Nafikiria kuachana na mke wangu

Nafikiria kuachana na mke wangu

Achana naye alfu tafuta kadada kazuri uwe unakula ila usimuoe. Wanawake kimsingi, wengi wao, huwa wanakurupuka sana kwenye kufanya maamuzi na hata hizo kauli zake atakuja kujuta. Yote ya yote achana naye kamanda, ukiendelea mkumbatia makubwa yatakufuata. Kuna watu watajuambia oooh mvumilie tu maana mmeunganishwa sijui na mbingu mara imrkaa hivi.. Mh hayo mambo ni upuuzi tu, achana naye na simamia maamuzi yako. Usilazimishe kuishi na mtu kwa yatakuja kutokea puani. Mwisho ni kwamba achana naye
 
Kuna jambo nimemwekeza alifanye vile mimi nataka Kwa kiburi kasema yeye hatofanya,pia kwenye maongezi yake nimesikia akisema nikimwacha Kuna mtu yupo anasubiri hiyo bahati Kwa hamu.

Pengine nafikiria nikiwa huru peke yangu nitafurahia maisha zaidi ijapokuwa nishamzalisha watoto ila naona Kwa huyu mwanamke siwezi kufanya milango yoyote ya maana Kwa kuwa naona tunatofautiana iq sana kiasi kuwa nilikuwa namvumilia hata akiniweka kwenye hasara.

Kimsingi sitaoa tena nitaishi maisha yangu lonely.


"Pengine nafikiria nikiwa huru peke yangu nitafurahia maisha zaidi"

Kuacha mke hasa ukiwa na watoto ni safari ngumu ambayo huwezi kuipanga kabla ujamuacha.

Ni sawa na ku attempt kupanda Mlima, huwezi jua ni namna gani mwili wako uta react na altitude.

Andiko lako halionyeshi sababu ya msingi kuacha mke, sio lazima kila kitu unachotaka wewe mke afanye.

Wakati mwingine majibu mabaya ya Mwanamke ni kwa sababu kakuchoka, anaweza asiwe mtu mbaya.
 
Ndoa nyng Sana inatokea,
Hizi kesi kwa jamaa zangu nyng Sana,

Tena Kuna kisa kimoja kilikua too much, Hadi nikatelekeza wanangu mapacha walokua wamezaliwa soon.

Baadae nikaja gundua ilkua rusha roho tu,Hamna lolote Lile,ngoja nitulie nikiandike afu ntaleta kushea humu ili vijana wasome[emoji4]
Ukikileta nitag [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Piga chini huyo mwanamke.

Mwanamke akishaanza ku raise sauti kiasi cha kuanza kutamka hayo maneno kuwa yupo mwingine anayesubiria bahati basi hapo huna lako.

Achana naye

Yaani basicaly its over already anasubiri confirmation. Kiburi cha mwanamke hua hakiji bila kuwa enable na mtu mwingine au kama anakuzidi kipato
 
Ndoa Ukitaka Idumuu..

MSIKILIZE MJINGAA NA UJIFANYE MPUMBAVUU[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] yani mwanamke ukijifanya unaenda nae kwa akili za darasani na reasoning utamuua..
 
Achana nae huyo usije ukajiua au ukamua ili uishi kwa amani lakini usifanye kosa kuwaacha watoto wako

Una uhakika hao watoto wote ni wako kweli isijekua ali kutegeshea mimba🤔🤔,
 
Kuna jambo nimemwekeza alifanye vile mimi nataka Kwa kiburi kasema yeye hatofanya,pia kwenye maongezi yake nimesikia akisema nikimwacha Kuna mtu yupo anasubiri hiyo bahati Kwa hamu.

Pengine nafikiria nikiwa huru peke yangu nitafurahia maisha zaidi ijapokuwa nishamzalisha watoto ila naona Kwa huyu mwanamke siwezi kufanya milango yoyote ya maana Kwa kuwa naona tunatofautiana iq sana kiasi kuwa nilikuwa namvumilia hata akiniweka kwenye hasara.

Kimsingi sitaoa tena nitaishi maisha yangu lonely.
Mimi napendekeza umuache aende.


Ukimsamehe basi mpe azabu itakayo mfanya kesho akitaka kukuambia kitu afikilie mara tatu tatu.

Nje na hapo mateso yatazidi
 
Kuna jambo nimemwekeza alifanye vile mimi nataka Kwa kiburi kasema yeye hatofanya,pia kwenye maongezi yake nimesikia akisema nikimwacha Kuna mtu yupo anasubiri hiyo bahati Kwa hamu.

Pengine nafikiria nikiwa huru peke yangu nitafurahia maisha zaidi ijapokuwa nishamzalisha watoto ila naona Kwa huyu mwanamke siwezi kufanya milango yoyote ya maana Kwa kuwa naona tunatofautiana iq sana kiasi kuwa nilikuwa namvumilia hata akiniweka kwenye hasara.

Kimsingi sitaoa tena nitaishi maisha yangu lonely.
No, hapana. Gentleman, tuliza ball, vuta subira. Jambo la Kwanza Jishushe chini kidogo it's true amedharau mamlaka, some times hawa watu wanapitiaga vipindi ambavyo usipo kua mtulivu kutokana na reactions zao utaumiza watoto, wewe mwenyewe na pengine pia akaumia zaidi. Jitahidi kuzungumza nae pole pole kumrekebisha. Usisahau, make sure UNAMPIGA mimba kabla Mwaka haujaisha atatulia atakuskiliza
 
Then chukua hao watoto usimuachie hata m'moja. Mnatubebesha mizigo huku mitaank bila sababu. Mwanamke anahitaji matunzo.

Ni ngumu sana kwa mwanamke mwenye watoto kuweza kupata mtu mpya wa kuishi nae maana muda wote yeye anakuwa focused kwa watoto wake na hiyo hali inakera kwa mwanaume yoyote anayetaka attention kwenye penzi jipya.
 
Mwanamke anayecheat huwa hakuonyeshi kuwa kuna mtu direct. Atabadilika kabisa na utajua. Huyo anakufanyia mgomo baridi na anajua kuwa nje huko nje ni pagumu na atapata shida sana kuwa na mwanaume mwingine na tayari ana watoto.
 
Naomba niseme kitu,

Asilimia kubwa ya wanaomshaur mtoa mada apige chini

Ni singles, hawajawai ishi Kwny ndoa

Walio kwenye ndoa, Iwe ME au KE

situation Kama hizi sio ngeni kabisa kwa ndoa nyingi, hasa uku afrika changanyikeni[emoji4]
Kabisa mkuu nipo kwenye changamoto hii hii karibia wiki Sasa
 
Haya maisha sometime yanakera sana unakuta una Bachelor yako safi ya B.Com toka UDSM. Unakuta biashara zako ni mwendo wa Dubai kila wiki LAKINI unakuta wife yeye anawaza vigodoro na kuchora tatuu za kwenye mapaja. Hapo ndo utaona hawa kataa ndoa ni ma genius
 
Akiwa na adabu. Wanawake wengi wanajua kuwa ni wanaume wachache wapo serious na mke wa mtu. Wengi nia ni kuchovya urudi kwa mumeo.
Dah kaukweli fulani hivi-wenyewe wanakuambia mke wa mtu mtamu akiwa kwa mumewe, unapewa yote bila gharama yoyote. 😅😅😅
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
nimesikia akisema nikimwacha Kuna mtu yupo anasubiri hiyo bahati Kwa hamu.
Tayari hakufai huyu kama anaweza kuongea hv. Ina maana anakuona si lolote si chochote wanawake wanadangnyika kirahisi sana.

Hv kwa akili hizi hata huko anakodhani anaweza kwenda huyu jamaa si ataona kilochotoke kwa mwenzangu na kwangu itakuja kuwa hv hv.
 
Back
Top Bottom