min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Ananisingizia tu mkuu , japo hizi mada nzuri sana😁😁Huwa unamfatilia au mnakutana humu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ananisingizia tu mkuu , japo hizi mada nzuri sana😁😁Huwa unamfatilia au mnakutana humu?
Hapana mkuu mimi humu nachangia as normal person...😁😁😁 mada pendwa mkuu,na wewe tayari upo humu😁😁😁
😄😄😄 kwani ni vibaya mkuu?Hapana mkuu mimi humu nachangia as normal person...
Ila wewe unachangia ukiwa na furaha kabisa....
Pili upo tayar kupangua hoja kwa watu ambao unaona wanaenda tofauti na mada pendwa hapo...
Hii sio mara ya kwanza mkuu..
Kuna mada hua unapita kama robot no comment ni like tu.....ila huku sasa
Namfatilia humu jf mkuuHuwa unamfatilia au mnakutana humu?
Sio vibaya ila wewe sasa unafanya wazi wazi kuwa unapenda sana haya mambo hovyo ahahahahahahha😄😄😄 kwani ni vibaya mkuu?
Ok Mkuu, ila uhuni ni uhuni tu. Mm mwenyewe navutiwa na mabinti wazuri wazuri wenye maumbile yanayovutia lakini ndo uhuni wenyewe huo na ninapoamua kufanya uhuni siuhalalishi, najua huu uhuni naufanya, sijidanganyi.Mkuu unachanganya Mafile Mengi sana.Tufanye wewe uko sahihi na mimi niko sahihi ili kila mtu aishi vile atakavyo...
😁😁Ila mkuu mbona hili ni tangazo la nafasi za kazi tu mkuu😂Sio vibaya ila wewe sasa unafanya wazi wazi kuwa unapenda sana haya mambo hovyo ahahahahahahha
Sema mkuu na wewe kumbe jau bana hahahahahhaOk Mkuu, ila uhuni ni uhuni tu. Mm mwenyewe navutiwa na mabinti wazuri wazuri wenye maumbile yanayovutia lakini ndo uhuni wenyewe huo na ninapoamua kufanya uhuni siuhalalishi, najua huu uhuni naufanya, sijidanganyi.
Wanaume tuna mambo yetu fulani hivi tunafanana ni presentation tu ndo hutofautiana.Sema mkuu na wewe kumbe jau bana hahahahahha
Ahahahah mkuu upo vzri sana..😁😁Ila mkuu mbona hili ni tangazo la nafasi za kazi tu mkuu😂
Ahahahah sema mkuu nilikua nakuheshimu sana aiseeeee ila kwa haya unayotetea hapa.. naona kabisa heshima kwako 0 daaahWanaume tuna mambo yetu fulani hivi tunafanana ni presentation tu ndo hutofautiana.
OK.Kila la Heri.Ok Mkuu, ila uhuni ni uhuni tu. Mm mwenyewe navutiwa na mabinti wazuri wazuri wenye maumbile yanayovutia lakini ndo uhuni wenyewe huo na ninapoamua kufanya uhuni siuhalalishi, najua huu uhuni naufanya, sijidanganyi.
Ahahah """ ok kila la heri""OK.Kila la Heri.
Hahaha. Na mm ulikuwa unanifuatilia au tumekutana humu?Ahahahah sema mkuu nilikua nakuheshimu sana aiseeeee ila kwa haya unayotetea hapa.. naona kabisa heshima kwako 0 daaah
DangurozMassage zetu hizi kuna mstari mwembamba sana na uhuni.
NdioDanguroz