Nafasi za kazi za Massage

Nafasi za kazi za Massage

Posho itatokana na uwezo wako wakutoa vitumbua vya moto na maini tope!
 
Sifa za waombaji;

1. Awe msichana kuanzia miaka 18 hadi 30.

2. Awe ana ujuzi wa massage na urembo (beauty therapy)

3. Awe mkazi wa Dar es salaam, ikiwa anaishi ilala atapewa kipaumbele.

4. Awe tayari kufanya kazi bila msukumo.

Mshahara kwa mwezi ni tsh 360,000/=

Chakula cha asubuhi na mchana kinapatikana ofisini.

Wahudumu wanaohitajika ni wawili (2) tu.

Kuomba nafasi hii bonyeza link hapo chini

jobsfacilitators@gmail.com

Karibuni
 
Sema kweli unatafuta Makahaba, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Massage hapa Bongo? Mbna uchawiii huu. Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa miaka 30 ni msichana au jishangazi. Anyways wadada fursa hizi hapa, bila shaka hakuna mambo ya usaili
 
Sifa za waombaji;

1. Awe msichana kuanzia miaka 18 hadi 30.

2. Awe ana ujuzi wa massage na urembo (beauty therapy)

3. Awe mkazi wa Dar es salaam, ikiwa anaishi ilala atapewa kipaumbele.

4. Awe tayari kufanya kazi bila msukumo.

Mshahara kwa mwezi ni tsh 360,000/=

Chakula cha asubuhi na mchana kinapatikana ofisini.

Wahudumu wanaohitajika ni wawili (2) tu.

Kuomba nafasi hii bonyeza link hapo chini

jobsfacilitators@gmail.com

Umbo zuri sio hitaji muhimu ?
 
Napenda kufanyiwa massage mimi jaman, yaan hadi raha mwili unakuwa mwepesi hadi raha jaman
 
Back
Top Bottom