Nafasi za kazi za Massage

Nafasi za kazi za Massage

😁😁😁 mada pendwa mkuu,na wewe tayari upo humu😁😁😁
Hapana mkuu mimi humu nachangia as normal person...

Ila wewe unachangia ukiwa na furaha kabisa....

Pili upo tayar kupangua hoja kwa watu ambao unaona wanaenda tofauti na mada pendwa hapo...

Hii sio mara ya kwanza mkuu..
Kuna mada hua unapita kama robot no comment ni like tu.....ila huku sasa
 
Hapana mkuu mimi humu nachangia as normal person...

Ila wewe unachangia ukiwa na furaha kabisa....

Pili upo tayar kupangua hoja kwa watu ambao unaona wanaenda tofauti na mada pendwa hapo...

Hii sio mara ya kwanza mkuu..
Kuna mada hua unapita kama robot no comment ni like tu.....ila huku sasa
😄😄😄 kwani ni vibaya mkuu?
 
Mkuu unachanganya Mafile Mengi sana.Tufanye wewe uko sahihi na mimi niko sahihi ili kila mtu aishi vile atakavyo...
Ok Mkuu, ila uhuni ni uhuni tu. Mm mwenyewe navutiwa na mabinti wazuri wazuri wenye maumbile yanayovutia lakini ndo uhuni wenyewe huo na ninapoamua kufanya uhuni siuhalalishi, najua huu uhuni naufanya, sijidanganyi.
 
Ok Mkuu, ila uhuni ni uhuni tu. Mm mwenyewe navutiwa na mabinti wazuri wazuri wenye maumbile yanayovutia lakini ndo uhuni wenyewe huo na ninapoamua kufanya uhuni siuhalalishi, najua huu uhuni naufanya, sijidanganyi.
Sema mkuu na wewe kumbe jau bana hahahahahha
 
Back
Top Bottom