Nafikiri tatizo la Chid Benz linaanzia kwa mama yake pia

Wapo wamama wanaokubali. Mfano mama yake na Wema Sepetu
Mama wema amenyamaza kwa muda mrefu sana alipokuwa anaulizwa kuhusu wema sepetu nafikiri katika watu waliohojiwa zaidi ni yeye na mama dangote..

Mama wema alibeba mzigo mkubwa na lawama na matusi kuhusu mwanaye Ametukanwa sana kwa sababu ya mwanae ambaye yeye mwenyewe hajali anaongeza tu body count (Sijui kama sahizi hafiki 200)

Mbaya zaidi kutaka kumuingiza mama yake katika dharau kubwa ya mwaka..

Kwamba anamualika kwenye sherehe yake halafu Yeye kama mama ashuhudie wema wakishikana shikana na kijana mwingine bila ndoa wala uchumba na wakati huo yeye kama mama akiwepo..
Imagine watu wangesemaje kama asinge Act kwamba mama wema kabariki tabia za mwanaye?
Kama mama ilibidi kuvaa koti kavu na kujidefend mwenyewe kutokuchafuka kwa Brand yake ya umama kwa hyo lazma ali Act upon...

Niambie ungekuwa wewe ndo mwanao kakufanyia hivyo ungemchekea? Licha ya matusi na kejeli unazopewa kwa kumtetea?
 
Mama wema alifanya vizuri tu kwanza ana moyo sana. Mimi nisingeenda kwenye hiyo birthday party maana najua kuna upuuzi mwingi.
 
Soma vizuri uelewe nilichoandika.
 
Which is correct?
He performed very brilliantly OR
He performed brilliant...?

Haya nyie mliosoma "Standard" versus sisi wa "VIDATU"!

I think it all depends on the context!
Mkuu hapo hakuna jibu sahihi;makosa ni mengisana hapo unapotaka kufanyiwa correction.
 
Ushamba ushamba mwingi na kuiga mambo, mie mla ngada namuona kavu tu.

Ningemuona wa maana huyo dogo kama angewakamatisha wauza ngada anaowafahamu, tatizo ndiyo liko hapo .

Eti umpeleke Soba alafu wauza ngada bado wako mtaani ,vipi hichi kizazi kinachochipukia..?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…