Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KaribuniSifa za waombaji;
1. Awe msichana kuanzia miaka 18 hadi 30.
2. Awe ana ujuzi wa massage na urembo (beauty therapy)
3. Awe mkazi wa Dar es salaam, ikiwa anaishi ilala atapewa kipaumbele.
4. Awe tayari kufanya kazi bila msukumo.
Mshahara kwa mwezi ni tsh 360,000/=
Chakula cha asubuhi na mchana kinapatikana ofisini.
Wahudumu wanaohitajika ni wawili (2) tu.
Kuomba nafasi hii bonyeza link hapo chini
jobsfacilitators@gmail.com
Umbo zuri sio hitaji muhimu ?Sifa za waombaji;
1. Awe msichana kuanzia miaka 18 hadi 30.
2. Awe ana ujuzi wa massage na urembo (beauty therapy)
3. Awe mkazi wa Dar es salaam, ikiwa anaishi ilala atapewa kipaumbele.
4. Awe tayari kufanya kazi bila msukumo.
Mshahara kwa mwezi ni tsh 360,000/=
Chakula cha asubuhi na mchana kinapatikana ofisini.
Wahudumu wanaohitajika ni wawili (2) tu.
Kuomba nafasi hii bonyeza link hapo chini
jobsfacilitators@gmail.com