Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
we ahad ulizotoa za kubadilika huweziNisindikize my 😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we ahad ulizotoa za kubadilika huweziNisindikize my 😎
Dah jaman hy yote n roho mbaya zenu ili nisipewe tuzo ya member bora, sasa kukuita my ndio kosa jaman ðŸ˜we ahad ulizotoa za kubadilika huwezi
Na
Nafikiri hujanielewa logic yangu.mfano chukua mtoto wako wa miezi sita ,mwache akae na ng'ombe tu after five years utakuta anaongea kama ng'ombe ,au kama aliishi na kuku ataanza kuwika etc.kwa hiyo kila lugha ubayoiona hapa Duniani binadamu amejifunza Kwa binadamu wa kale full stop.
Darwin mwongo kabisa Bora ungekaa kimya kila mtu atakua huelewi theory za Darwin, tatizo wew hujaelewa Sir Darwin unamulisha maneno hakusema wew hukumuelewa Mwalim wako Biology. Mf watu Dar ya watu miaka 1918 na wa 1960 na Dar ya 2023.picha za watu tofauti. Misri ya kale afrika North hakukuwa na mwazungu. Leo ni white.Amerika Red indus leo white people. Uongo wa Darwin upi. Huona Africa, Hata Black people wanapungua miaka 4000 ijayo hakutakuwa na black people
Hoja kama hizi nakutana nazo sana kwenye vijiwe vya kahawa. Na mbaya zaidi ukijifanya msomi na mjuaji eti uwaeleweshe ndio unaonekana hujui kitu kabisa na mtoa hoja ambaye hata la saba hakumaliza anaonekana anajua kweli!! Ahahahahaha!!!Darwin proposed that species can change over time, that new species come from pre-existing species, and that all species share a common ancestor. In this model, each species has its own unique set of heritable (genetic) differences from the common ancestor, which have accumulated gradually over very long time periods.
Kwa nini nasema aliudanganya ulimwengu !
Jibu liko hapa
Kama Kwa mfano according to Darwin theory ,sisi binadamu hapo awali tulikuwa nyani,lugha tunayoongea kwa sasa nani alitufundisha? Mbona lugha zetu hazina hata chembe ya uhusiano na lugha ya nyani?
Kwa mfano ,chukua mtoto wa binadamu mwenye umri wa miezi sita ,mweke kwenye sehemu wanakoishi nyani ,ni dhahiri mtoto huyu ataanza kujifunza lugha na tabia za nyani!! Mwanadamu wa kwanza alifubdishwa lugha na supernatural ( Maybe God himself) kwa sababu mwanadamu ukiindoa kulia,kula,kujisaidia ,kucheka mengine yote anajifunza kwa wale ambao amewakuta duniani!!
Kwa hiyo lugha tunazoongea na baadhi ya tabia tumejifunza kwa mtu mwengine.Kama ancestors wetu wangekuwa nyani ni dhahiri lugha yetu ingefanana na ya nyani maana tungekuwa tumejifunza kwa baba na mama Nyani .
Kwa hiyo Darwin alichemka sana .
Karibuni kwa kunikosoa au kuniunga mkono hoja yangu🤣🤣🤣🤣
Mbona evidence yako ya ku refute the Darwin hypothesis iko very weak. Lugha anayozaliwa nayo mtoto wa binadamu popote duniani ni mamamaaa, bababaaa na dadadaaaa tu, mengine hujifunza kwa wazazi na jamii yake na humchukua zaidi ya miaka miwili.Darwin proposed that species can change over time, that new species come from pre-existing species, and that all species share a common ancestor. In this model, each species has its own unique set of heritable (genetic) differences from the common ancestor, which have accumulated gradually over very long time periods.
Kwa nini nasema aliudanganya ulimwengu !
Jibu liko hapa
Kama Kwa mfano according to Darwin theory ,sisi binadamu hapo awali tulikuwa nyani,lugha tunayoongea kwa sasa nani alitufundisha? Mbona lugha zetu hazina hata chembe ya uhusiano na lugha ya nyani?
Kwa mfano ,chukua mtoto wa binadamu mwenye umri wa miezi sita ,mweke kwenye sehemu wanakoishi nyani ,ni dhahiri mtoto huyu ataanza kujifunza lugha na tabia za nyani!! Mwanadamu wa kwanza alifubdishwa lugha na supernatural ( Maybe God himself) kwa sababu mwanadamu ukiindoa kulia,kula,kujisaidia ,kucheka mengine yote anajifunza kwa wale ambao amewakuta duniani!!
Kwa hiyo lugha tunazoongea na baadhi ya tabia tumejifunza kwa mtu mwengine.Kama ancestors wetu wangekuwa nyani ni dhahiri lugha yetu ingefanana na ya nyani maana tungekuwa tumejifunza kwa baba na mama Nyani .
Kwa hiyo Darwin alichemka sana .
Karibuni kwa kunikosoa au kuniunga mkono hoja yangu🤣🤣🤣🤣
Nasoma tu species species species hata naelewa maana yake sasa 🤔!!