Nafikiri Darwin aliudanganya ulimwengu nao ukadanganyika

Nafikiri Darwin aliudanganya ulimwengu nao ukadanganyika

Na


Nafikiri hujanielewa logic yangu.mfano chukua mtoto wako wa miezi sita ,mwache akae na ng'ombe tu after five years utakuta anaongea kama ng'ombe ,au kama aliishi na kuku ataanza kuwika etc.kwa hiyo kila lugha ubayoiona hapa Duniani binadamu amejifunza Kwa binadamu wa kale full stop.

Darwin mwongo kabisa
Kwa misingi ipi useme theory ya Darwin ni ya uongo?
 
Jamaa inasemekana alikua muumini sana wa dini ila watuwake wakaribu wengi walifariki ikiwemo mkewake hii ikamtia hasira na kuona hakuna Muumba Wala nini, ndo kichaa kikampanda na KUANZA vi Theory vyake vya namna hio.
 
Darwin proposed that species can change over time, that new species come from pre-existing species, and that all species share a common ancestor. In this model, each species has its own unique set of heritable (genetic) differences from the common ancestor, which have accumulated gradually over very long time periods.


Kwa nini nasema aliudanganya ulimwengu !

Jibu liko hapa

Kama Kwa mfano according to Darwin theory ,sisi binadamu hapo awali tulikuwa nyani,lugha tunayoongea kwa sasa nani alitufundisha? Mbona lugha zetu hazina hata chembe ya uhusiano na lugha ya nyani?

Kwa mfano ,chukua mtoto wa binadamu mwenye umri wa miezi sita ,mweke kwenye sehemu wanakoishi nyani ,ni dhahiri mtoto huyu ataanza kujifunza lugha na tabia za nyani!! Mwanadamu wa kwanza alifubdishwa lugha na supernatural ( Maybe God himself) kwa sababu mwanadamu ukiindoa kulia,kula,kujisaidia ,kucheka mengine yote anajifunza kwa wale ambao amewakuta duniani!!

Kwa hiyo lugha tunazoongea na baadhi ya tabia tumejifunza kwa mtu mwengine.Kama ancestors wetu wangekuwa nyani ni dhahiri lugha yetu ingefanana na ya nyani maana tungekuwa tumejifunza kwa baba na mama Nyani .


Kwa hiyo Darwin alichemka sana .

Karibuni kwa kunikosoa au kuniunga mkono hoja yangu🤣🤣🤣🤣
Hapo mwanzo kuumbwa Dunia I kulitokea tanu ikaja CCM ikazaa vibaka engine wakaja kuwa majiwe na baadae Kuja kuzaliwa vyura viziwi
 
Comperative evidence inaeleza wazi kabisa kwamba mwanadamu anafanana na wanyama jamii ya nyani/sokwe na wala hafanani na mbwa,chui,simba,mbuzi,kondoo, ng'ombe nk.
Kwa hiyo common ancestor wetu ni nani hapo?

Na kwa kwani hakuna lugha yoyote tunayoongea unayofanana na ya nyani au sokwe?na kama tungekuwa tunafanana,kwa nini wanasayansi wanatafuta viungo kutoka kwa wanyama Ili wavipandikize kwa binadamu lakini wanashundwa? Si wangetumia figo ya nyani au sokwe kumwekwa binadamu ambaye figo imefeli?

The Darwin theory is wrong somewhere
 
Darwin proposed that species can change over time, that new species come from pre-existing species, and that all species share a common ancestor. In this model, each species has its own unique set of heritable (genetic) differences from the common ancestor, which have accumulated gradually over very long time periods.


Kwa nini nasema aliudanganya ulimwengu !

Jibu liko hapa

Kama Kwa mfano according to Darwin theory ,sisi binadamu hapo awali tulikuwa nyani,lugha tunayoongea kwa sasa nani alitufundisha? Mbona lugha zetu hazina hata chembe ya uhusiano na lugha ya nyani?

Kwa mfano ,chukua mtoto wa binadamu mwenye umri wa miezi sita ,mweke kwenye sehemu wanakoishi nyani ,ni dhahiri mtoto huyu ataanza kujifunza lugha na tabia za nyani!! Mwanadamu wa kwanza alifubdishwa lugha na supernatural ( Maybe God himself) kwa sababu mwanadamu ukiindoa kulia,kula,kujisaidia ,kucheka mengine yote anajifunza kwa wale ambao amewakuta duniani!!

Kwa hiyo lugha tunazoongea na baadhi ya tabia tumejifunza kwa mtu mwengine.Kama ancestors wetu wangekuwa nyani ni dhahiri lugha yetu ingefanana na ya nyani maana tungekuwa tumejifunza kwa baba na mama Nyani .


Kwa hiyo Darwin alichemka sana .

Karibuni kwa kunikosoa au kuniunga mkono hoja yangu🤣🤣🤣🤣
Babu yako alikuwa Sokwe sio Nyani

Baba yako pamoja na wewe ni zao la Sokwe acha ubishi
 
Darwin proposed that species can change over time, that new species come from pre-existing species, and that all species share a common ancestor. In this model, each species has its own unique set of heritable (genetic) differences from the common ancestor, which have accumulated gradually over very long time periods.


Kwa nini nasema aliudanganya ulimwengu !

Jibu liko hapa

Kama Kwa mfano according to Darwin theory ,sisi binadamu hapo awali tulikuwa nyani,lugha tunayoongea kwa sasa nani alitufundisha? Mbona lugha zetu hazina hata chembe ya uhusiano na lugha ya nyani?

Kwa mfano ,chukua mtoto wa binadamu mwenye umri wa miezi sita ,mweke kwenye sehemu wanakoishi nyani ,ni dhahiri mtoto huyu ataanza kujifunza lugha na tabia za nyani!! Mwanadamu wa kwanza alifubdishwa lugha na supernatural ( Maybe God himself) kwa sababu mwanadamu ukiindoa kulia,kula,kujisaidia ,kucheka mengine yote anajifunza kwa wale ambao amewakuta duniani!!

Kwa hiyo lugha tunazoongea na baadhi ya tabia tumejifunza kwa mtu mwengine.Kama ancestors wetu wangekuwa nyani ni dhahiri lugha yetu ingefanana na ya nyani maana tungekuwa tumejifunza kwa baba na mama Nyani .


Kwa hiyo Darwin alichemka sana .

Karibuni kwa kunikosoa au kuniunga mkono hoja yangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nadhani ili uelewe kama alikuwa muongo au la inabidi uelewe kwanza anaposema "common ancestor" alimaanisha nini? Je, kusema walikuwa na common ancestor na kusema wote walikuwa nyani /apes " ni kitu kimoja? Inabidi utofautishe hizo sentensi mbili kwanza na ujue ya Darwin ni ipi kati ya hizo ndipo utakapoelewa kama ni muongo au la
 
Nadhani ili uelewe kama alikuwa muongo au la inabidi uelewe kwanza anaposema "common ancestor" alimaanisha nini? Je, kusema walikuwa na common ancestor na kusema wote walikuwa nyani /apes " ni kitu kimoja? Inabidi utofautishe hizo sentensi mbili kwanza na ujue ya Darwin ni ipi kati ya hizo ndipo utakapoelewa kama ni muongo au la
Kwa hiyo common ancestor wetu kama binadamu ni Nani
 
Kwa hiyo common ancestor wetu ni nani hapo?

Na kwa kwani hakuna lugha yoyote tunayoongea unayofanana na ya nyani au sokwe?na kama tungekuwa tunafanana,kwa nini wanasayansi wanatafuta viungo kutoka kwa wanyama Ili wavipandikize kwa binadamu lakini wanashundwa? Si wangetumia figo ya nyani au sokwe kumwekwa binadamu ambaye figo imefeli?

The Darwin theory is wrong somewhere

Mkuu hata kubadilisha Figo au damu sio Kila binadamu unaweza ku-share naye viungo.
 
Na


Nafikiri hujanielewa logic yangu.mfano chukua mtoto wako wa miezi sita ,mwache akae na ng'ombe tu after five years utakuta anaongea kama ng'ombe ,au kama aliishi na kuku ataanza kuwika etc.kwa hiyo kila lugha ubayoiona hapa Duniani binadamu amejifunza Kwa binadamu wa kale full stop.

Darwin mwongo kabisa
Ndo mana nakwambia hujasoma vha kutosha mkuu full stop pia.

Kasome mapana ya kile alochokisema kuwa ni adaptation
 
Babu yako alikuwa Sokwe sio Nyani

Baba yako pamoja na wewe ni zao la Sokwe acha ubishi
hahahahaaa .kwa hiyo Lugha na tabia zako nyengine ulijifunza kwa baba Yako Nyani au Sokwe!! Serious?
 
Mkuu hata kubadilisha Figo au damu sio Kila binadamu unaweza ku-share naye viungo.
But at more than 95 percent ,organ transplant zinatoka kwa binadamu wenzetu.Haiwezekani kama Babu yetu ni sokwe au nyani ,tukose nyani au sokwe katika mamilioni ya wanyama hao tukosea wakufanana naye kwa lugha,blood group ,organ matching. Etc.

The theory is wrong
 
Yaan mpo serious kabisa mnajadili hiyo theory

Nilidhani tukiwa watu wazima ingetosha kuona uongo wa huyo mpuuzi
 
But at more than 95 percent ,organ transplant zinatoka kwa binadamu wenzetu.Haiwezekani kama Babu yetu ni sokwe au nyani ,tukose nyani au sokwe katika mamilioni ya wanyama hao tukosea wakufanana naye kwa lugha,blood group ,organ matching. Etc.

The theory is wrong

Yakweli ni ipi Sasa?
 
Back
Top Bottom