Nafikiria kuachana na mke wangu

Pole sana mkuu...

Nna maswali machache kwako,...

1.Huyo mwanamke umezaa nae watoto wangapi?

2.Ushawahi kumuonya mara ngapi?

3.Hizo habari za kusubiliwa na mtu mwingine umesisikia kwa majirani au kwenye kinywa chake?

4.Una umri gani mpaka useme hutaoa tena?

5.Mkiachana na huyo mwanamke are you sure watoto wako watakuwa safe?

6.Mlifunga ndoa au ni ile sogea tuishi?

Think wisely mkuu... nikutakie jioni njema na weekend njema ahead...
 
Fanya hivyo tuwa huo mzigo wenzio wa nawaza wake zao wawaweke mazezeta ww mwanamke unawaza akutie hasara chukua hiyo chance MFANYE awe ndocha kama ndocha la kihindi halafu fungua duka unakuwa unaingiza mihela mingi zen unahamia kwa kajala na paula
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…