Nafikiri Darwin aliudanganya ulimwengu nao ukadanganyika

Nafikiri Darwin aliudanganya ulimwengu nao ukadanganyika

ZALEMDA

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2017
Posts
1,956
Reaction score
2,225
Darwin proposed that species can change over time, that new species come from pre-existing species, and that all species share a common ancestor. In this model, each species has its own unique set of heritable (genetic) differences from the common ancestor, which have accumulated gradually over very long time periods.


Kwa nini nasema aliudanganya ulimwengu !

Jibu liko hapa

Kama Kwa mfano according to Darwin theory ,sisi binadamu hapo awali tulikuwa nyani,lugha tunayoongea kwa sasa nani alitufundisha? Mbona lugha zetu hazina hata chembe ya uhusiano na lugha ya nyani?

Kwa mfano ,chukua mtoto wa binadamu mwenye umri wa miezi sita ,mweke kwenye sehemu wanakoishi nyani ,ni dhahiri mtoto huyu ataanza kujifunza lugha na tabia za nyani!! Mwanadamu wa kwanza alifubdishwa lugha na supernatural ( Maybe God himself) kwa sababu mwanadamu ukiindoa kulia,kula,kujisaidia ,kucheka mengine yote anajifunza kwa wale ambao amewakuta duniani!!

Kwa hiyo lugha tunazoongea na baadhi ya tabia tumejifunza kwa mtu mwengine.Kama ancestors wetu wangekuwa nyani ni dhahiri lugha yetu ingefanana na ya nyani maana tungekuwa tumejifunza kwa baba na mama Nyani .


Kwa hiyo Darwin alichemka sana .

Karibuni kwa kunikosoa au kuniunga mkono hoja yangu🤣🤣🤣🤣
 
Darwin proposed that species can change over time, that new species come from pre-existing species, and that all species share a common ancestor. In this model, each species has its own unique set of heritable (genetic) differences from the common ancestor, which have accumulated gradually over very long time periods.


Kwa nini nasema aliudanganya ulimwengu !

Jibu liko hapa

Kama Kwa mfano according to Darwin theory ,sisi binadamu hapo awali tulikuwa nyani,lugha tunayoongea kwa sasa nani alitufundisha? Mbona lugha zetu hazina hata chembe ya uhusiano na lugha ya nyani?

Kwa mfano ,chukua mtoto wa binadamu mwenye umri wa miezi sita ,mweke kwenye sehemu wanakoishi nyani ,ni dhahiri mtoto huyu ataanza kujifunza lugha na tabia za nyani!! Mwanadamu wa kwanza alifubdishwa lugha na supernatural ( Maybe God himself) kwa sababu mwanadamu ukiindoa kulia,kula,kujisaidia ,kucheka mengine yote anajifunza kwa wale ambao amewakuta duniani!!

Kwa hiyo lugha tunazoongea na baadhi ya tabia tumejifunza kwa mtu mwengine.Kama ancestors wetu wangekuwa nyani ni dhahiri lugha yetu ingefanana na ya nyani maana tungekuwa tumejifunza kwa baba na mama Nyani .


Kwa hiyo Darwin alichemka sana .

Karibuni kwa kunikosoa au kuniunga mkono hoja yangu🤣🤣🤣🤣
Kama unajua leo hii kiswahilj hakifanani na kile cha 1700 je unawez kuhis hiko cha miaka hiyo ukikiskia leo utakielewa?

Kwani lugha haina evolution? Lugha pekee in wasomi wanaitwa Linguistic anthropologist wanasoma hii lugha mwanzo mpaka mwisho. Lugha hii ina nadharia kibao tu mana ile lugha ya wahadzabe sijui na wasandawe huyo nyani mwemyew haielewi kama mm na wew. Watu wanajisonya sonya na wanaelewana fresh


Evolution theory kuilewa hutakiwa kuwq mvivu wa kusoma. Niliwah kusoma kitabu fulani pale Afrikana library nikaielewa sana hii ishu. Yule jamaa jiniaz
 
Darwin proposed that species can change over time, that new species come from pre-existing species, and that all species share a common ancestor. In this model, each species has its own unique set of heritable (genetic) differences from the common ancestor, which have accumulated gradually over very long time periods.


Kwa nini nasema aliudanganya ulimwengu !

Jibu liko hapa

Kama Kwa mfano according to Darwin theory ,sisi binadamu hapo awali tulikuwa nyani,lugha tunayoongea kwa sasa nani alitufundisha? Mbona lugha zetu hazina hata chembe ya uhusiano na lugha ya nyani?

Kwa mfano ,chukua mtoto wa binadamu mwenye umri wa miezi sita ,mweke kwenye sehemu wanakoishi nyani ,ni dhahiri mtoto huyu ataanza kujifunza lugha na tabia za nyani!! Mwanadamu wa kwanza alifubdishwa lugha na supernatural ( Maybe God himself) kwa sababu mwanadamu ukiindoa kulia,kula,kujisaidia ,kucheka mengine yote anajifunza kwa wale ambao amewakuta duniani!!

Kwa hiyo lugha tunazoongea na baadhi ya tabia tumejifunza kwa mtu mwengine.Kama ancestors wetu wangekuwa nyani ni dhahiri lugha yetu ingefanana na ya nyani maana tungekuwa tumejifunza kwa baba na mama Nyani .


Kwa hiyo Darwin alichemka sana .

Karibuni kwa kunikosoa au kuniunga mkono hoja yangu🤣🤣🤣🤣
Kumbe Darwin aliudanganya ulimwengu. Kweli mama anaupiga mwingi
 
Kama unajua leo hii kiswahilj hakifanani na kile cha 1700 je unawez kuhis hiko cha miaka hiyo ukikiskia leo utakielewa?

Kwani lugha haina evolution? Lugha pekee in wasomi wanaitwa Linguistic anthropologist wanasoma hii lugha mwanzo mpaka mwisho. Lugha hii ina nadharia kibao tu mana ile lugha ya wahadzabe sijui na wasandawe huyo nyani mwemyew haielewi kama mm na wew. Watu wanajisonya sonya na wanaelewana fresh


Evolution theory kuilewa hutakiwa kuwq mvivu wa kusoma. Niliwah kusoma kitabu fulani pale Afrikana library nikaielewa sana hii ishu. Yule jamaa jiniaz
Siyo kweli kwamba ni jiniasi.mwongo mkubwa kabisa .

Wewe utakuwa umekubariana naye kwa sababu labda mnafanana
 
Darwin hajawahi kusema hapo zamani tulikuwa nyani

Alisema human beings na apes wana common ancestor.
Hoja za mleta mada sio za msingi. Darwin alisema kuwa humans and apes wana common ancestors na evolution ndio imepelekea hayo mabadiliko na kusababisha kuwe na nyani, sokwe, binadamu na mambo mengine. Hata pundamilia na farasi wana common ancestors ila viumbe hivi viwili havifanani asilimia 100. Uzuri hoja nyingi za Darwin zilikuwa na evidence na hajawahi kusema eti sisi tulikuwa nyani.
Binadamu wa miaka milioni 1 iliyopita si sawa na binadamu wa leo.

Na kingine ulimwengu haujadanganywa na Darwin kwa sababu Science haijwahi kusema binadamu wa kwanza alikuwa sokwe. Science imeelezea tu theory ambazo wanasayansi mbalimbali wamezielezea, kwa mfumo wa "Darwin kasema kwamba....."

Na ndio maana zinaitwa theories cause hazijawa proved
 
Siyo kweli kwamba ni jiniasi.mwongo mkubwa kabisa .

Wewe utakuwa umekubariana naye kwa sababu labda mnafanana
Ile nadhaimria inaelezeq physical existence of the universe. Yule jamaa sio mtu wa kawaida. Na nadharia yoyte lazima na weakness zake

Umesoma kitu kinaitwa survival?
 
Na
Kama unajua leo hii kiswahilj hakifanani na kile cha 1700 je unawez kuhis hiko cha miaka hiyo ukikiskia leo utakielewa?

Kwani lugha haina evolution? Lugha pekee in wasomi wanaitwa Linguistic anthropologist wanasoma hii lugha mwanzo mpaka mwisho. Lugha hii ina nadharia kibao tu mana ile lugha ya wahadzabe sijui na wasandawe huyo nyani mwemyew haielewi kama mm na wew. Watu wanajisonya sonya na wanaelewana fresh


Evolution theory kuilewa hutakiwa kuwq mvivu wa kusoma. Niliwah kusoma kitabu fulani pale Afrikana library nikaielewa sana hii ishu. Yule jamaa jiniaz

Nafikiri hujanielewa logic yangu.mfano chukua mtoto wako wa miezi sita ,mwache akae na ng'ombe tu after five years utakuta anaongea kama ng'ombe ,au kama aliishi na kuku ataanza kuwika etc.kwa hiyo kila lugha ubayoiona hapa Duniani binadamu amejifunza Kwa binadamu wa kale full stop.

Darwin mwongo kabisa
 
Hoja za mleta mada sio za msingi. Darwin alisema kuwa humans and apes wana common ancestors na evolution ndio imepelekea hayo mabadiliko na kusababisha kuwe na nyani, sokwe, binadamu na mambo mengine. Hata pundamilia na farasi wana common ancestors ila viumbe hivi viwili havifanani asilimia 100. Uzuri hoja nyingi za Darwin zilikuwa na evidence na hajawahi kusema eti sisi tulikuwa nyani.
Binadamu wa miaka milioni 1 iliyopita si sawa na binadamu wa leo.

Na kingine ulimwengu haujadanganywa na Darwin kwa sababu Science haijwahi kusema binadamu wa kwanza alikuwa sokwe. Science imeelezea tu theory ambazo wanasayansi mbalimbali wamezielezea, kwa mfumo wa "Darwin kasema kwamba....."

Na ndio maana zinaitwa theories cause hazijawa proved
Kwa maana hiyo , theory ya Darwin ni ya uongo kutokana na maelezo yangu hapo juu
 
Na


Nafikiri hujanielewa logic yangu.mfano chukua mtoto wako wa miezi sita ,mwache akae na ng'ombe tu after five years utakuta anaongea kama ng'ombe ,au kama aliishi na kuku ataanza kuwika etc.kwa hiyo kila lugha ubayoiona hapa Duniani binadamu amejifunza Kwa binadamu wa kale full stop.

Darwin mwongo kabisa

Kwa NINI unatumia kigezo kimoja cha Lugha kumwita Darwin Muongo?

Ukweli ni upi Sasa?
 
Comperative evidence inaeleza wazi kabisa kwamba mwanadamu anafanana na wanyama jamii ya nyani/sokwe na wala hafanani na mbwa,chui,simba,mbuzi,kondoo, ng'ombe nk.
Au huoni hilo!!
 
Back
Top Bottom