty therapy)
3. Awe mkazi wa dar es salaam, ikiwa anaishi5.
Sifa za waombaji,
1. Awe msichana kuanzia miaka 18 hadi 30.
2. Awe ana ujuzi wa massage na urembo (beauty therapy)
3. Awe mkazi wa dar es salaam, ikiwa anaishi ilala atapewa kipaumbele.
4. Awe tayari kufanya kazi bila msukumo.
Mshahara kwa mwezi ni tsh 360,000/=
Chakula cha asubuhi na mchana kinapatikana ofisini.
Wahudumu wanaohitajika ni wawili (2) tu.
KUOMBA NAFASI HII BONYEZA LINK HAPO CHINI
jobsfacilitators@gmail.com
ilala atapewa kipaumbele.
4. Awe tayari kufanya kazi bila msukumo.
Mshahara kwa mwezi ni tsh 360,000/=
Chakula cha asubuhi na mchana kinapatikana ofisini.
Wahudumu wanaohitajika ni wawili (2) tu.
KUOMBA NAFASI HII BONYEZA LINK HAPO CHINI
jobsfacilitators@gmail.com
Nisaidie kuweka hiyo CCumesahau c.c @Mauhondo
Tako kwa sasa ni CV ya kila nyanja mpaka ndoani.5. Awe na tako.
Mkuu,Masage ni Masage na Uhuni ni Uhuni.Kuna watu ambao wanahitaji huduma ya Massage ya kitaalam.Hata hivyo sidhani kama ni sahihi kufikiri kwamba JUST because SEX is involved basi ni UHUNI.Massage zetu hizi kuna mstari mwembamba sana na uhuni.
Hahaha, Ni kweli. Ila kuna kakikundi ka watoa massage wamegeuza huduma kuwa uhuni ule wenyewe ule.Uhuni upo kila nyanja mkuu, kuna ile ya wahudumu wa bar wanafanya kazi wapo kumi ila wanaolipwa ni wawili tu vyumba vya kulala ni bure , huwa wanakula walipo ipeleka mboga😁
Hakuna demu asiye na tako mkuu5. Awe na tako.
6.Awe mke wa mtu.5. Awe na tako.
Hahaha sasa uhuni ni nini boss kama ngono holela si uhuni?Mkuu,Masage ni Masage na Uhuni ni Uhuni.Kuna watu ambao wanahitaji huduma ya Massage ya kitaalam.Hata hivyo sidhani kama ni sahihi kufikiri kwamba JUST because SEX is involved basi ni UHUNI.
Acha tupate huduma mkuu😆😆😆Hahaha, Ni kweli. Ila kuna kakikundi ka watoa massage wamegeuza huduma kuwa uhuni ule wenyewe ule.
KIjana Wachaga unawajua au unawasikia?.Hakuna demu asiye na tako mkuu