Habari za muda huu hapa,
Naishi Dsm Nina familia ya mke na mtoto mmoja.
Kazi --nimeanza kufanya kazi ya ULINZI kwenye kampuni binafsi la Gardworld, nikiwa hapa hapa Dsm.
Maisha yamekuwa magumu sana na hakuna maendeleo yoyote nayoyaona zaidi ya kulipia Kodi,na kupata Hela ya kula basi,Ukizingatia huu ni mwaka wa 3 Sasa nipo kwenye kazi hii.
Awali tulikuwa tunalipwa 250k take home baadae ikaja kupanda Hadi 370k take home,kibaya zaidi LINDO nilililokuwepo mkataba ukafa ikabidi tupewe termination letter na watu wengi sana waliachishwa kazi ilikuwa 2022 kuingia 2023 ,nikasain garda west kama kampuni ndogo yake na mshahara kubakia 250k Tena.
Nimefanikiwa kununua eneo la eka Moja Morogoro.
Hii kazi Sasa naona niache nikafanye shughuli ata za kilimo shamba kuliko kuendelea kuteseka namna hii,unalala nje mbu wako, mvua yako,jua lako, mashanyanyaso mengi, hupati haki zako za Msingi.
Mawazo yenu wadau,au nitakuwa nakosea kuacha kazi hii ambayo haina manufaa zaidi sana ni kudumaza akili tu.
Elimu yangu nimesoma diploma ya Agri business lakini nimetuma maombi ya kazi mara nyingi sijabahatika kupata kazi ya career yangu.
Mshahara wa 250000 Kwa Jiji hili la Dsm naona napoteza muda wangu tu.
Naomba ushauri wowote nitasoma Kila comment.
Naishi Dsm Nina familia ya mke na mtoto mmoja.
Kazi --nimeanza kufanya kazi ya ULINZI kwenye kampuni binafsi la Gardworld, nikiwa hapa hapa Dsm.
Maisha yamekuwa magumu sana na hakuna maendeleo yoyote nayoyaona zaidi ya kulipia Kodi,na kupata Hela ya kula basi,Ukizingatia huu ni mwaka wa 3 Sasa nipo kwenye kazi hii.
Awali tulikuwa tunalipwa 250k take home baadae ikaja kupanda Hadi 370k take home,kibaya zaidi LINDO nilililokuwepo mkataba ukafa ikabidi tupewe termination letter na watu wengi sana waliachishwa kazi ilikuwa 2022 kuingia 2023 ,nikasain garda west kama kampuni ndogo yake na mshahara kubakia 250k Tena.
Nimefanikiwa kununua eneo la eka Moja Morogoro.
Hii kazi Sasa naona niache nikafanye shughuli ata za kilimo shamba kuliko kuendelea kuteseka namna hii,unalala nje mbu wako, mvua yako,jua lako, mashanyanyaso mengi, hupati haki zako za Msingi.
Mawazo yenu wadau,au nitakuwa nakosea kuacha kazi hii ambayo haina manufaa zaidi sana ni kudumaza akili tu.
Elimu yangu nimesoma diploma ya Agri business lakini nimetuma maombi ya kazi mara nyingi sijabahatika kupata kazi ya career yangu.
Mshahara wa 250000 Kwa Jiji hili la Dsm naona napoteza muda wangu tu.
Naomba ushauri wowote nitasoma Kila comment.