Apo mwishon umekosea bahati mbaya au Kuna code umeamua kuficha?[emoji848]Uzuri wa bandiko lako, wala hautaji ushauri. Ni kama ulikuwa unawaza kwa sauti.
Kila la kheri na uhamuzi wako kaka.
Wanawake huwa wanakurupuka Sana,ishu ndogo sana za kuachana, tulia na mkeo mkuu!