Nafikiri tatizo la Chid Benz linaanzia kwa mama yake pia

Nafikiri tatizo la Chid Benz linaanzia kwa mama yake pia

Uko sahihi sana kwa hili,na hii ndio chanzo kikuu cha kuambiwa wanawake ndio wanaoharibu watoto.Unakuta anajua kabisa kuwa mtoto ana makosa lakini atayaficha akijua anamsaidia kumbe ndio anampoteza...
Ulitaka kusema anatakiwa kuyasema makosa yake public?

HAkuna mama wa Dizaini hiyo duniani kote au hata wewe kama mzazi unaweza kusema makosa au Aibu ya mwanao Public Huku ukiamini unaissma mbele ya mamilioni ya watu..
Nafikiri katika jambo ambalo kalifanya la muhimu kuliko yote ni hili
 
Nimeangalia hiyo Interview Clouds. Nimegundua Mama Chidi ( Hawa) She is very Brilliantly.. mtangazaji alitaka kumtumia Mama ili aoneshe Mapungufu mengi ya Mtoto wake.. Mama anasisitiza Tatizo lipo ila sio lazima ku expose Publically.. ndicho Mama anasisitiza.. na amekua Mjanja sana kujibu maswali.. Hata mtangazaji alikua anakosea sana kutaka kuweka vitu Vingi Publically!!
Wamama hupenda Kuvaa viatu vya Watoto wao..
Huwezi sema very brilliantly...
Ukiweka very basi unaishia brilliant...
Ukiweka brilliantly...huweki very
 
Wasalaam.

Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosema nimeona interview ya mama yake Chid Benz na Clouds tv kwenye kipindi cha Shajara.

Huyu mama kwakweli yeye mwenyewe hajakubali kama mwanaye ana shida yaani hana Imani kabisa kwamba Chid ana shida.

Hii inaweza kupelekea Chid asipate unafuu kwa kipindi hichi cha karibu coz watu muhimu wanaomzunguka hasa mama yake hana imani kama Chid analo tatizo.
Unamlaumu mama, wakati hilo ni jibaba zima na akili zake. Chid kapewa msaada mara nyingi tu, halafu leo mzazi aonekane tatizo. Kweli kuwa mzazi ni kazi na ni maumivu makubwa.
 
Wasalaam.

Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyosema nimeona interview ya mama yake Chid Benz na Clouds tv kwenye kipindi cha Shajara.

Huyu mama kwakweli yeye mwenyewe hajakubali kama mwanaye ana shida yaani hana Imani kabisa kwamba Chid ana shida.

Hii inaweza kupelekea Chid asipate unafuu kwa kipindi hichi cha karibu coz watu muhimu wanaomzunguka hasa mama yake hana imani kama Chid analo tatizo.
Fatherlessness(Kukosekana kwa Baba katika Familia) ni Janga kubwa sana kwenye jamii zote duniani, ila halizungumziwi. Wanawake wanaharibu sana watoto.
 
Kipindi kile chid Benz anawapiga akina Prof jay, Ngwea alidhani mjanja sana naona nae madawa yanamchapa kweli... Mikono fulululuu
 
Fatherlessness(Kukosekana kwa Baba katika Familia) ni Janga kubwa sana kwenye jamii zote duniani, ila halizungumziwi. Wanawake wanaharibu sana watoto.
Sio kweli malezi ya mama wote yanaharibu watoto. Tuwape heshima wamama wanajitahidi sana. Mimi nimelelewa na mama na nilipata malezi Bora kabisa. Wanaume wengi wamekuwa walevi, wameendekeza michepuko matokeo yake wamewatelekezea wanawake watoto. Na wamewamudu vizuri tuu. Tuache kuwatupia lawama wanawake, tujiulize hao wababa wako wapi?
 
Huyu mama kwakweli yeye mwenyewe hajakubali kama mwanaye ana shida yaani hana Imani kabisa kwamba Chid ana shida.
No kakubali ila hujui malezi ya watoto hao wakianza kutumia hivyo vitu,
Dogo wangu anagonga bangi lake hapo sebuleni na maza mlokole piwa hana hata abari naye ndo kwanza anampikia ugali.
Sasa atafanyaje mtoto ni kipenzi chake.
Anaona bora awepo tu mradi hajapotea.
Leo umeskia balaa huko kwa nabii.
Ukichukua hatua zaidi na wao wanaenda mbele zaidi.
 
Hata kuwaita influencers umewahishim sana kamanda. Radio zimeajiri mbururaz. Wajinga flan amazing. Akil kichwan sifuri kabisa yan
Imefika mahala nimeacha kabisa kusikiliza hizi redio zetu na vipindi vya TVs. Mtu anayeweza kusema sema hovyo asiyeahirikisha ubongo kwenye ulimi wake ndo wanapewa vipindi kuviendesha.

Halafu......dah
 
Imefika mahala nimeacha kabisa kusikiliza hizi redio zetu na vipindi vya TVs. Mtu anayeweza kusema sema hovyo asiyeahirikisha ubongo kwenye ulimi wake ndo wanapewa vipindi kuviendesha.

Halafu......dah
Hahahahaha
 
Lini umeona Mama akakubali mtoto wake ana shida mbele ya hadhara?

Hakuna mama atakayekubali kumfedhehesha mwanaye hata kama moyoni anajua anastahili fedheha hiyo...
Hakuna mama atakayekubali mwanaye aumie kwa sababu ya maneno aliyoyatoa yeye...

So Anaweza akawa yeye anamshauri sana Kuhusu Tabia zake ila hawezi kuweka hadharani...
Wapo wamama wanaokubali. Mfano mama yake na Wema Sepetu
 
Unga balaa sanaaa acha wauzaji wanyongweee...
 
Back
Top Bottom