Nafikiria kuachana na mke wangu

Nafikiria kuachana na mke wangu

Kuna jambo nimemwekeza alifanye vile mimi nataka Kwa kiburi kasema yeye hatofanya,pia kwenye maongezi yake nimesikia akisema nikimwacha Kuna mtu yupo anasubiri hiyo bahati Kwa hamu.

Pengine nafikiria nikiwa huru peke yangu nitafurahia maisha zaidi ijapokuwa nishamzalisha watoto ila naona Kwa huyu mwanamke siwezi kufanya milango yoyote ya maana Kwa kuwa naona tunatofautiana iq sana kiasi kuwa nilikuwa namvumilia hata akiniweka kwenye hasara.

Kimsingi sitaoa tena nitaishi maisha yangu lonely.
Naunga mkono hoja
 
Kata mabanzi ya maskio matatu askie nziiii, akibisha ni miteke tu na unaweza kumsindikiza kwa anayesubiri huko ukamuache
 
Naomba niseme kitu,

Asilimia kubwa ya wanaomshaur mtoa mada apige chini

Ni singles, hawajawai ishi Kwny ndoa

Walio kwenye ndoa, Iwe ME au KE

situation Kama hizi sio ngeni kabisa kwa ndoa nyingi, hasa uku afrika changanyikeni[emoji4]
Uko sahihi kabisa
 
Mkeo na mimi tayari ni wake wawili tuliosema hayo maneno[emoji23][emoji23][emoji23]
Unaweza kuta kila mke ameshawahi yasema hayo maneno kwenye ndoa yake. Truth be told.
huo ndo ukweli tukiamua kusema ya nyuma ya pazia ila pia umri wa miaka 20-29 huwa una mambo sana yakujiona bado nalipa,[emoji2]kuna maneno mengine huyu jamaa awe mpuuziaji yatokayo kwa mwanamke otherwise ataoa sana.
 
Unafeli wap mwamba..tushakubaliana mwanamke haachwi Kwa sabb yeyote ile isipokua usaliti..

Zingatia kanuni za chama tafadhal..asa uyo kamdomo tu unataka sambaratisha familia..uyo Kwa mujibu wa kanuni mchezeshee vibao vya haja akome kukujibu kama anamjibu shoga ake.

Inaonekana mwamba u dhaifu Sana Kwa mke wako ndio maana amepata ujasir wa kukujibu dry kiasi hcho.
 
Kuna jambo nimemwekeza alifanye vile mimi nataka Kwa kiburi kasema yeye hatofanya,pia kwenye maongezi yake nimesikia akisema nikimwacha Kuna mtu yupo anasubiri hiyo bahati Kwa hamu.

Pengine nafikiria nikiwa huru peke yangu nitafurahia maisha zaidi ijapokuwa nishamzalisha watoto ila naona Kwa huyu mwanamke siwezi kufanya milango yoyote ya maana Kwa kuwa naona tunatofautiana iq sana kiasi kuwa nilikuwa namvumilia hata akiniweka kwenye hasara.

Kimsingi sitaoa tena nitaishi maisha yangu lonely.
 
Back
Top Bottom