macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
ephen_ kazi hiyo, utoke kwa mama unakoulizwa siku ya kuolewa kila siku.Sifa za waombaji;
1. Awe msichana kuanzia miaka 18 hadi 30.
2. Awe ana ujuzi wa massage na urembo (beauty therapy)
3. Awe mkazi wa Dar es salaam, ikiwa anaishi ilala atapewa kipaumbele.
4. Awe tayari kufanya kazi bila msukumo.
Mshahara kwa mwezi ni tsh 360,000/=
Chakula cha asubuhi na mchana kinapatikana ofisini.
Wahudumu wanaohitajika ni wawili (2) tu.
Kuomba nafasi hii bonyeza link hapo chini
jobsfacilitators@gmail.com
Mkuu naona umeamua kiwaita wasichana inbox umalizane nao. Mjini kuna mbinu nyingi sana za kuwanasa wanawake.Sifa za waombaji;
1. Awe msichana kuanzia miaka 18 hadi 30.
2. Awe ana ujuzi wa massage na urembo (beauty therapy)
3. Awe mkazi wa Dar es salaam, ikiwa anaishi ilala atapewa kipaumbele.
4. Awe tayari kufanya kazi bila msukumo.
Mshahara kwa mwezi ni tsh 360,000/=
Chakula cha asubuhi na mchana kinapatikana ofisini.
Wahudumu wanaohitajika ni wawili (2) tu.
Kuomba nafasi hii bonyeza link hapo chini
jobsfacilitators@gmail.com
Amesema hapo juu. Msome vizuri. Amesema beauty therapy hapo juu namba 2. Hiyo maana yake ni kugawa mbususu.Mbona umesahau kusema kua awe na utayari wa kutoa mbususu mteja akizidiwa wakati wa massage? (Massage with happy ending).
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahaha hapana leo nimeona how you are..!!Hahaha. Na mm ulikuwa unanifuatilia au tumekutana humu?
Kwamba unaheshimu wanaume wasiopenda wanawake wenye maumbile mazuri na sasa nimekudisapoint siyo?Ahahaha hapana leo nimeona how you are..!!
Ahahaha....tatizo sina D mbili [emoji1787][emoji1787]Amesema hapo juu. Msome vizuri. Amesema beauty therapy hapo juu namba 2. Hiyo maana yake ni kugawa mbususu.
Ahahahahahah wee jamaa hovyo sana.....Kwamba unaheshimu wanaume wasiopenda wanawake wenye maumbile mazuri na sasa nimekudisapoint siyo?
Pole sana mamaasio kunipita tu,hazinifai mikono imekomaa na jembe balaa
Nitaftie scrub ya mikono basPole sana mamaa
Paka mafuta ya korosho unazolima huko 😎Nitaftie scrub ya mikono bas
KaribuNgoja waje kukupa muongozo
heh kumbe korosho zinalimwa huku😳Paka mafuta ya korosho unazolima huko 😎
Kamua zao lolote linalopatikana huko afu upake mafuta yakeheh kumbe korosho zinalimwa huku😳
Duuuu umslaya wa kiwango SGR....hakuna kitu hapooSifa za waombaji;
1. Awe msichana kuanzia miaka 18 hadi 30.
2. Awe ana ujuzi wa massage na urembo (beauty therapy)
3. Awe mkazi wa Dar es salaam, ikiwa anaishi ilala atapewa kipaumbele.
4. Awe tayari kufanya kazi bila msukumo.
Mshahara kwa mwezi ni tsh 360,000/=
Chakula cha asubuhi na mchana kinapatikana ofisini.
Wahudumu wanaohitajika ni wawili (2) tu.
Kuomba nafasi hii bonyeza link hapo chini
jobsfacilitators@gmail.com