Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye ule uzi ulidondoka fresh,niliokota mawe ya kutosha kupasua kabisa akili mbovu za wake wajinga wapenda maliNikwambie tu Mtoa mada,
Ayo Maneno hujawahi tamkiwa peke yako,
Nishawai tamkiwa Sana hivyo na wife,
Enzi zile ndoa bado changa, tuna Mtoto 1
Kisha kesi ilipofika ukweni
Wakwe zangu wakatamka Tena,
This time ikiwa Ni msisitizo zaidi nimuache
Binti yao mrembo Sn, wakumuoa wengi sn.
Kikichotokea
Niliamua Kama unavyotaka kufanya,
maamuz yang hayakujali Nani ataumia
Nilijikuta nmeumiza Hadi wasiohusika,
Mwisho wa siku
mke na wakwe waliomba msamaha walikurupuka, Na maisha yaliendelea.
Uzi wa icho kisa,
umo humu MMU, nishawai kuuleta
Kaupitie
Unaweza kuokota mawili matatu[emoji1431]
ChorusKATAA NDOA
Pole,Kuna jambo nimemwekeza alifanye vile mimi nataka Kwa kiburi kasema yeye hatofanya,pia kwenye maongezi yake nimesikia akisema nikimwacha Kuna mtu yupo anasubiri hiyo bahati Kwa hamu.
Pengine nafikiria nikiwa huru peke yangu nitafurahia maisha zaidi ijapokuwa nishamzalisha watoto ila naona Kwa huyu mwanamke siwezi kufanya milango yoyote ya maana Kwa kuwa naona tunatofautiana iq sana kiasi kuwa nilikuwa namvumilia hata akiniweka kwenye hasara.
Kimsingi sitaoa tena nitaishi maisha yangu lonely.
Wazo baya kbsa utakuwa masikini vumilia tu yatakaa sawaKuna jambo nimemwekeza alifanye vile mimi nataka Kwa kiburi kasema yeye hatofanya,pia kwenye maongezi yake nimesikia akisema nikimwacha Kuna mtu yupo anasubiri hiyo bahati Kwa hamu.
Pengine nafikiria nikiwa huru peke yangu nitafurahia maisha zaidi ijapokuwa nishamzalisha watoto ila naona Kwa huyu mwanamke siwezi kufanya milango yoyote ya maana Kwa kuwa naona tunatofautiana iq sana kiasi kuwa nilikuwa namvumilia hata akiniweka kwenye hasara.
Kimsingi sitaoa tena nitaishi maisha yangu lonely.
😅😅😅 za kuambiwa changanya na thakooo... hii ndio Jf . Sema kuachana mzee hizi ndoa zetu ni kazi sana labda uwe bandindu maana waza upande wenu na upande na mashahidi inabidi uwe na sababu nzitoo sanaaa.. ukweli nilishatafakari ilia kila nikiwa unamuachaje mzee unakosa kifungu kisheria.. labda nimkimbie tu nikazamie na ulayaa hukoooMkuu umenichekesha sana, umewaza nini? Mimi siwezi kumuacha huyu mama...thiwezi asee!
Usiwaze kumuacha kama ni kwa makosa madogo madogo yanayovumilika, kosa kubwa ni moja tu, akiwekwa nje..hilo halina mjadala na yoyote.😅😅😅 za kuambiwa changanya na thakooo... hii ndio Jf . Sema kuachana mzee hizi ndoa zetu ni kazi sana labda uwe bandindu maana waza upande wenu na upande na mashahidi inabidi uwe na sababu nzitoo sanaaa.. ukweli nilishatafakari ilia kila nikiwa unamuachaje mzee unakosa kifungu kisheria.. labda nimkimbie tu nikazamie na ulayaa hukooo
mke wangu anampenda kinoma pastor wake kuliko mie nahisii.. nahisi hata heshimaa nyingii kwa pastor 😅😅😅 sasa huu si msalaaUsiwaze kumuacha kama ni kwa makosa madogo madogo yanayovumilika, kosa kubwa ni moja tu, akiwekwa nje..hilo halina mjadala na yoyote.
Una masihara sana mkuu😁😁😁 huna tofauti na mzab!mke wangu anampenda kinoma pastor wake kuliko mie nahisii.. nahisi hata heshimaa nyingii kwa pastor 😅😅😅 sasa huu si msalaa
Duh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Fanya hivyo tuwa huo mzigo wenzio wa nawaza wake zao wawaweke mazezeta ww mwanamke unawaza akutie hasara chukua hiyo chance MFANYE awe ndocha kama ndocha la kihindi halafu fungua duka unakuwa unaingiza mihela mingi zen unahamia kwa kajala na paula
😅😅 kweli bro.. namuangali si unajua wengine hatusemagii tunakuwa tunasikilizia du.. kila saa anamuita daddy.. Unajua sie watu wazima unajua kabisa hapa navyopenda na anvayopendwa na kuheshimiwa mwamba tofautii. bora nikachukue kachakaramu kasiko na imani .. wanawake hawajui kuwa tuna wivu mkali kuliko wao sema sie tuna good management ya wivu wetuUna masihara sana mkuu😁😁😁 huna tofauti na mzab!
Jamani pole sana mkuu, je haiwezekani mkaa myasolve na mkeo kuliko kuachana??? Btw kuna maswali huwa natamani sana kukuuliza mkuuTupo pamoja mkuu, hata mie nipo kwenye mchakato wa kumuacha mke wangu pia.. bora tuendelee na maisha yetu ya upweke tu