Nafikiri Darwin aliudanganya ulimwengu nao ukadanganyika

Nafikiri Darwin aliudanganya ulimwengu nao ukadanganyika

Kwa hiyo common ancestor wetu ni nani hapo?

Na kwa kwani hakuna lugha yoyote tunayoongea unayofanana na ya nyani au sokwe?na kama tungekuwa tunafanana,kwa nini wanasayansi wanatafuta viungo kutoka kwa wanyama Ili wavipandikize kwa binadamu lakini wanashundwa? Si wangetumia figo ya nyani au sokwe kumwekwa binadamu ambaye figo imefeli?

The Darwin theory is wrong somewhere
Kwenye evolution ancestors wa binadamu anaitwa "Hominin", ancestors wa gorillas na chimpanzees anaitwa "hominid"
 
Kwa hiyo common ancestor wetu ni nani hapo?

Na kwa kwani hakuna lugha yoyote tunayoongea unayofanana na ya nyani au sokwe?na kama tungekuwa tunafanana,kwa nini wanasayansi wanatafuta viungo kutoka kwa wanyama Ili wavipandikize kwa binadamu lakini wanashundwa? Si wangetumia figo ya nyani au sokwe kumwekwa binadamu ambaye figo imefeli?

The Darwin theory is wrong somewhere
Wasome vizuri uzao wa primates ambao ni DRYOPITHECUS NA KENYAPITHECUS
 
Kwenye evolution ancestors wa binadamu anaitwa "Hominin", ancestors wa gorillas na chimpanzees anaitwa "hominid"
Ikiwa kutoka nyani ,sokwe tutapata viungo ninavyoweza kuendana na sisi binadamu hapo theory hii ya Darwin nitawafundisha hata watoto wangu .kwa sasa wasome to wapate cheti basi
 
Ukilinganisha Theory of revolution na theory of creation.

Theory of creation ni ya uwongo zaidi
 
Jamaa inasemekana alikua muumini sana wa dini ila watuwake wakaribu wengi walifariki ikiwemo mkewake hii ikamtia hasira na kuona hakuna Muumba Wala nini, ndo kichaa kikampanda na KUANZA vi Theory vyake vya namna hio.
Sio kweli, Darwin alikuja na theory yake baada ya kuona makundi ya ndege katika visiwa mbalimbali yanafanana baadhi ya vitu kutokana na mazingira fulani.
 
Na


Nafikiri hujanielewa logic yangu.mfano chukua mtoto wako wa miezi sita ,mwache akae na ng'ombe tu after five years utakuta anaongea kama ng'ombe ,au kama aliishi na kuku ataanza kuwika etc.kwa hiyo kila lugha ubayoiona hapa Duniani binadamu amejifunza Kwa binadamu wa kale full stop.

Darwin mwongo kabisa
Evolution inaelezewa katika mabilioni na mamilioni ya miaka, huu upingaji wako ni wa kitoto.
 
Ukisema common ancestor wa mzungu,mweusi ,mtu mwekundu ,mwarabu nk ni mmoja hapo nitakuelewa.maana mweusi anaweza akaongezewa damu ya mzungu,na mzungu anaweza akaongezewa damu ya mweusi.Mweusi anaweza akawekewa figo ya mzungu na mzungu anaweza akawekewa figo ya mweusi.
 
Na


Nafikiri hujanielewa logic yangu.mfano chukua mtoto wako wa miezi sita ,mwache akae na ng'ombe tu after five years utakuta anaongea kama ng'ombe ,au kama aliishi na kuku ataanza kuwika etc.kwa hiyo kila lugha ubayoiona hapa Duniani binadamu amejifunza Kwa binadamu wa kale full stop.

Darwin mwongo kabisa
Evolution inaelezewa katika mabilioni na mamilioni ya miaka, huu upingaji wako ni wa kitoto
 
Ukisema common ancestor wa mzungu,mweusi ,mtu mwekundu ,mwarabu nk ni mmoja hapo nitakuelewa.maana mweusi anaweza akaongezewa damu ya mzungu,na mzungu anaweza akaongezewa damu ya mweusi.Mweusi anaweza akawekewa figo ya mzungu na mzungu anaweza akawekewa figo ya mweusi.
Kuna binadamu amewahi kuwekewa figo ya nguruwe.
 
Darwin proposed that species can change over time, that new species come from pre-existing species, and that all species share a common ancestor. In this model, each species has its own unique set of heritable (genetic) differences from the common ancestor, which have accumulated gradually over very long time periods.


Kwa nini nasema aliudanganya ulimwengu !

Jibu liko hapa

Kama Kwa mfano according to Darwin theory ,sisi binadamu hapo awali tulikuwa nyani,lugha tunayoongea kwa sasa nani alitufundisha? Mbona lugha zetu hazina hata chembe ya uhusiano na lugha ya nyani?

Kwa mfano ,chukua mtoto wa binadamu mwenye umri wa miezi sita ,mweke kwenye sehemu wanakoishi nyani ,ni dhahiri mtoto huyu ataanza kujifunza lugha na tabia za nyani!! Mwanadamu wa kwanza alifubdishwa lugha na supernatural ( Maybe God himself) kwa sababu mwanadamu ukiindoa kulia,kula,kujisaidia ,kucheka mengine yote anajifunza kwa wale ambao amewakuta duniani!!

Kwa hiyo lugha tunazoongea na baadhi ya tabia tumejifunza kwa mtu mwengine.Kama ancestors wetu wangekuwa nyani ni dhahiri lugha yetu ingefanana na ya nyani maana tungekuwa tumejifunza kwa baba na mama Nyani .


Kwa hiyo Darwin alichemka sana .

Karibuni kwa kunikosoa au kuniunga mkono hoja yangu🤣🤣🤣🤣
Wewe unachozungumza siyo biology,,,,mambo ya lugha ni tofaut na genetic characters, lugha haihusiani na genetics, zaa mtoto mpeleke ulaya uone kama atazungumza kiswahili.....fikiria tena bado hauna hoja yoyote
 
Kwa hiyo common ancestor wetu ni nani hapo?

Na kwa kwani hakuna lugha yoyote tunayoongea unayofanana na ya nyani au sokwe?na kama tungekuwa tunafanana,kwa nini wanasayansi wanatafuta viungo kutoka kwa wanyama Ili wavipandikize kwa binadamu lakini wanashundwa? Si wangetumia figo ya nyani au sokwe kumwekwa binadamu ambaye figo imefeli?

The Darwin theory is wrong somewhere
Kwa sababu evolution imeshatutofautisha, kwa nini upandikize figo ya sokwe kwa binadamu?
 
Back
Top Bottom