Nafikiri miaka 100 ijayo taasisi ya ndoa haitakuwepo kabisa

Nafikiri miaka 100 ijayo taasisi ya ndoa haitakuwepo kabisa

Kuna move moja iv kulitokea janga ,binadamu wakatoweka wachache wa wakapanda spaceship nakujificha kwa mda fulani, majanga yalipoisha wakatua, wakakuta hakuna binadamu hata mmoja zaidi yao na majumba barabara zimefunikwa na majani .

Kiufupi mazingira yalikua bora na salama sana .
Dunia haimuhitaji binadamu kwa lolote lile.

Binadamu ni muharibifu namba moja wa Dunia.

Akitoweka nature will last forever.
 
Mi kinachonishangaza haya mabadiliko/uharibifu unatokea kwa spidi sana kupita kawaida, yaan kuanzia 2000 - 2023 uharibifu umekuwa ni mkubwa kuliko uharibifu uliotokea ndani ya miaka 2000

Kwa mabadiliko haya possibly ni kwel dunia haina miaka 100 mbele
Dunia ilikuwepo, ipo na itaendelea kuwepo kwa miaka hata bilioni ijayo.

Ambaye atatoweka ni binadamu, wanyama na mimea.

Hata sayari nyingine huko hakuna viumbe ila hizo sayari zina exist tu fresh.

Milima, ardhi, maji, mabonde, mawe, udongo vipo milele.

Binadamu na wanyama ni wapita njia tu.
 
Binadamu akiangamia dunia itanawiri.

Muharibifu namba moja wa Dunia ni binadamu.

If all human beings become extinct, plants and animals will survive and last for so long.

Dunia haimuhitaji binadamu, Binadamu anahitaji dunia.

Binadamu asipo kuwepo mimea, wanyama na species zote zita ishi kwa uhuru kwenye mazingira safi yasiyo na uharibifu wa mwanadamu.

Kwanza, natamani binadamu wote tutoweke, tuwe extinct kama dinosaurs [emoji3072][emoji3072].

Nature will last forever, Binadamu akitoweka.
😅😅😅
 
Dunia haimuhitaji binadamu kwa lolote lile.

Binadamu ni muharibifu namba moja wa Dunia.

Akitoweka nature will last forever.
Binadamu wametengeneza pesa halafu wanaanza kuzitafuta ,ugumu wa maisha ulianza ulaya maana ndio waliendelea ila Africa miaka ya barter trade karibia jamii zote zilifanana kimaendeleo , hususani kila jamii ilikuwa na uwezo fulani wa kufanya mbadilisho wa bidhaa na wengine kama mazao ,samaki hata nyama kwa wawindaji.

Mataifa yaliyoendela waka-imposs uchumi wa pesa duniani na hapo uchumi ukawa upo centralized kweny pesa tu na bartee trade ikafa mazima.
 
Binadamu wametengeneza pesa halafu wanaanza kuzitafuta ,ugumu wa maisha ulianza ulaya maana ndio waliendelea ila Africa miaka ya barter trade karibia jamii zote zilifanana kimaendeleo , hususani kila jamii ilikuwa na uwezo fulani wa kufanya mbadilisho wa bidhaa na wengine kama mazao ,samaki hata nyama kwa wawindaji.

Mataifa yaliyoendela waka-imposs uchumi wa pesa duniani na hapo uchumi ukawa upo centralized kweny pesa tu na bartee trade ikafa mazima.
Nadhani tatizo lilianza pale ambapo unahitaji bidhaa ambayo haiendani na thamani ya bidhaa uliyonayo.

Mfano mwenye kuku akihitaji ng'ombe mbadilishano wa hizi bidhaa utakuwa mgumu kwenye thamani.
 
Maghayo 😅
Screenshot_20231229-191159.png
 
Binadamu akiangamia dunia itanawiri.

Muharibifu namba moja wa Dunia ni binadamu.

If all human beings become extinct, plants and animals will survive and last for so long.

Dunia haimuhitaji binadamu, Binadamu anahitaji dunia.

Binadamu asipo kuwepo mimea, wanyama na species zote zita ishi kwa uhuru kwenye mazingira safi yasiyo na uharibifu wa mwanadamu.

Kwanza, natamani binadamu wote tutoweke, tuwe extinct kama dinosaurs [emoji3072][emoji3072].

Nature will last forever, Binadamu akitoweka.
Seconded
 
Ndoa zitabakia kuwepo hapa duniani, ni wanyama tu ambao hawaoi ama kuolewa, cha msingi kama ukibugi kupata mtu asiye sahihi umekwishaa !!

Sasa kama wewe ulibudi hilo la kwako, tuache sisi tule maisha - ndoa ni taam sheikh !!
Mwamba Aliangalia kalio nasio wife material,,ulipenda churaa eeh enjoy your frog broo
 
Ni opinion zako tu. But the fact is, anything established by Sir God Himself, shall prevail forever haijalish the whole globe will stand against.
 
Back
Top Bottom